Nimemkumbuka mke wangu baada ya kuachana

Pole sana Mungu akusaidie katika changamoto kubwa unayopitia, muombe Mungu sana akupe neema ya kusamehe na kusahau mara nyingi linapotokea tatizo la Mume na Mke kutengana wanaopata shida ni Watoto, Mungu akusaidie.
 
Witi umetisha wallah
 
TATIZO Sina demu na nahitaji demu mkali zaidi yake ili nafsi yangu itulie
Unaona akili zako.
Skia,
Demu mkali unakua nae kwa kuwa unamfeel, kwa kuwa hicho ndo unachotaka.

Utatembeza rungu umalize.
Bila kujaza hiyo vacuum ndani yako nakwambia hiii thread ni episode 1,season 1.
Kuna season kama 38 hivi.
Zenye episode 12 /12.
 
TATIZO Sina demu na nahitaji demu mkali zaidi yake ili nafsi yangu itulie

Ukitaka kulipiza kisasi kwa mtindo huo utapotea, unaweza kum replace mkeo na demu mkali halafu huyo demu akaja kukuvuruga kuliko alivyokuvuruga mkeo. At any cost don’t ever date or marry out of revenge, utajuta. Ni hayo tu
 
Sasa si uoe mke mwengine mbona unalia lia mwanaume wazee wako hawakukufunda
 
Kwanini usijishushe kuomba msamaha mkuu mkaendelea nae tu ..

Inaonekana umeingia uwanjani kucheza ligi kuu (ndoa)bila kucheza ndondo cup(kula ujana na kupitapita na wanawake kuwajua)...
Yani kosa la mwanamke halafu mwanaume aombe msamaha.. Hv wanaume siku hizi mbona tumegeuka wanawake. Oa mwanamke mwengine mtu huyo hakutaki ndio maana aliamua kuondoka hapo kwake
 
Jipe moyo,ata matajiri wakubwa huko duniani wamekutana na hiyo changamoto na maisha yanaendelea
 
Hii huwa inawapata wanaume ambao wamepata misimamo ya kike.
 
Kwa uchungu mkubwa nikupe polekwa kutombewa ndugu yangu, again nikupe pole kwa ku compromise na issues zinazohusu usaliti hasa kwa mwanamke, we jamaa, hivi unajua mwanamke aliyetombwa nje kisawasawa huwezi kumbadilisha hata ukirudiana nae?, for experience nimekula wake za watu kama wanne ( japo sio sifa ni usenge huu) ila mwanangu huwa nawakunja haswaa, kuna mmoja nilikuwaga nakula hadi maku inatoa povu, nambinua naangalia hadi maini, namla huku analia tuu ananiita mume wangu, mume wangu nakupenda jamani, alikuwa anatoroka kazini asubuhi anakuja namlaa mda wa kurudi home na yeye anarudi, hapa nasafari kwenye mkoa alipo na naenda kumchakaza haswa( nakojolea ndani yani), again huwa anajifanyaga anamposti mume wake mimi namaindi anafuta, hahahha, kuna wakati huwa nawaza nasema hawa wanawake ni qhumamae sana, note this, mwanamke msaliti sio wa kusamehe, wana cheat na hisia na akili zoteeee, ukimsamehe trust me utakuja pigwa tukio moja hadi utajinyea kabla ya kuja hapa jamii forum, broo wanawake mbona wengi hivi wazuri?habari ya watoto isikudanganye oooh wataharibikiwa, Mungu atawalinda bhana, nachokiona una moyo mdogo na ubongo wa paka, unaweza kuja kumuua huyo mama akikusaliti tena, sasa tabu zote za nini ndugu yangu? na wewe uachage ufala stop being democratic kwenye mapenzi, wewe unamuambiaje mkeo umechepuka kumamamae wewe, ila na nyie wake zenu ni watamu jamani, shenzi sana watunzeni huko, yaani maku zinabana sijui hamuwagongi, all in all uzinzi sio poa, badilikeni vijana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…