Nimempinga Godbless Lema ila sasa Natubu

Nimempinga Godbless Lema ila sasa Natubu

Lema akiwa Star Tv na Alloyce Nyanda nimemwelewa sana.
Lema ameongea point nzuri, nyingi tu,ukiweka mambo ya ccm na Chadema pembeni,unaona kabisa ana hoja nzuri, tatizo sisi watanzania kila sehemu tunataka kuleta siasa, tujifunze kujibu hoja kwa hoja sio kukasirika tukiambiwa ukweli.
 
We sio tu mshamba wa mali na umaskini wa kipato inaonekana pia ni maskini wa Fikra.
Kaa chini msikilize Lema achana na vihabari vya kuokoteza
Kwa hiyo habari hizi tumeokoteza ;
Anayepingana na hoja za lema ni maskini wa fikra na kipato.

Ni kawaida ya mtu maskini akiambiwa Ukweli hudhani ametikanwa.
1679168421865.png
 
Lema ameongea point nzuri, nyingi tu,ukiweka mambo ya ccm na Chadema pembeni,unaona kabisa ana hoja nzuri, tatizo sisi watanzania kila sehemu tunataka kuleta siasa, tujifunze kujibu hoja kwa hoja sio kukasirika tukiambiwa ukweli.
Tupe hoja nzuri moja tu ya Lema
 
Lema ameongea point nzuri, nyingi tu,ukiweka mambo ya ccm na Chadema pembeni,unaona kabisa ana hoja nzuri, tatizo sisi watanzania kila sehemu tunataka kuleta siasa, tujifunze kujibu hoja kwa hoja sio kukasirika tukiambiwa ukweli.
Lema ni mtu amepata Exposure ameona jinsi wenzetu wanavyokabiriana na umaskini na tatizo la ajira. Sasa ni miongoni mwa Watz ambao hawajaamua kukacha na kusema watajijua wenyewe kama walivuo diaspora wengine.

Kwa tanzania mtu akitoka kimaisha huwa hataki hata kufundisha wenzake kwa sababu anataka aabudiwe. Lema amekuja na mawazo mapya tumsikilize kama yanayekelezeka tuyachukue.
 
We sio tu mshamba wa mali na umaskini wa kipato inaonekana pia ni maskini wa Fikra.
Kaa chini msikilize Lema achana na vihabari vya kuokoteza
Mangi nadhani una tatizo lifuatalo;
“Deep rooted illiteracy” ndio maana unaweza ona kilaza Lema anaonge kitu cha maana .You are simply suffering from mental distotion.
 
Aisee binafsi nimekuwa nampinga Lema toka afike nchini na kuibua hoja mbali mbali. Lakini sasa naomba niseme samahani Lema nimekukosea Sana.

Nimekaa kwenye tafakari siku 3 nikagundua kwamba jamii ya wtz iko gizani hivyo hiawezi kung'amua hoja nzigo za Lema,,,na bahati mbaya hata wenye kuelewa hawasemi maana pengine wananufaika na umaskini huu wa mtz.

Haiwezekani nifanye kazi ambayo hainihakikishii maisha bora uzeeni (bodaboda) alafu niite ni ajira njema,,,kwa wakulima hii tunaiita subsistance farming yaani unalimia tumbo tu.

Kuhusu kujali haki za watu Lema kaongea uhakika kabisa,,ukitaka kujua hili nenda kutafuta huduma katika ofisi za umma ndio utaelewa nchi hii ina Safari ndefu Sana .

Kuhusu afya nenda hospitali kajionee vituko katika korido za hospitali ambao mgonjwa anachukuliwa Kama mtu asiefaa,anatukanwa na manesi utadhani nguruwe pori.

Mama wajawazito maskini utadhani labda kubeba mimba ni dhambi kwao,,wanatuknwa mpaka sio poa,,,wanajifungua kwa kupigwa makofi na kusimangwa hadi huruma,,sasa Lema akisema mbwa Canada ana thamani kuliko binadamu tz ana kosa gani!?

Nimejiona mjinga nilipojaribu kusema eti huwezi fananisha Tz na Canada,,nkajijibu kwani Canada wamewezaje kufika hapo na sisi tumeshindwaje kufika hatua nzuri,,,inakuwaje tuwe na rasilimali alafu tushindwe kuzibadilisha kuwa utajiri!? Je,tumeshindwa kuwekeza katika akili za watu wetu!? Na nini kimetufanya tushindwe kuitumia rasilimali watu kuwa nyenzo muhimu kujiletea maendeleo!?

Ndg Lema amefichua misukule ya watu iliyofichwa miaka mingi hivyo lazima wenye misukule wawe wakali.

Tungekuwa na akili Kama taifa na vyombo vya hbr huru vinavyojua kuona mbali,,tungezitumia ajenda za Lema haraka Sana iwe ndo mjadala ili tujue tunatokaje kwenye mkwamo huu.

Tunahitaji akina Lema Kama 20 tu then Taifa litaacha kuzungumzia Mambo mepesi.

Jamani ubodaboda siyo kazi nmefkiria Sana,,,we mtu unafanyaje kazi eti mwl unalipwa tsh 400,000/ sijui Askari sh.400,000 alafu useme Lema anatukana watu.

Ni bahati mbaya hatuna watu wa kukuza mijadala Kama hii,,,vyombo vya habari vimekalia uchawa.


Wewe mwenyewe ndiye Lema.
 
Lema ni mtu amepata Exposure ameona jinsi wenzetu wanavyokabiriana na umaskini na tatizo la ajira. Sasa ni miongoni mwa Watz ambao hawajaamua kukacha na kusema watajijua wenyewe kama walivuo diaspora wengine.

Kwa tanzania mtu akitoka kimaisha huwa hataki hata kufundisha wenzake kwa sababu anataka aabudiwe. Lema amekuja na mawazo mapya tumsikilize kama yanayekelezeka tuyachukue.
Lema ametoka kimaisha? Unadhania angekuwa ametoka kimaisha angeendelea kupigwa jua ili aweze tu kupata kipato kupitia siasa?
 
Back
Top Bottom