Hapo sii anavumilia miaka 12 ijayo anaanza kukakulaπππ Katoto Cha miaka 6 no way.
Wanasemaga mtoto wa kike anaondoka hana urithi, ila kama mwanaume unapenda uishi duniani na siyo gerezani epuka kuoa mwanamke mwenye mtoto wa kike.Huyo aliyeshauri kuhusu kuoa kama mtoto ni wa kike itakuwa ana lengo la jamaa akile kuku ma mayai yake [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mshauri sasa kijana mwenzioMtoa mada hana akili. Unaoaje aliyezaa?
π€£π€£π€£Yani masingle faza yanaponda single maza asiolewe ππππ
Hapo anayetoa ushauri huo yy mwenyewe kalelewa na mababa tofauti mpk sura ya baba ake mzazi kaisahau..!!!
"your qualified"!!!!???With those..guts your qualified to join Hamas group[emoji350][emoji2957][emoji2957][emoji2957]
Tayana unacheka nini?? ππππ€£π€£π€£
Kama anasifa za kuwa mke muoe, lakini mbona kwa hizo sifa alizonazo kaachwa?.Habari za Usiku wana JF,
Kuna mdada nimempenda Sana. Natamani nimuoe lakini ana mtoto mmoja na mimi sina. Mtoto ana miaka 6. Naomba ushauri tafadhali!
Unanivunja Mbavu π€£Tayana unacheka nini?? πππ
Wanazingua mbwiga hao πππUnanivunja Mbavu π€£
Mbuzi wewewa mwisho kutoka duniani asisahau kuzima taa, [emoji846]
Haujampenda kwa dhati huyo wala usingekuja kulizia opinion za watu tusiojua mapenzi yenu.Habari za Usiku wana JF,
Kuna mdada nimempenda Sana. Natamani nimuoe lakini ana mtoto mmoja na mimi sina. Mtoto ana miaka 6. Naomba ushauri tafadhali!
Umemalizia vizuri kabisa. Mwanaume unaoaje single maza wakati warembo wapo wengi tuuWanasemaga mtoto wa kike anaondoka hana urithi, ila kama mwanaume unapenda uishi duniani na siyo gerezani epuka kuoa mwanamke mwenye mtoto wa kike.
Nb: mwanaume anaye oa single maza hana akili kabisa