nipo online
JF-Expert Member
- Sep 10, 2022
- 1,039
- 2,657
- Thread starter
-
- #81
Nashukuru vip wazee wa TRA hawasumbui?Binafsi ningekushauri ufanye hiyo biashara ya kwanza;
Saloon na kuingiza Movies na nyimbo
Kwanini biashara hii?
~Inahitaji Mtaji kidogo
~Una uhakika wa kuzalisha zaidi ya shilingi 300,000 Kwa Mwezi
~Inahitaji usimamizi kidogo, ukifanikiwa Kufunga CCTV camera utajua Kila shilingi inayoingia
~Ni biashara yenye risk ndogo
~Ni biashara inayotumia fedha kidogo za Uendeshaji(O&M).
Shukrani Mkuu 🙏🙏Hivyo hivyo maana mwingine atasema operations & management kumbe ni vingine kabisa
Ukishapata Fremu ya kufanyia hiyo biashara yakoNashukuru vip wazee wa TRA hawasumbui?
Duka la nafaka, mfano umeagiza nafaka kilo 100 ukija kupiga hesabu unapima ulipo unajua uliouzw ani kiasi flani na bei kiasi flani na hata mafuta lita zinajulikana inshort vitu vya duka la mangi vinakuja kwa idadi na control ni rahisi hata kama hayupoToa maelezo utajuaje km unaibiwa na wewe kuja kuangalia ni mwezi mpaka mwezi?
Kazini kwetu marufuku biashara, hawezi kubali uwanja wake nafanyia plan B, ni taasisi binafsi. So haiwezekani, licha ya hivyo figisu zitaanza mkuuHapo kazini kwako ndio mahali pazuri pa kuanzia , Anza kutoa mikopo midogo midogo kwa wafanyakazi wenzako isiyozidi 50k , weka mazingira mazuri kwa hr na watu wa accounts namna ya kupata rejesho. Factors nyingine kama majungu kazini watu wasiokopesheka nk ziweke kwenye mzani
Kwani vitambulisho vya ujasiriamali vip?Ukishapata Fremu ya kufanyia hiyo biashara yako
Nenda Halmashauri ukakate Leseni ya biashara ukiwa na Namba ya Mlipa Kodi(TIN number).
Kisha nenda TRA wakakukadirie Kodi kisha uanze kufanya biashara
Hiyo hela fungulua zipu maana akili huna!Nina hicho kiasi. Kichwani kwangu nina mawazo haya ya biashara lakini nasita ipi hasa na hizi zote nimezipata humu humu na kulingana na mazingira yangu.
1. Saloon na kuingiza movies na nyimbo.
2. Bodaboda ya million 1.2 dar napata nzuri.
3. Kinglion pikipiki dar ya lak 9. Then lak 4 nibebe balo la nguo za watoto mix nipite nayo vijijini.
4. Duka la mangi hususan biashara ya nafaka mchele, maharage na mafuta ya kula.
5. Niwekeze shambani huu msimu wa kilimo (hii ni option ya mwisho sababu sina skills)
NB: Boda nitampa mtu, salon mtu, maana mi sina muda. Asante karibu kwa ushauri.
Kuna jamaa anaingiza movies, kasema kua aliambiwa alipe 80k kwa mwakaUkishapata Fremu ya kufanyia hiyo biashara yako
Nenda Halmashauri ukakate Leseni ya biashara ukiwa na Namba ya Mlipa Kodi(TIN number).
Kisha nenda TRA wakakukadirie Kodi kisha uanze kufanya biashara
Usifanye biashara ambayo hutoweza kui control kwa asilimia 100. Uhusika wako ni muhimu sana hadi pale utapotengeneza mifumo ya kuiendesha ndo unaweza ukamkabidhi mtu.Nina hicho kiasi. Kichwani kwangu nina mawazo haya ya biashara lakini nasita ipi hasa na hizi zote nimezipata humu humu na kulingana na mazingira yangu.
1. Saloon na kuingiza movies na nyimbo.
2. Bodaboda ya million 1.2 dar napata nzuri.
3. Kinglion pikipiki dar ya lak 9. Then lak 4 nibebe balo la nguo za watoto mix nipite nayo vijijini.
4. Duka la mangi hususan biashara ya nafaka mchele, maharage na mafuta ya kula.
5. Niwekeze shambani huu msimu wa kilimo (hii ni option ya mwisho sababu sina skills)
NB: Boda nitampa mtu, salon mtu, maana mi sina muda. Asante karibu kwa ushauri.
Baba yako ndo akili hana kukuzaa bwege weweHiyo hela fungulua zipu maana akili huna!
Hivyo havifanyi kazi sasaKwani vitambulisho vya ujasiriamali vip?
Aliyekudanganya mna kiwango kidogo na kikubwa nani!Kwa milio 1 nukta 3 nani atajikaza hapo
Ndiyo maana Kuna haja na wewe uende waka-kukadirieKuna jamaa anaingiza movies, kasema kua aliambiwa alipe 80k kwa mwaka
Hapa kidooogo umefafanua angalauDuka la nafaka, mfano umeagiza nafaka kilo 100 ukija kupiga hesabu unapima ulipo unajua uliouzw ani kiasi flani na bei kiasi flani na hata mafuta lita zinajulikana inshort vitu vya duka la mangi vinakuja kwa idadi na control ni rahisi hata kama hayupo
Mshangazi si umeona alichocommentAmuombe @mshang idea
Una familia?Nimefanya biashara January to June,nikapata asilimia 75%,kuitunza mpaka January ijayo nimeila yote hapa nilipo nasubiri bakora za wasiojulikana sababu nimeyatimba na January Iko mbali,biashara za msimu ni kipengele
Na vip kitatokea nini Endapo nitafanya bila kuwafata TRA maana jamaa adi Leo anakwepaNdiyo maana Kuna haja na wewe uende waka-kukadirie
Mnaweza kufanya biashara aina Moja lakini mkapewa Kodi tofauti kutokana na eneo unalofanyia kazi na factors nyingine
Ongeza: Utofauti ni location tu umemkuta wapi akiwa kwenye hali gani?Aliyekudanganya mna kiwango kidogo na kikubwa nani!
Huyo huyo wa 5,000/= ndiyo huyo huyo wa million,tena na kipindi hiki cha vicoba hata mwenye buku hayupo salama.
Siwezi betiHAPO TAFUTA ODDS 1.32 WEKA ELF 50 KILA SIKU UNAKUA NA UWAKIKA WA KUINGIZA ELF 15 KILA SIKU UKU UKIWA KWNYE SOFA HAPO KWA SHEMEJI YAKO MKUU.