Nimeona clip ya Mtanzania mwenzetu Joshua Mollel anauawa na Hamas. Inatia hasira kuona tulipiga kura kuwaunga mkono
Hatujui mazingira. Ila mi hapa siwalaumu sana Hamas kwa sababu Mollel alikuwa na nguo ya kijeshi iliyopelekea kuingia 18 za vita. Ni bahati mbaya sana kauawa ktk mazingira ambayo hakustahili ila kilichomponza ni hiyo chupi.
Kabisa, chupi itakuwa ilimponza, kiarabu sikijui ila nasikia neno elshabaab yaani ewe kijana!
 
onyo: video ina maudhui ya mauaji, angalia kwa tahadhari.

Lengo ni kuelimisha jamii kwamba ugaidi upo, Mtanzania mwenzetu hakuwa na silaha yoyote wala sidhani kama alikuwa anaelewa wanasema nini lakini wakamuua, wakaanza kumkanyaga tumbo na kumpiga risasi tisa.


View attachment 2845359
Duu inasikitisha mno. Wapo wanapouaga mtu wanasema Allah Akbar wanamaanishaga Nini. Mfano Ile Russian army naijua maana yake ya uraaa
 
Ndiyo tatizo linapoanzia, vijana tuache kuiga. Naamini hao magaidi walijua ni mwanajeshi ndiyo maana wakamimina risasi wakijua ni mosad. Ni muhimu vijana wanaoenda huko waelekezwe mazingira.
I assume hujaona video zilizochukuliwa na wao wenyewe Oct 7 ndo maana unanyoropoka
 
Hamas Wanaongoza Serikali ipi? Hamas ni magaidi kama magaidi wengine,huwezi laumu Palestine Kwa vitendo vya magaidi wa Hamas ambao sio tuu wamewaua Vijana Wetu kikatili Bali pia wanawasababishia maafa raia wa Palestine wasio na hatia.

Imeniuma sana Hawa mbwa wa Hamas kuua raia wasio na hatia.

Msimamo wa Serikali yetu ni wazi kupinga mauaji ya watu wasio na hatia ambao inafanywa na Israel na Hawa Hamas.
Naona sasa umeanza kuzinduka usingizini
 
Habari wazalendo wa kitanzania. Video hii nimeipata IG kiukweli nina mixed emotions. Nina hasira na masikitiko makubwa kupita kiasi. Ewe mtanzania mzalendo wa nchi tuweke mbali udini etc ni kitu kilichoniumzia roho mno. Hii video inamuonyesha Joshua Mollel akitekwa na Hamas. All the deniers sijui nawasaidia vipi. Huyu alikuwa ndugu yetu. RIP Joshua. My heart bleeds kwa hii familia

View attachment 2845298
Apumzike kwa amani kijana huyu. Inasikitisha sana.
 
Video ni kuzima sakata hili la kuwaua wale mateka wao wa3 ....Hili limewachafua sana mpaka wamekubali.

The first failed footage ni ile ya kulipua hospital walitoa footage wakidai ni mistake ya Hamas wakati wakirusha rocket ... Finally mabaki yalionyesha bomu limetoka USA na wao walitangaza kabla watashambulia ile tweet walifuta ila watu walikuwa nayo.

Je ni ipi dhamira yao kwa hiyo video ?

👉Dhamira yao ni kuleta kasumba ya ubaguzi wa rangi ambao lazima ilete taswira mbovu na kuwachafua HAMAS daima .

👇👇👇
View attachment 2845386
Upstairs uko sawa kweli? Magaidi wa Hamas wanachafuliwaje?

Hebu tueleze nini kilichotokea October 7?
 
Kiasili, waarabu ni mashetani. Fuatilia uone yalivyoendesha biashara ya utumwa. Jitu mpaka liliitwa Tip Tip, kwa sababu kwake kuua mtumwa ilikuwa kama unavyoua nzi.
Nionyeshe picha wakifanya biashara ya utumwa sio drawings na vinyago.

Juz tu hapa uholanzi wamekiri walifanya biashara ya utumwa unajua hilo?
 
Ni vichaa tu hao,hawajui wanachopigania,wapigane na nani na hawajui adui yao ni yupi

Watakaliwa kwa mabavu hivo hivo vizazi vyote
Toka 1948 mnapigania uhuru tu hampati badilisheni mbinu
Unahitaji kuwa binadamu tu kuweza kupigania haki za wapalestina na kuzuia Genocide.
 
Back
Top Bottom