ChawaWaMama
JF-Expert Member
- Jan 16, 2023
- 1,765
- 3,277
Ndiyo tatizo linapoanzia, vijana tuache kuiga. Naamini hao magaidi walijua ni mwanajeshi ndiyo maana wakamimina risasi wakijua ni mosad. Ni muhimu vijana wanaoenda huko waelekezwe mazingira.Mbona hizo zimejaa kariakoo?!
Tusikurupuke kama mazombie na kuanza kulalamika tu ni kweli mwenzetu amefikwa na mauti lakini lazima tuhoji. Hivi serikali ya Tanzania inaweza kumuita Balozi wa Israeli kumuhoji haya maswali ya msingi?...afu clip imekatwakatwa vipande.
Aya mambo ya vita + hizi media Acha kabisa...
Anyway vita ni vita haichagui wapi pa kupiga na yupi.....imesomba vitoto,vizee,wagonjwa na vijana wengi uko Palestina
Mimi sio masikini kama wewe..waisrael wanawamaliza hizo takataka zenye laana..statists zinaonyeshe Palestinians they perish everyday in good number..niceNenda uwanja wa vita unaongea umejicha Bonyokwa na Tecno yako.
Kilichomponza ni vazi la chupi ya kijeshi
Ulichoongea hapo kinahalalisha mauaji ya mtu asiyehusika na ugomvi wao??Usiwe kama huelewi kwamba baadhi ya matekwa walipewa special treatment na huyu aliuliwa ? Kama walikuwa nayo hiyo video kwa nn wasitoe muda sana !?
Hii inakuja baada ya kupata lawama za kuua wale mateka wao watatu...Mbona walitoa footage baada ya kupiga hospital ile wakadai Hamas ndio walilipua ila ilikuwa ni forgery .
Kiasili, waarabu ni mashetani. Fuatilia uone yalivyoendesha biashara ya utumwa. Jitu mpaka liliitwa Tip Tip, kwa sababu kwake kuua mtumwa ilikuwa kama unavyoua nzi.Mwili wangu umesisimika
Mwarabu palestine hamas magaidi yalaaniwe
Acha kuleta hoja yako ya kutete mashetaniPunguzeni munkari tuwe na akiba ya maneno
Video imeonyesha wanajeshi waliobeba silaha huku wakiongea kiarabu hakuna uthibitisho wa uhakika kwamba hao ni hamas especially hamas wako na dresscode 7 oct tuliona
Tusubiri uchunguzi ufanyike kama ni kweli hamas itajulikana
Chuki isiwe ngome ya maamuzi
MkuuMkuu kinachotokea Gaza ni "Genocide " huwezi linganisha na vita yeyote inayopiganwa hapa duniani kwasasa.
Sasa tumeona hiyo. Je Clemence walimuaje? Inaumiza Hadi basi. Sina hamu na hao Wapalestina na Hamas Yao. Tunawangangania nini na kuwa ubalozi wao hapa Tz?Niliwahi kusema haoa kwamba Rais alipiga kura kuwaunga mkono Hamas kwa msukumo wa dini wengi mlitoka povu. Kuna video inasambaa ktk mtandao wa X inatisha sana. Moyo wangu unavuja damu mtanazania mwenzetu alitokea shambani na kibaiskeli chake maskini ya Mungu. Anakamatwa najitetea lkn haeleweki kisha anapigwa risasi alaf wanashangilia huku wakisema Alakh akbar.
Kijana mdogo anazimishwa ndoto zake na wajinga wachache alaf et leo Rais anapiga kura kuwatetea wauwaji. Rais Samia damu hii utaijibia... Ulishindwa kuzuia wasimuue lkn hata kulaani mauwaji ya watanzania wenzako umeshindwa? Badala yake umewaunga mkono wauwaji.
Video hyo inaogofya sidhani kama inafaa kuwa shared hapa. Kama unataka unaweza kuingia mtandao X imesambaa sana. Inatia huruma.
R.I.P mdogo wetu
Unakuwa kama hujielewi ,hao Hamas wabaki na mwili wa nn kwa miezi 2 mfululizo hata huwezi kutumia akili.Ulichoongea hapo kinahalalisha mauaji ya mtu asiyehusika na ugomvi wao??
Kama waisraeli wameua mateka wa hammas it makes sense kwa sababu wana ugomvi, mtanzania ana ugomvi nao? Au wanapenda tuu kumwaga damu za watu wasio na hatia?
Nyie kwa ninavyo wajua, mtasema chochote, mtapindisha mada, mtakumbushia matukio ya zamani, mtaleta kila aina ya sifa mbaya ya Israel, ili mradi tuu kuwatetea hao washkaji zenu.
Kinachosemwa hapo ni mauaji ya mtanzania mwenzetu ila unachofanya wewe unakijua mwenyew.
Ni vichaa tu hao,hawajui wanachopigania,wapigane na nani na hawajui adui yao ni yupiKwahiyo wewe unawaona Hamas ni vichaa tuu waamue kuishambulia Israeli.?
Hatujui mazingira. Ila mi hapa siwalaumu sana Hamas kwa sababu Mollel alikuwa na nguo ya kijeshi iliyopelekea kuingia 18 za vita. Ni bahati mbaya sana kauawa ktk mazingira ambayo hakustahili ila kilichomponza ni hiyo chupi.Yule mwingine Clement kama sikosei nae alivaa chupi ya jeshi?
Hamas wa Tz weweHiyo video ni uongo mtupu.
Magaidi hata hapa kwetu yapo. Hayo yaliyokuwa yanafanya ugaidi kule Mkuranga na Kibiti unafikiri yalitoka nje ya nchi. Ni haya haya ambayo hapa JF yanayasifia magaidi ya Hamas.Mi Sina hata nguvu kwa kweli. Kuna pro terrorist hii nchi. Watanzania tuwe making katika kuongelea huu mjadala kwenye Umati. Kila mmoja ambae anacomment ya kudeny is a terrorist full stop. Inawezekana kuna watu humu nchini Wana connection na Hamas. Ehh Allah tusaidie
Huu ni uthibitisho tosha kwamba Mungu anaye daiwa ni mwema sana na mwenye Upendo na huruma HAYUPO.Wanamuua innocent guy huku wanasema mungu mkubwa,huyo mungu gani muuaji
Ni janga la Dunia na wanavojifanya wanajua kusali kila muda utadhani watu wema sanaKwakweli waislam tunaishi nao tu lakini hawa waislam ni washenzi.
Sikia, Kwaio unataka kusemaje, huyo jamaa hajauliwa na hammas??Unakuwa kama hujielewi ,hao Hamas wabaki na mwili wa nn kwa miezi 2 mfululizo hata huwezi kutumia akili.
Angalia hiyo video vizuri ,kwani mbona walitoa video kwamba Hamas alilipua hospital !?