Nimemlipia mchepuko Kodi ya nyumba Mil 4.8 kwa mwaka, Mapenzi yameongezeka Mara mbili

Kizuri kula na wenzako, we unalipa kodi wenzako wanakula bure
 
Hii laana unayotafuta kwa mkeo na watoto utakuja kupigwa tukio na huyo malaya wala hautokaa uamini.
Kanijibu nitulie nyumbani nilee watoto [emoji3][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kalaana hakata mwacha kamwe
 
Utakuta familia yako inajua hauna pesa dhambi gharama sana
Hatari Sana .hajawahi mpatia mke wake hata milioni moja akafanye shopping kwa kile anachojisikia.

Kama wewe ni mwanaume jitahidi umpe wife hela twice ya iyo michepuko wako..mpe 10m mkewe afanye chochote anachojisikia. Bado utakuwa unapigwa mzinga Mara gesi,Mara mchele haupo ndani,Mara naumwa. Na kutmba ni sawa tu na kula chakula tumbo linasahau haraka kuwa umekula Nini dakika tano zilizopita.
Cheki na uzeeni mwako usije ukajutia.
 
Sasa unataka ushauri au tukupigie makofi, kwani haya si ni maamuzi yako mwenyewe ya kifala? Yaani mtu unapoteza karibia milion 5 kugharamia mchepuko?
 
Hongera sana mkuu[emoji846]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…