Nimeona clip ya Mtanzania mwenzetu Joshua Mollel anauawa na Hamas. Inatia hasira kuona tulipiga kura kuwaunga mkono
Mimi sio masikini kama wewe..waisrael wanawamaliza hizo takataka zenye laana..statists zinaonyeshe Palestinians they perish everyday in good number..nice
Mshamba kweli wewe mambo yq umasikini na utajiri umekujaje Watanzania bana mtu akipata kajumba na kagari basi anajitapa tajiri daaah taarifa yako mimi ni masikini sana nauza kahawa na kashata.

Wapelestina wamezaliwa viwanja vya vita vifo kwao ni sehemu ya maisha yao yaani wapata bahati ya kumuawa Muisrael moja ni ushindi kwao.

Historia ya Israel hawajahi kupoteza Wanajeshi wingi kama kwenye vita ya Gaza ni ushindi kwa Wapestina.
 
Ndio mchezo wako 🤣🤣hta Mungu wako pale vatican anajua.
KWani mimi naishi zenji mnakopikana na kupakuana mpaka mahabusu shida yenu kubwa wajukuu wa mudi mkishliwa na walimu wa madrasa akili zenu wote zinaenda kushoto
Unacheka cheka kama umetiwa ndole ya mduku
 
Hatujui mazingira. Ila mi hapa siwalaumu sana Hamas kwa sababu Mollel alikuwa na nguo ya kijeshi iliyopelekea kuingia 18 za vita. Ni bahati mbaya sana kauawa ktk mazingira ambayo hakustahili ila kilichomponza ni hiyo chupi.

You must be dumb as a brick.
 
Niliwahi kusema haoa kwamba Rais alipiga kura kuwaunga mkono Hamas kwa msukumo wa dini wengi mlitoka povu. Kuna video inasambaa ktk mtandao wa X inatisha sana. Moyo wangu unavuja damu mtanazania mwenzetu alitokea shambani na kibaiskeli chake maskini ya Mungu. Anakamatwa najitetea lkn haeleweki kisha anapigwa risasi alaf wanashangilia huku wakisema Alakh akbar.

Kijana mdogo anazimishwa ndoto zake na wajinga wachache alaf et leo Rais anapiga kura kuwatetea wauwaji. Rais Samia damu hii utaijibia... Ulishindwa kuzuia wasimuue lkn hata kulaani mauwaji ya watanzania wenzako umeshindwa? Badala yake umewaunga mkono wauwaji.

Video hyo inaogofya sidhani kama inafaa kuwa shared hapa. Kama unataka unaweza kuingia mtandao X imesambaa sana. Inatia huruma.

R.I.P mdogo wetu
Kweli inasikitisha sana kwa alichofanyiwa huyu kijana, hakustahili hayo. Serikali iibane Palestine kwa hili.


Lakini pia inasikitisha watoto na kina mama wa Ki Palestine wasio na hatia kupigwa mabomu na Israel. Tukemee na hili pia.
 
Video ni kuzima sakata hili la kuwaua wale mateka wao wa3 ....Hili limewachafua sana mpaka wamekubali.

The first failed footage ni ile ya kulipua hospital walitoa footage wakidai ni mistake ya Hamas wakati wakirusha rocket ... Finally mabaki yalionyesha bomu limetoka USA na wao walitangaza kabla watashambulia ile tweet walifuta ila watu walikuwa nayo.

Je ni ipi dhamira yao kwa hiyo video ?

[emoji117]Dhamira yao ni kuleta kasumba ya ubaguzi wa rangi ambao lazima ilete taswira mbovu na kuwachafua HAMAS daima .

[emoji116][emoji116][emoji116]
View attachment 2845386
Watanzania wengi tupo kama mizigo hatuhoji wala kufikiria kwanini? Tunapelekwa pelekwa tu kama bendera.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nchi 14 barani Afrika zimeiondoa Israel kwenye Umoja huo AU.

Nchi zilizokubali uamuzi wa kuiondoa Israel kwenye muungano huo ni; South Africa, Tunisia, Eritrea, Senegal, Tanzania, Niger, Archipelago ya Qamar, Gabon, Nigeria, Zimbabwe, Liberia pamoja na Seychelles.

Hizo nchi zote viongozi wake ni Waislam?
Mkuu acha kutupanga,,,,sema zimepiga kura ya kutaka mjumbe wa israel asiwepo kwenye vikao vya AU...
Hizo nchi zote zina utegemezi na nchi za arabuni au za kikoministi...na sita ni muslim majority
 
Kuna jamaa zao humu wakiongozwa na Riz
Habari wazalendo wa kitanzania. Video hii nimeipata IG kiukweli nina mixed emotions. Nina hasira na masikitiko makubwa kupita kiasi. Ewe mtanzania mzalendo wa nchi tuweke mbali udini etc ni kitu kilichoniumzia roho mno. Hii video inamuonyesha Joshua Mollel akitekwa na Hamas. All the deniers sijui nawasaidia vipi. Huyu alikuwa ndugu yetu. RIP Joshua. My heart bleeds kwa hii familia

View attachment 2845298
Kuna ma agent wao humu, faidha fox , Ritz Hawa huwa ambii kitu kuhusu HAMAS . Wamekua brain washed to the highest degree
Habari wazalendo wa kitanzania. Video hii nimeipata IG kiukweli nina mixed emotions. Nina hasira na masikitiko makubwa kupita kiasi. Ewe mtanzania mzalendo wa nchi tuweke mbali udini etc ni kitu kilichoniumzia roho mno. Hii video inamuonyesha Joshua Mollel akitekwa na Hamas. All the deniers sijui nawasaidia vipi. Huyu alikuwa ndugu yetu. RIP Joshua. My heart bleeds kwa hii familia

View attachment 2845298
wao
 
Si mlisema kashikwa mateka?

Hao wanaweza kuwa mazayuni wametengeneza senema hiyo baada ya kumuuwa, wakajidai eti kauliwa na Waarabu.

Hollywood hiyo.
Faiza hata na hili huamini???
Hamas walipomuua joshua na kujirekodi unasema propaganda...
KWELI UDINI NI KANSA...
 
Na balozi wa palestina yupo nchini halafu anatuambia tuwaunge mkono wapalestina!! Ni mwehu tu atawaunga mkono magaidi mashetani waliotuulia ndugu zetu in cold blood murder.
 
Back
Top Bottom