Nimempiga mke wangu milioni 2 kizembe sana

Mwanamke wa kiafrika yeye ameshajiwekea sheria kuwa lazima akikuomba hela mume umpatie kwa wakati huo huo kama huna we kakope ila umpe tu. Ila yeye yake asikupe sababu uliumbwa uteseke kwa ajili yake. Huu ujinga nimeukataa.

Sasa wakati mwengine mambo yakiwa magumu labda itokee huna chanzo tena cha kipato ama ajira imefikia ukomo ndio utajua hujui sasa. Imagine mnadaiwa kodi almanusura mfukuzwe ila unajua mke ana 8m ndani na kajikausha anasema hana hata shilingi 1OO.

Umejitahidi kwa namna zozote huoni jinsi mke yuko radhi mdhalilike ila kwa ubinafsi tu hela yake isitumike hata senti 5. Wakati umeendesha familia kwa zaidi ya miaka 15 bila kutegemea hata dala yake.

Huyu mtu akipigwa mi sioni tabu kabisa.
 
Mbona ulivyompa hio idea alitoa hela? Au ukimuuliza huwa anasema hana hela? Kukubali kutoa hela yake kununua shamba ameonesha Hana issue.
Hilo shamba si litakuwa na title deed yake, kwani ni la familia sasa 😂😂😂
 
Kwa mkeo sio mbinafsi ni rahisi kumwambia una shida ya hela akakupatia tu ila kwa wale wa mizinga fm. Mke anaomba hela kama kahaba yani na hapo hapo anafanya kazi nzuri tu ya kumudu mahitaji yake.
 
Ni vyema nyie kama mnaishi kizungu. Ila kwa waliooa wanawake wenye ubinafsi wa kijinga itakuwa kazi. Mke anapambana kuwa superwoman ili akuvimbie ndani 😂😂😂
 
Espy Atoto ndio anatuita mafurushi tukiwa na mtazamo kama huu wako

Sema nini bora niwe furushi [emoji3] kiroho safi
 
Huu ndio usawa unaotakiwa mkuu, sio kudai 5O/5O ya kuachiwa usawa kwenye fursa za kimaisha halafu linapokuja swala la kuhusu uchumi baba anaachiwa akomae kuujenga mwenyewe huku mke nae anazalisha ila hachangii chochote zaidi ya kuongeza wategemezi (watoto) na kumtwisha jukumu baba pekeyake.

Matokeo yake kunakuwa na mstari flani kati ya mke na mume badala ya mshikamano. Huu ujinga hapana kabisa. Mke anaenda kazini akihitajika kuchangia anytime achangie. Sio kuficha ficha hela. Ubinafsi wa kijinga sana.
 
Tena hali imekuwa mbaya sababu ya "women are highly encouraged" matokeo yake tuna raisi mwanamke kabisa leo hii!

Vijana wengi hawana kazi mtaani kama ilivyo kwa watoto wa kike. Sasa imefikia hatua mama ni teller wa bank bwana ni fundi madishi au dereva wa bolt boda boda. Sasa kwa hali kama hii unategemea mume ataweza lipia ada za "Christ the King" mwenyewe?

Lazma at sometime utaomba assist.
 

Umepigwa
 
Na wznaume wakiendekeza eti hela za mwanamke ni zake huku anafanya kazi mtakufa kwa pressure kwa kuzidiwa na majukumu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…