Nimepata mtoto wa kiume usiku huu, baada ya kuwa kwenye ndoa kwa zaidi ya miaka 7

Hongereni wote. Kila la kheri mdau..
 
Hongera.
Ushauri mwingine ni kama wa nguvu za giza.
Utapata pia watoto wengine. Kila jambo lina wakati wake
Mama mmoja na mme wake pale mbeya walingojea watoto kwa miaka mingi tena wakiwa na ukwasi mkubwa.

Walikuja kupata baada ya miaka saba ya ndoa. Sasa ni wakubwa na walikuwa wanazaa mapacha.

Achana na hao wapunga pepo, je wao wanaamini nini kuwa watoto wote ni wao?
 
Hongera sana Mkuu, nikusihi tu kwamba Furahia zaidi na zaidi kwa kupata mtoto huu ni wakati wako kuiona dunia ni sehemu yenye furaha na salama kwako kuishi.

Puuza hizi tahadhali unazopewa kwa sasa maana zitakufanya ushindwe kuwa na amani katika familia yako pasipo maana yoyote kwa sasa. Kama kuna lolote lenye utata lije baadae sio sasa.

Mungu awajaalie afya njema mama na kichanga chake. ENJOY
 
Mimi kila mara nawazalisha wake za watu, Kiufupi mjini hapa asilimia 3.4% ya watoto wanazaliwa baba yao ni mimi
Cc : ephen_
 
Ukisikia uchawi ndiyo huu sasa
 
au je wao ni watoto wa baba zao?
 
Kuna wasaga sumu humu 🤣🤣mtu kakaa miaka saba ...seven ocloko bila mtoto hivi unadhani ni mchezo.Maana kejeli za ndugu majirani zote uzifumbie macho si kazi rahisi maana utaitwa majina yote mabaya mara mkeo alikua malaya huyo alikaanga mayai na dawa za kuzia mimba,mkeo alitoa sana mimba na alikua anakutana na wanaume wenye uchi mkubwa sasa kizazi kimesogea ..ukija kwako sasa ohoo ww mwanaume suruali kitu kinatepweta huna lolote unamchafua mtoto wa watu tu ebwana kila tusi la kukufehesha utatukanwa.Kaka Mungu kakuona leo mpende sana mkeo na mtoto wako maana hao ndo familia yako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…