Nimepata Tsh. Milioni 1.3, naomba ushauri wa aina ya biashara ninayoweza kufanya

Nashukuru vip wazee wa TRA hawasumbui?
 
Toa maelezo utajuaje km unaibiwa na wewe kuja kuangalia ni mwezi mpaka mwezi?
Duka la nafaka, mfano umeagiza nafaka kilo 100 ukija kupiga hesabu unapima ulipo unajua uliouzw ani kiasi flani na bei kiasi flani na hata mafuta lita zinajulikana inshort vitu vya duka la mangi vinakuja kwa idadi na control ni rahisi hata kama hayupo
 
Kazini kwetu marufuku biashara, hawezi kubali uwanja wake nafanyia plan B, ni taasisi binafsi. So haiwezekani, licha ya hivyo figisu zitaanza mkuu
 
Ukishapata Fremu ya kufanyia hiyo biashara yako

Nenda Halmashauri ukakate Leseni ya biashara ukiwa na Namba ya Mlipa Kodi(TIN number).

Kisha nenda TRA wakakukadirie Kodi kisha uanze kufanya biashara
Kwani vitambulisho vya ujasiriamali vip?
 
Hiyo hela fungulua zipu maana akili huna!
 
Usifanye biashara ambayo hutoweza kui control kwa asilimia 100. Uhusika wako ni muhimu sana hadi pale utapotengeneza mifumo ya kuiendesha ndo unaweza ukamkabidhi mtu.
 
HAPO TAFUTA ODDS 1.32 WEKA ELF 50 KILA SIKU UNAKUA NA UWAKIKA WA KUINGIZA ELF 15 KILA SIKU UKU UKIWA KWNYE SOFA HAPO KWA SHEMEJI YAKO MKUU.
 
Kuna jamaa anaingiza movies, kasema kua aliambiwa alipe 80k kwa mwaka
Ndiyo maana Kuna haja na wewe uende waka-kukadirie

Mnaweza kufanya biashara aina Moja lakini mkapewa Kodi tofauti kutokana na eneo unalofanyia kazi na factors nyingine
 
Hapa kidooogo umefafanua angalau
 
Nimefanya biashara January to June,nikapata asilimia 75%,kuitunza mpaka January ijayo nimeila yote hapa nilipo nasubiri bakora za wasiojulikana sababu nimeyatimba na January Iko mbali,biashara za msimu ni kipengele
Una familia?
 
Ndiyo maana Kuna haja na wewe uende waka-kukadirie

Mnaweza kufanya biashara aina Moja lakini mkapewa Kodi tofauti kutokana na eneo unalofanyia kazi na factors nyingine
Na vip kitatokea nini Endapo nitafanya bila kuwafata TRA maana jamaa adi Leo anakwepa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…