Nimemsamehe kwa dhati Rafiki yangu licha ya kutembea na mchumba wangu.

Na hapo kaelewa tu basi na yeye aonekane yuko vzuri. Hafu waingereza huwa hawakosoi wasiojua kingereza ila bongo twapenda kukosoana na kuchekana mtu akishindwa badala ya kumsaidia.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nafikir hawajui nini madhumuni ya maeneo aya ni kuelimishana na kusaidiana mambo fulani fulani ila sio kuchekana wadau

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Achana na huyo mke wa jamaa. wanawake ni dhaifu sana unamuonea bure kwa kumtumia kulipa kisasi. Muache ndugu yangu pia achana na visasi mrudie Mungu wako na tubu dhambi zako
 
Kuna mmoja alishawahi kujifanya ni mtu wangu wa karibu, lakini kumbe nyuma ya pazia alikuwa anajaribu kumvuta shemeji yake, nikaja kuujua mchezo na yeye akashtuka nilipompa makavu toka siku hiyo hata kunipa salamu hawezi.

Ila hakuwahi kumla, alivyokuwa bwege anampanga shemeji yake huku bibie anakuja kunionesha chat zake.

Jamaa alinitambulisha wasichana wake nikawa na ushemeji nao, hadi alifikia kugonganisha magari mimi nikaua soo kwa kutumia uongo asije achwa.

Yaani angejua hakuna mpenzi wake ambaye ningemtaka nikamshindwa, asingejaribu kufanya hivyo. Niliamua kumheshimu kama mshkaji, akajikuta mjanja mno.

Bahati yake sikuwa na moyo wa visasi, nilipotezea kwa kumwona fala. Hakufanikiwa anachokitaka.
 
Kiukweli hata kama ningekua mm lazma ningehakikisha jamaa anajua....haina maana ya kulipiza kisasi alafu adui yako asijui kama umelipiza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu itakuja kukucost.....pora upoge revange moja kubwa and let your enemy knows then sepa mazima na huyo mke wake achana nae mazima kuliko kuendelea kula kimya kimya....siku jamaa akianza kumtrace mkewake then akajua ni ww atakutafutia siku atakufumaniwa na atakufira na wahuni....then who atakua kafaidi? Zaidi utakua umelose pakubwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umenifurahisha, mbona kawaida ila wangu nilikuta mkewe ni mzee sana na amechoka! Niliona kinyaa nikamtigo yeye na kumsamehe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…