Kwahiyo tangu tarehe 7 huu mwili ulikuwa wapi?? Je aliyerikodi hii video ninani? Je Israeli wameipataje hii clip? Je kwanini mwanzo tuliambiwa ametekwa na Hamas na kuwa yupo Gaza? Tunahitaji majibu.
Dini Nyingi chanzo chake Ni Shetani,, Na mashetani Huwa yanafurahia VifoBig NO! Haya ni mauaji ya kudhamiria na siyo vita. Mtu alikuwa katikati ya watu wenye bunduki, yeye hana hata jiwe, kwa nini amuue kinyama hivyo? Kwenye vita siku zote sheria ni kuwa hutakiwi kuua mtu asiye na silaha na haonyeshi upinzani. Halafu haya ni mauaji yaliyofanywa mwanzoni kabla hata haijawa vita. Anayejua lugha atutafsirie wanasemaje?
Sasa kama unajua kuwa walikuwa wana amishwa kama mifugo kinacho kufanya ww ukasirike wao wakitetea haki yao ni nn kama sio utahira?Wamechemkaje hebu elezea
Hao Palestine wanaohamishwa hamishwa kama mifugo toka 1948 na Israel anaejitawala nani kachemka
Duuh! This is crazy dah! I’m torn on this.tetea ao mbwa wenzako
Kamulze waziri wako wa mambo ya nje ana taarifa zote mpaka mzazi wa kijana atakuwa yuko huko kufuata mwili wa mwanaeKwahiyo tangu tarehe 7 huu mwili ulikuwa wapi?? Je aliyerikodi hii video ninani? Je Israeli wameipataje hii clip? Je kwanini mwanzo tuliambiwa ametekwa na Hamas na kuwa yupo Gaza? Tunahitaji majibu.
Hii clip ipo too general mkuu. Tuwe specific kwenye tukio la joshua kama unaweza Fanya summary.I cringe with embarrasment from your sheer ignorance.
Kabla ya kujikuta mwanafalsafa unahoji, fanya research and have the facts. Yani huna hata basic facts afu unahiji upuuzi.
Kwa kuanzia hebu listen to this clip of a Tanzanian Survivor...then tuanzie hapo mjadala.
View: https://youtu.be/201-AkxoMbk?feature=shared
RIP Banu Nadir, RIP Khaibar, RIP Banu Qureysh. Ila unaonekana wewe kidogo una utu. Sijui about the prophet kuishi kwa amaniDah this is too much,this is too emotional mkuu,sote msiba umetuumiza lakini jizuie kusema baadhi ya maneno mkuu.
Hao jamaa wauwaji wamezingua sana,kama watanzania tulaani matendo haya.
Lakini pia waisilamu tunatakiwa kulaani pia kwa sababu walioyafanya haya kwa dhahiri ni waisilamu,hivyo tunatakiwa kukemea kwani uisilamu hautaki hivyo.
Wale wanaotetea watambue kwamba jamaa hakuna na silaha yoyote,alikuwa ni mja dhaifu asiyeweza kuwashambulia.
UKristo wake haikuwa sababu ya kumuua kwa sababu hata mtume aliishi na wasiokuwa waisilamu kwa amani.
Mtume huyo huyo alisisitiza kwamba hata mkienda vitani mkiwakuta wasiokuwa waisilamu wanafanya ibada zao muwaache msiwaguse,mnatakiwa mudili na wale wanaokupigeni tu.
hili ni tukio bovu sana na ovu sana
inawezekana labda. Lakini ni ngumu kuamini israeli wakae na clip ya tukio baya kama hili la Hamas tangu tarehe 7 oktoba hadi leo hii Desemba 17 .hii haingii akilini kwa mtu mwenye akili timamu.Nahisi huenda kulikuwa na masuala ya kidiplomasia yalizingatiwa na hasa kwa nchi kama yetu ambayo mara nyingi huwa haitoi matamko
Sina uhakika sana, ila huenda aliyerekodi alikuwa Hamas na wao waisrael wamechelewa kuipata toka ilikokuwainawezekana labda. Lakini ni ngumu kuamini israeli wakae na clip ya tukio baya kama hili la Hamas tangu tarehe 7 oktoba hadi leo hii Desemba 17 .hii haingii akilini kwa mtu mwenye akili timamu.
Huwezi ukawa chawa mama alafu ukawa na akili. Jimama la hovyo kuwahi kulishuhudiaUpumbavu wangu upi? Kwani Mollel yeye alijua madhara ya kuvaa chupi ya kijeshi??? Hata yeye hatuwezi kumhukumu kwa sababu alikuwa hajui pia. Ila Israel ndiyo inapaswa kulaumiwa. Walipaswa wawape elimu ya ulinzi binafsi kabla ya kuanza kazi. Kijana kafa kifo cha mazingira ya kujitakia bila kujua.
Ona hili jamaaSawa
Ila haiwi sababu yakutowaunga mkono hamas kuipigania haki yao yakimsingi
From North to South HAMAS terrorists watauwawa kama vilivyoua vijana wetu. Mungu ibariki ISRAEL iifute HAMAS kwenye uso wa dunia.Pole sana yahudi mweusi wa kibosho
Utakufa utauacha Uislam. Tena Dini inayokuwa kwa kasi. Unajiumiza bure tu. Hamtoweza kuifuta Dini hii tukufu.Narudia, Waislamu wote duniani ni magaidi na wapumbavu hivyo wanapaswa kuuawa ili dunia iweze kuwa sehemu salama.