Nimepata mtoto wa kiume usiku huu, baada ya kuwa kwenye ndoa kwa zaidi ya miaka 7

Nimepata mtoto wa kiume usiku huu, baada ya kuwa kwenye ndoa kwa zaidi ya miaka 7

Siwezi mkuu. Kwani wewe mama Yako ashawahi kukutambulisha kuwa huyu ndo baba Yako mzazi? Au unaishi Kwa mazoez tu?

Kisa anatoka na taulo kwenye chumba Cha mama Yako?
Basi ungemwacha mwamba na yeye aishi kwa mazoea na mwanae, ya nn unamtaka akampime hyo dogo dna wakati we mwenyewe huna uhakika na unayemuita dingilaa kama ni dingilaa kwel? au kama una mtoto je una uhakika gani ni wako? au ulishapima?
 
Nakushauri upime DNA ili kujihakikishia umiliki wa huyo mgeni mpya aliyewasili hapa duniani leo hii.
Kipimo Cha furaha uliyonayo leo hii itakuwa sawa sawa na kipimo Cha huzuni utakayopata wakati utakapokuja kugundua kwamba kumbe wewe ni baba mlezi tu wa huyo mgeni mpya aliyewasili.

Kwa leo sitaweza kukupongeza kwa ugeni wako huo hadi hapo baadaye nitakapopata majibu ya uhakika ya DNA Test kuhusu huyo mgeni wako.
Ila we jamaa wewe
 
Basi ungemwacha mwamba na yeye aishi kwa mazoea na mwanae, ya nn unamtaka akampime hyo dogo dna wakati we mwenyewe huna uhakika na unayemuita dingilaa kama ni dingilaa kwel? au kama una mtoto je una uhakika gani ni wako? au ulishapima?

Kwa maelezo yake Kuna uwalakini mkubwa wa kupima DNA miaka7 then iwe Leo? Ni sawa lkn kujihakikishia kapime DNA.

Mzee ni kimwambia Mimi ataniuliza una baba mwingine zaidi yangu? Hili ni jukume lake anipe au lah!

Muulize mama kwanza kama huyo ndo baba Yako mzee
 
Kwa maelezo yake Kuna uwalakini mkubwa wa kupima DNA miaka7 then iwe Leo? Ni sawa lkn kujihakikishia kapime DNA.

Mzee ni kimwambia Mimi ataniuliza una baba mwingine zaidi yangu? Hili ni jukume lake anipe au lah!

Muulize mama kwanza kama huyo ndo baba Yako mzee
sasa me nimuulize wa nn? Kwa hyo kwa vile wewe mimba yako ilitungwa ndani ya mwez baada ya ndoa inagarantii kuwa ni ya baba yako, kama mama yako alikuwa na mimba ya mwanaume mwingne je?
 
Najua mkeo amepitia mengi Sana hasa kutoka kwa ndugu zako mwenyewe.
Mimi Sasa hivi ndugu yangu ni mke wangu na watoto nilio wazaa mwenyewe. Full stop.
Mtu unamuona ndugu wa damu kumbe unafiki umejaa moyoni mwake, ukimnunulia mkeo gari roho zinawauma kisa walitaka uwanunulie wao. Hata MTU kuja kwangu sitaki. Tutakutana kwenye misiba.

Bro mpe pole Shem kwa aliyopitia maana ameitwa kila jina baya. Hao wanafiki wakija kumuona waambie, amepumzika njooni siku nyingine.
Mkuu na kuelewa vizuri ila ungesema ndugu zako wa dhati ni watoto wako, mke muondowe, utakua disappointed bure mpaka upate stroke, never ever trust a woman in your life time save your mother
 

Kuna msemo wa kiarabu usemao "inna baada Sabri, bushraa" yaani hakika Kila baada ya subra ni habari njema.

Hakika ndo ninavoweza kusema baada ya kuishi na mke wangu Kwa zaidi ya miaka 7 bila mtoto.

Hatimae Leo tarehe 27.07.2024 naandika historia mpya na njema katika mgongo wa ardhi hii ya dunia kwakuwa na mtoto wakiume.

Haikuwa rahisi ila kwakuwa nilimwachia mungu, naamin Leo ameamua kunijibu.

Hakika subra ni dawa na ponyo tosha Kwa wanaadamu.

Baada ya miaka mingi ya majuto na machozi Kwa mke wangu hatimae Leo amemuona mwanae mwenyewe.

Nashukuru mungu nami alinipa subra na uvumilivu wakuamini kuwa ipo siku tutapata mtoto.

Asikuambie mtu ni mtihani mkubwa saana kuwa kwenye ndoa na ukakosa mtoto Kwa muda mrefu.

Mungu alinipa maneno ya kumfariji Kila nilipomuona mke wangu analia.

Hakika nilikuwa mnyonge saana, ila usiku wa Leo mwanangu amenipa nguvu kubwa saana.

Amefuta Kila aina ya huzuni na kufanya nisahau Kila uchungu niliowahi kuwa nao.

Mungu nitunzie mwanangu, nitafanya Kila niwezalo huyu mtoto aishi Kwa furaha.

Hata kama nikiondoka Leo katika dunia hii najua kuwa nimeacha mtoto.

Tafadhali, nakuomba mungu usinicheleweshee na ndugu zake.

Mungu wape subra na uwafanyie wepesi wale wote wanaopitia katika mtihani huu, hakika wewe ndo mjuzi wa Kila kitu. Kwako halicheleweshwi jambo isipokuwa pale utakapo.

