Cetshwayo Kampande
JF-Expert Member
- Nov 28, 2018
- 1,295
- 2,973
Duh,basi watatumia zana kuzuia mimbaasikwambie mtu mwanamke kupata mimba angali anamtoto mdogo huwa anataman ardhi ipasuke aingiemo
Nimateso
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh,basi watatumia zana kuzuia mimbaasikwambie mtu mwanamke kupata mimba angali anamtoto mdogo huwa anataman ardhi ipasuke aingiemo
Nimateso
Mkuu we mjanja sana, umechelewa kujibu ili asikuone maharage ya mbeya.Wow! karibu kwenye ulimwengu wa kenzy, hapa vilivyo vigumu hulegea! vichachu huwa vitamu na huzuni huwa vicheko!.
Hatimae malaika kaamua kushuka mwenyewe.
tulia uone fundi navyotafuna! simung'unyi..😅Naona umechotwa unejaa haha.
Mleta uzi anefanikiwa sana
kuhusuHebu tuambie wewe
Eee nawew ni andunjeTunanyanyapaliwa sana dah
hapana nilikuwa nje kidogo na ulimwengu wa jf..😅Mkuu we mjanja sana, umechelewa kujibu ili asikuone maharage ya mbeya.
Nilikua natania tu mkuu.hapana nilikuwa nje kidogo na ulimwengu wa jf.
Mshangazi umeshoboka kaeni chonjoAisee nimejikuta nampenda huyu member KENZY
Mfuatilieni .jamaa ana kitu apewe ulinzi
Mimi nimemjua Jana tu
Kama hajaoa naombeni mniweke pale ndugu zanguni.
Napenda kufurahi Mimi
Kenzy nitakucheki saa tano usiku pm
Kenzy kaa makin sana otherwise utapigwa dakka za jioniiiiiiiiiiiiii,, Christmas hii hapa ,,utajaza gari mafuta ya kwenda kaskazintena kwenda na kurud aisee!!!Aisee nimejikuta nampenda huyu member KENZY
Mfuatilieni .jamaa ana kitu apewe ulinzi
Mimi nimemjua Jana tu
Kama hajaoa naombeni mniweke pale ndugu zanguni.
Napenda kufurahi Mimi
Kenzy nitakucheki saa tano usiku pm
Eeeeee msitubagueEee nawew ni andunje
PamojaEeeeee msitubague
haha! kasema yeye ndo atakuwa mfadhiri na mzamini hivyo pochi yangu isitapetape...🤣Kenzy kaa makin sana otherwise utapigwa dakka za jioniiiiiiiiiiiiii,, Christmas hii hapa ,,utajaza gari mafuta ya kwenda kaskazintena kwenda na kurud aisee!!!
hata tu UTI twenu huwa ni sugu tunawamaliza kimya kimya...😂Alafu kuna sisi wamegaji wa kimya kimya....
Shangzi dorry hana hayo magonjwa ya ajbu mkuu 😀😀😀🙌🙌hata tu UTI twenu huwa ni sugu tunawamaliza kimya kimya...😂
Watu wafupi mna mikwara sanahaha! mkuu maandishi tu nimepata baby siku nikiweka picha yangu humu warembo wote watajaa pm!..🤣
Mimi ndo ile sukari ya warembo unayosikia ikitamkwa nakuwashusha warembo udenda!
haha! mi sijasema yeyeShangzi dorry hana hayo magonjwa ya ajbu mkuu 😀😀😀🙌🙌
mkuu mi sio mfupi, kama unamtaka mfate sio mpk unikandie mbona una njia za kiperemende sana...😅Watu wafupi mna mikwara sana
Si amekupendea hilo Komwee. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Niite kwa adabu sasa huoni nimependwa ghafla..?[emoji23]