OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,569
- 24,812
Up sio uwizi ..wewe hujapata changamoto bado ..au bado unakula kwa babako ndio maana unasema hivi ..Ila ukioa ndio utajua ndoa Ni zaidi ya kuwa mwaminifu.Ni ujinga mkuu baba familia unakua jizi af anafanya justification zisio kua na mantiki, sijui tunaelekea wapi kwa kweli
Amini mwanamke akikupenda lazima atakupa pesa kama anazoNumuunga mkono mtoa mada...watu" ke."ni wabinafsi sana,wachoyo sana,Mwanamke huwa hatoi pesa hivihivi hata kama mwanaume unadhida..ko nikula pesa zao kwa akili tu
Binafsi Huwa ninafanyaga baadhi ya arguments na Mzee wangu, ambaye namshukuru Mungu kwa kumweka hai mpaka sasa. Huwa ananiambiaga kama kijana wake, mwanaume ni lazima uwe na high bar kwenye maswala ya kimaadili na hekima kama baba, mwanaume ni lazima awe na busara kwelikweli na uongozi usio na hitilafu na mwenye uwezo wa kufanya maamuzi yenye mantiki pasipo mabavu maana yeye ndo symbol ya familia nzima, Ili pale familia inapopata changamoto nzito na ngumu aweze kuwa kimbilio na source of wisdom, solution, and stability.Ni ujinga mkuu baba familia unakua jizi af anafanya justification zisio kua na mantiki, sijui tunaelekea wapi kwa kweli
Mdogo wangu acha tu lazima tuwe na discipline/respect/principles kwa wake zetu, nothing can justify wizi kwa nìni usiombe pesa, kama hataki kukupa c ya kwakwe? Huo ndo wanaumme wewe ulitegemea nani akusaidie majukumu ya Kua Baba.Up sio uwizi ..wewe hujapata changamoto bado ..au bado unakula kwa babako ndio maana unasema hivi ..Ila ukioa ndio utajua ndoa Ni zaidi ya kuwa mwaminifu.
Akili mkichwa mtu wanguKwa ufupi sana.
Kuna wakati wife alipata changamoto ya kiafya. Matibabu yalikuwa gharama kidogo kutokana na safari za hapa na pale. Kuna wakati akiba ikakata ikabidi nijikopeshe kupitia vyanzo vingine.
Siku moja nikachukua kadi na kuchungulia akaunti yake nikakuta ina milioni saba imetulia. Ikaniuma sana. Baada ya miezi mitatu nikachngulia tena nikakuta ile fedha bado imetulia.
Juzi kati tukapata shamba kwa milioni tatu. Nikampa idea ila nikampanga shamba linauzwa milioni 5. Akaikubali akanipa milioni 2 nimalize kazi.
Nikamaliza biashara na mkataba ukasoma 5m mwenye shamba akachukua 3m. Nikapiga 2m bila kelele.
My Take
Wake zetu mnaficha hela ili iweje? K mstari wa mbele kushughulika na changamoto za kifamilia
Baba lazima uwe model ya familia mfano wa kuigwa kwa watoto na mke,.... sasa utakua je mdokozi af wizi wa ndani ya fimilia hiyo ni kama laanatBinafsi Huwa ninafanyaga baadhi ya arguments na Mzee wangu, ambaye namshukuru Mungu kwa kumweka hai mpaka sasa. Huwa ananiambiaga kama kijana wake, mwanaume ni lazima uwe na high bar kwenye maswala ya kimaadili na
Kwa ufupi sana.
Kuna wakati wife alipata changamoto ya kiafya. Matibabu yalikuwa gharama kidogo kutokana na safari za hapa na pale. Kuna wakati akiba ikakata ikabidi nijikopeshe kupitia vyanzo vingine.
Siku moja nikachukua kadi na kuchungulia akaunti yake nikakuta ina milioni saba imetulia. Ikaniuma sana. Baada ya miezi mitatu nikachngulia tena nikakuta ile fedha bado imetulia.
Juzi kati tukapata shamba kwa milioni tatu. Nikampa idea ila nikampanga shamba linauzwa milioni 5. Akaikubali akanipa milioni 2 nimalize kazi.
Nikamaliza biashara na mkataba ukasoma 5m mwenye shamba akachukua 3m. Nikapiga 2m bila kelele.
My Take
Wake zetu mnaficha hela ili iweje? Kuweni mstari wa mbele kushughulika na changamoto za kifamilia
Mke nadhani ndiye msaidizi namba moja wa mume wake,suala la eti una mke,umezidiwa majukumu,unamuomba msaada anakukatalia,kisa pesa ni ya kwake,huyo ni wanini sasa ndani kwangu?Mdogo wangu acha tu lazima tuwe na discipline/respect/principles kwa wake zetu, nothing can justify wizi kwa nìni usiombe pesa, kama hataki kukupa c ya kwakwe? Huo ndo wanaumme wewe ulitegemea nani akusaidie majukumu ya Kua Baba.
Sawa umesikika lakini kwanini uibe? Mke ni mtu muhimu katika familia akipoteza uaminifu wake utakua umepoteza diraMke nadhani ndiye msaidizi namba moja wa mume wake,suala la eti una mke,umezidiwa majukumu,unamuomba msaada anakukatalia,kisa pesa ni ya kwake,huyo ni wanini sasa ndani kwangu?
Yaani niende nikadharaulike huko mtaani,nayeye anao uwezo wa kunisaidia halafu anakataa,hapana kwakweli,tena hawa wanawake ambao wakimpenda bodaboda au dereva bajaji,safari ya buku 8,dereva anapewa elfu 20?Hapana kwakweli,ndiyomaana hata wadada ambao ni waajiriwa,mi huwa naona wanaowashobokea kuwaoa,eti wanaweza kusaidiana kwenye majukumu,huwa nawashangaa,ni bora uoe mama wa nyumbani tu,alee watoto ipasavyo,na ujue mimi ndiyo kila kitu.
Mwanaume ndie nahodha mshika dira wa familia...mwanamke ni chombo tu kinaelekezwa kielekee kule nahodha anapotakaSawa umesikika lakini kwanini uibe? Mke ni mtu muhimu katika familia akipoteza uaminifu wake utakua umepoteza dira
wewe bwabwaja tu,ila najua ninachokifanya na muda ukifika atapewa mkanda mzima ili umpe funzo. Bahati nzuri hela sijatombea,imebaki kwenye matumizi ya muhimuNi ujinga mkuu baba familia unakua jizi af anafanya justification zisio kua na mantiki, sijui tunaelekea wapi kwa kweli
Hahahahaha 😛
hamna kitu hapo. waliooa wanajua misalaUmeoa?? Tuanzie hapa