Hakika wamesubiri basi wape shufaa nao waone kizazi Chao.

Ameeeen!​
Congratulations
 
Najua namna gani ulivyo na furaha. Mungu aizidishe furaha yako mara dufu.

Ndugu yangu alisubiri miaka 8 bila ya mtoto. Can u imagine? Tena wote wakiwa na afya njema bila tatizo lolote. Kila kitu kipo sawa, ila mimba haikamati.

Kila upande ukaanza kuinyooshea kidole upande mwingine. Upande wa mume (sisi) tukaanza kusema ndugu yetu hana shida. Tufanye mpango *mke wa pili.

Upande wa mke unamuasa ndugu yao, agawe uroda kwa wanaume wengine. Wamfungulie jamaa njia 🤣🤣🤣. Duh!
.
Tafrani tupu. Maneno mengi sana. Lakini wenza wale waliamua kusubiri. Waliamua kuupa muda uamue.

Baada ya miaka nane ya msoto, hatimaye wakabarikiwa kupata mtoto wa kike, mrembo kweli kweli. Mchangamfu na mjanja sana. Huna haja ya kuulizia kama ni wa babaye, unahitimisha tu.

Bahati ilikuwa kwao. Walioana wangali vijana. Sasa wana watoto watano wenye furaha kubwa.

Usikilize maneno ya watu. Hawajui mateso uliyopitia. Furahia na umshukuru Mungu. Mrejeshee sifa na utukufu. Binadamu hawa wanaokutia wasiwasi ndiyo wale waliokuwa wanakusimanga wewe na mkeo. Kisa mmeshindwa hata kupata mtoto mmoja.

Leo wanaibuka na kukutia hofu, ili uendelee kuishi kwa wasiwasi. Binadamu hajawahi kueleweka.

Kila la kheri.
 
Nakushauri upime DNA ili kujihakikishia umiliki wa huyo mgeni mpya aliyewasili hapa duniani leo hii.
Kipimo Cha furaha uliyonayo leo hii itakuwa sawa sawa na kipimo Cha huzuni utakayopata wakati utakapokuja kugundua kwamba kumbe wewe ni baba mlezi tu wa huyo mgeni mpya aliyewasili.

Kwa leo sitaweza kukupongeza kwa ugeni wako huo hadi hapo baadaye nitakapopata majibu ya uhakika ya DNA Test kuhusu huyo mgeni wako.
Huyo ni mwanae....kumbuka, Kitanda hakizai haramu.

Hongera sana mleta mada kwa kupata uliyemsubiri kwa muda mrefu.
Mlee katika maadaili mema ya kujitambua na kuwatambua wengine.
 
Anyway nimeshashuhudia wanawake wawili wakibebeshwa mimba na wanaume tofauti wasio na waume zao kwenye ndoa, mmojawapo kati ya hao ana mtoto wangu nilifanya kumsaidia baada ya kuniambia changamoto alizokuwa akipitia kwenye ndoa yake nikaona hili jukumu nilibebe tu.

Tumekubaliana na yule mwanamke akitaka mtoto wa pili arudi tena kwangu, ili mtoto wa pili awe na ufanano na huyu wa kwanza, sio akazae hovyo leo baba wa mbagala kesho wa ilala, haitakuwa vizuri.

By the way, mwanamke kuzaa nje ya ndoa hapa mjini ni kawaida sana, wengi hufanya hivyo iwe mume wake ana tatizo la uzazi au hana, tusidhani mababa walezi wote ni wale wenye matatizo ya uzazi, hata marijali pia tunaweza geuzwa mababa walezi, ni jambo la sekunde tu, wanawake ndio wanajua kila kitu, sisi ni vipofu tu.

Hii dunia tuiache kama ilivyo, pamoja na yote hapo juu mtoto wa kiume uliyempata anaweza kuwa ni wako 100%, ishi kwa amani na mkeo hasa kwa wakti huu akiwa kwenye uzazi.
Usihalalishe makosa na udhaifu wako uwe wa wote, hapana asilimia kubwa ya wanawake ni waminifu kwa ndoa zao kwa kipindi kikubwa kabla hawaja rubuniwa na watu wenye fikra potofu kama ya kwako.
 
Mkeo SI ndugu yako, narudia mkeo si ndugu Yako, kama hujawahi kupata tatizo la kukufanya ujisaidie ukiwa umelala Kwa zaidi ya miezi minne usimalize kusema,
Waache na unafiki wao ila nakuhakikishia wakati mkeo atakuwa busy kuficha hati za nyumba na kadi za magari wanafiki watakuwa bize na mavi yako hasa uliozaliwa nao, from experience.
Usi generalise mifano ipo! Mke wa mwanangu alibeba jukumu la kuhangaika na mumewe tangu alipotoka hospital hadi sasa. Alitueleza wazazi wake twende makwetu maana yeye anammudu mgonjwa. Kwa sasa angalau anaweza kujisafisha na karibu anamtoa! Tusigenelalaise
 
Basi ungemwacha mwamba na yeye aishi kwa mazoea na mwanae, ya nn unamtaka akampime hyo dogo dna wakati we mwenyewe huna uhakika na unayemuita dingilaa kama ni dingilaa kwel? au kama una mtoto je una uhakika gani ni wako? au ulishapima?
Sikushauli kupima DNA, ogopa kitu hii
 
Back
Top Bottom