Nimemkumbuka mke wangu baada ya kuachana

Sure I learnt a lesson from it
 
Muachie nyumba akae na watoto wewe kaanze maisha ya ubachela.
 
 
Fanya tukutane physically naona utanisaidia saanaπŸ˜‡πŸ˜‡
 
TATIZO Sina demu na nahitaji demu mkali zaidi yake ili nafsi yangu itulie
Yaani demu mkeo wa ndoa ni demu kuna umuhimu wa kusikiliza upande wa pili kabla ya kutoa ushauri eti una hitaji demu mkali zaidi yake hata ukipata demu mkali kamwe hutomsahau nguvu ya upendo
 
Kaomba physically mkutane umsaidie
 
Fanya tukutane physically naona utanisaidia saanaπŸ˜‡πŸ˜‡
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚.
Naona umeona utengue kauli.
Lini sasa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…