Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu jamaa haudhuriagi au hajawahi kuhudhuria vikao vya wanaume! Tulishapitisha maamuzi kuwa "single mother" hafai kuolewa! Labda kwa mazingira fulani ambapo huyo aliyemzalisha alishafariki na akuonyeshe kaburi au cheti cha kifo! Kwa mizania ya vigezo vya mke bora, single mother alipata "0". Hudhuria vikao mwamba usiturudishe nyuma katika mada zilizokwishatolewa maamuzi
Mbwa na nusu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]wa mwisho kutoka duniani asisahau kuzima taa, [emoji846]
Hawasikii kabisa, kila siku tunasema humuTanzania kuna vijana wapumbafu sana..
Ona huyu bwege anatuita sisi mbululaOa Mkuu, wanawake wakicha wameacha hawaludi nyuma husiwasikilize hawa mburura ukiona mwanamke analudi kulia lia kwa baby dady ni maisha yamempiga
Kama huyo single maza ana uwezo wa kujikimu kimaisha wanakuaga jeuri hao kuludi hata kuongea na baby dady ,Uzuri wa kuoa single maza ni maturity zao wanakua wamepitia mapito mengi wenye mahusiano ukioa hautasikia kele kele ndani yan nyumba yaani wamekomaa kifikra
Bwege mumeoOna huyu bwege anatuita sisi mbulula
🤣🤣🤣,Mbwa na nusu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
NAKAZIAkijana usioe single Maza hata siku moja
Tumekubaliana single maza sio wa kufanya nao maisha hata kama atakuonyesha kaburi la baba wa mtoto na cheti cha kifo.single mother" hafai kuolewa! Labda kwa mazingira fulani ambapo huyo aliyemzalisha alishafariki na akuonyeshe kaburi au cheti cha kifo!
Sasa hao walio oa single maza wanakupa real life experience ndio wazuri kuchukua ushauri wao.Fuata moyo wako, hapa JF watakuzingua tu wengine watakwambia achana na singo maza wakati wenyewe walioa wenye watoto 4+
Ni Jana tu nililisema hili kwenye Uzi Fulani. Time is coming single mothers watakuwa kwenye chati maana fibroids imeshika Kasi mtaaniSi ushukuru Mungu anaonekana ana uzazi? Sijui kizazi...
Aoneshwe kaburi na msalaba uandikwe jina la huyo marehemu ambae ni mmeweHuyu jamaa haudhuriagi au hajawahi kuhudhuria vikao vya wanaume! Tulishapitisha maamuzi kuwa "single mother" hafai kuolewa! Labda kwa mazingira fulani ambapo huyo aliyemzalisha alishafariki na akuonyeshe kaburi au cheti cha kifo! Kwa mizania ya vigezo vya mke bora, single mother alipata "0". Hudhuria vikao mwamba usiturudishe nyuma katika mada zilizokwishatolewa maamuzi
Afadhali umenisaidia kuuliza: kwanini ni watamu zaidi ya hawa ambao hawajazaa.Sasa hao walio oa single maza wanakupa real life experience ndio wazuri kuchukua ushauri wao.
Alafu hawa single maza kwa nini mbususu zao zinakuwa tamu sana? Kuna uhusiano gani wa kuzaa na utamu wa mbususu kuongezeka?
Kabisaaa, yaan siku hizi wanandoa kibao Wana struggle kupata mtoto, it's a matter of time....wataanza kuwakimbilia.Ni Jana tu nililisema hili kwenye Uzi Fulani. Time is coming single mothers watakuwa kwenye chati maana fibroids imeshika Kasi mtaani