Nimemleta Anko kutoka kijijini, wife kaanza vijitabia vya ubinafsi

Nimemleta Anko kutoka kijijini, wife kaanza vijitabia vya ubinafsi

Mtoa uzi namuelewa, ukiwaza kwa context ya mambo anayofanyiwa dogo utajua huyo wife anakosea
UKIISHI KWA NDUGU KAZA MOYO
...
My teenage nimekulia kwa aunt vitimbi visirani vingi ila nilijifunza kuangalia mema tu
...
Yule mama MUNGU ampe siku nyingi licha ya yote niliyopitia kwake
 
MWANAUME USIETIA KILEO KINYWANI WAZAZI WAKO HAWAWEZI KUHESHIMIWA NA MKE WAKO COZ UNAKUWA UPO UPO LAKINI ANAYETIA KILEO KILA SIKU SIMU ZINAPIGWA KWA WAZAZI JAMANI LEO AMEFANYA HIV KESHO VILE halafu wazazi wakija mrume anaacha siku kazaa mke anaombea wabaki wazazi Wakiondoka unatoa lock 🔐
Hahahaha..............Kuna Wanaume hawanywi, lakini wake zao wanakoma Kwa makandokando yao

Wanapiga mashine Kila sketi, lakini ukiwaangalia usoni utasema Papa Francis 😜
 
Huyo mwanamke mfuga kucha nilitaka kumjibu kama hivi. Afadhali umenisaidia mkuu.
Wachaa...umeguswa pia. Iko hivi, ukitaka familia zikae sawa bila kujali ndugu wa kike au kiume, hasa wageni wenyeji, ni kuwaingiza kwenye mfumo wa mazingira yenu. Na hiyo heshima ihubiriwe kwa pande zote wenyeji waheshimu wageni na vivyo hivyo kwa wageni. Heshima pande zote inapunguza makando kando mengi ikiwemo hii ya roho ngumu ya kukwazika na mtu kununuliwa shati.
Kikubwa ni mawasiliano mema kati ya wenye nyumba wenyewe, hasa kwenye mustakabali wa ndugu zao.
Ila bado nakataa, nikaanze harakati za kusomba maji ya shemeji wa form 4! Hapana, na kufuga kucha au bila kufuga hapana.
 
Heshima sio lazima magoti na kuchota maji. Shemeji wanalingana umri na watoto waliopo ndani ya nyumba ambao kazi wanapangiwa kujaza maji ndani. Kwa malezi sawa ya wote hizo ni kazi za kawaida ndani ya nyumba yao.
Angalizo, huhitaji lugha kali ku drive a point home
Shemeji ni Shemeji hata kama ni mdogo heshima lazima iwepo. Yule ni mume wako pia.

Nyie wanawake wa siku hizi hamjui maadili ya ndoa kabisa, mnapaka tu kucha rangi.

Sio kwangu, nikibaini una viashiria vya utovu wa nidhamu nakushughulikia instantly.

Utarudi kwenu no matter what.
 
Wanawake ni wabinafsi sana, nilipiga marufuku ndugu zake kwangu baada ya wakwangu kufanyiwa figisu na akanuna akaondoka sikupiga simu wala kumtafuata. Karudi na Baba na Mama yake kuomba radhi, nimewarudisha natafakari mpango wa kuishi na wanangu tu.
Duuuuh....hii ndo Manhood sasa
 
Dogo kamaliza form 4. Unataka mkeo amtengee chai kwa heshima na adabu. Ikibidi apige na goti....hivi unamchukulije mkeo?
Au unataka huyo dogo amchukulieje mkeo?
Tanzania Kuna shida kubwa Sana ya uelewa...

Wewe kumuandalia CHAKULA umeelewajee??

Mbona jamaa kasema vizuri TU

*Kuandaa CHAKULA ni neno lenye tafsiri nyingi/panaa

Mf. Kupika na kuweka mezani au e.t.c

Huyo kijana CHAKULA kipikwe aende kujipakulia mwenyewe??!! Jikoni akipakua NYAMA kubwa kubwa☺️
 
Dogo kamaliza form four nikaona aje apige kazi ya salon, picha nimeona dalili sio nzuri,

Juzi nimemkuta dogo anakula maandazi kashika mkononi, aliambiwa achukue tu katika deli, badala ya amuandalie wakati siku za mwanzo alikuwa anamuandalia. Nikamwambia hakikisha unamwandalia Chakula isijirudie tena.

Majuzi nimemnunulia dogo shati nikasikia anaongea "eeh nguo mnajinunulia tu wenyewe" . nikamwambia we sijakununulia majuzi tu. jibu lake "hata kama"

Visirani visivyokoma utakuta siku mbili kafunga uso.

Hana akili aisee, dogo anatuingizia hela kila siku hesabu kutoka salon anashindwa kujua hilo. ujinga tu hawa watu.
We jamaa mpumbafu sana, hata kama huyo mke hana kazi ila mthamini. Mtu kamaliza form four atengewe chai ? Na sio kua kaja kusalimia amekuja kukaa kabisa?

Hapo mke akitafuta faraje nje sawa tu mana we mbweha unamchukulia mkeo km house girl,

Unatudhalilisha bwana. KIKAO CHA MWISHO HAUKUEPO WEWE?
 
Back
Top Bottom