Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Mwanamke wa kiafrika yeye ameshajiwekea sheria kuwa lazima akikuomba hela mume umpatie kwa wakati huo huo kama huna we kakope ila umpe tu. Ila yeye yake asikupe sababu uliumbwa uteseke kwa ajili yake. Huu ujinga nimeukataa.
Sasa wakati mwengine mambo yakiwa magumu labda itokee huna chanzo tena cha kipato ama ajira imefikia ukomo ndio utajua hujui sasa. Imagine mnadaiwa kodi almanusura mfukuzwe ila unajua mke ana 8m ndani na kajikausha anasema hana hata shilingi 1OO.
Umejitahidi kwa namna zozote huoni jinsi mke yuko radhi mdhalilike ila kwa ubinafsi tu hela yake isitumike hata senti 5. Wakati umeendesha familia kwa zaidi ya miaka 15 bila kutegemea hata dala yake.
Huyu mtu akipigwa mi sioni tabu kabisa.
Sasa wakati mwengine mambo yakiwa magumu labda itokee huna chanzo tena cha kipato ama ajira imefikia ukomo ndio utajua hujui sasa. Imagine mnadaiwa kodi almanusura mfukuzwe ila unajua mke ana 8m ndani na kajikausha anasema hana hata shilingi 1OO.
Umejitahidi kwa namna zozote huoni jinsi mke yuko radhi mdhalilike ila kwa ubinafsi tu hela yake isitumike hata senti 5. Wakati umeendesha familia kwa zaidi ya miaka 15 bila kutegemea hata dala yake.
Huyu mtu akipigwa mi sioni tabu kabisa.
shida wanaume hatuwi wawazii mkuu mtu unajua kabisa hela ushatumia kwenye mambo ya kifamiliaa sijui kulipa kodi mara adaa lakini unashindwa kummwambia mwenzio nimekwamaa... mwanamke nae akikuomba hela unaona bora ukope umridhishe yeye kuliko kusema ukweli hela hunaa