Just Distinctions
JF-Expert Member
- May 5, 2016
- 3,230
- 6,742
😀😄😅😅Kenge maji
Sawa nimekuelewa mkuuKwa hio ukipenda unatumbukia tu bila kuuliza waliokuzidi umri?
Mkuu bado haujanipa jibu lakini,Sawa nimekuelewa mkuu
Mi ninachojua mapenz hayashauriki....maana unaweza sema asioe kumbe anataka kuoa na akaoa kweliMkuu bado haujanipa jibu lakini,
Hapo hata Mimi nakubariana na wewe mkuu, Good answerMi ninachojua mapenz hayashauriki....maana unaweza sema asioe kumbe anataka kuoa na akaoa kweli
🙏🏽🙏🏽Hapo hata Mimi nakubariana na wewe mkuu, Good answer
Huyu jamaa haudhuriagi au hajawahi kuhudhuria vikao vya wanaume! Tulishapitisha maamuzi kuwa "single mother" hafai kuolewa! Labda kwa mazingira fulani ambapo huyo aliyemzalisha alishafariki na akuonyeshe kaburi au cheti cha kifo! Kwa mizania ya vigezo vya mke bora, single mother alipata "0". Hudhuria vikao mwamba usiturudishe nyuma katika mada zilizokwishatolewa maamuziOa mkuu, lakini akiwasiliana na mzazi mwenzie ukubali. Hata akikuambia hawawasiliani ujue kabisa unadaganywa. Kwahio uwe tayari mkeo kuwa anasumbuliwa na mwanaume mwenzio. Kama angekua nimwanamke bora basi mzazi mwenzake angemchukua wewe anakuigizia.
Vinginevyo kama mzazi mwenzie ashatoweka duniani ndio utakua na amani. Lakini pia kama mtoto wake niwakiume utapata shida badae, watoto wakiume huwa wanapenda mama zao wapandwe na wazazi wao tu nasivininginevyo.
Pia uwe wahudhulia vikao vya wanaume ujue nafasi ya single mother niipi.
Usioe utajutaHabari za Usiku wana JF,
Kuna mdada nimempenda Sana. Natamani nimuoe lakini ana mtoto mmoja na mimi sina. Mtoto ana miaka 6. Naomba ushauri tafadhali!
🥲🥲🥲wa mwisho kutoka duniani asisahau kuzima taa, 🙂
perfectKu-move on kupo, hivyo oa lakini issue ya kuwasiliana na Baba mtoto ni kawaida ila haijalishi kutakuwa na mishe za kupasha kiporo
Hata single fathers wanaelewa kuna muda mnawasiliana na mama mtoto sio kwa sababu mnataka mrudiane la hasha bali tu kuwa responsible father na kuzuia mtoto asiwe brainwashed kuwa Baba yako alikuwa hakujali ( hili single mothers huwa wanaitumia sana for no reason)
Lakini deep down hata upewe nini hamuwezi kurudiana kamwe!!