Just Distinctions
JF-Expert Member
- May 5, 2016
- 3,230
- 6,742
Ku-move on kupo, hivyo oa lakini issue ya kuwasiliana na Baba mtoto ni kawaida ila haijalishi kutakuwa na mishe za kupasha kiporo
Hata single fathers wanaelewa kuna muda mnawasiliana na mama mtoto sio kwa sababu mnataka mrudiane la hasha bali tu kuwa responsible father na kuzuia mtoto asiwe brainwashed kuwa Baba yako alikuwa hakujali ( hili single mothers huwa wanaitumia sana for no reason)
Lakini deep down hata upewe nini hamuwezi kurudiana kamwe!!
Hata single fathers wanaelewa kuna muda mnawasiliana na mama mtoto sio kwa sababu mnataka mrudiane la hasha bali tu kuwa responsible father na kuzuia mtoto asiwe brainwashed kuwa Baba yako alikuwa hakujali ( hili single mothers huwa wanaitumia sana for no reason)
Lakini deep down hata upewe nini hamuwezi kurudiana kamwe!!