Ni kubaki akili mbichi za watoto kwa kuwa register kwenye mifumo ambayo itapunja GB zao kichwani mwao.Poa, angalia mtoto anavyotekwa kiimani, anabatizwa akiwa mtoto, anafahamu nini? Muache awe mtu mzima aamue mwenyewe kama atakubali kudanganywa na hizi imani za kigeni.
Una hoja. Usikilizwe kidogoNitazikwa ila sitaki maujinga yenu ya kuniombea coz hayasaidii wala nini na sioni tija yake kwa sababu hamjawahi fufua mtu wala kuhakiki kuwa maombi yamemfikisha marehem peponi.
Ni utahira kwa sisi Waafrika kutaka kwenda mbinguni kuliko hata hao walioanzldika na kupeint hivyo vitabu
Ila ukiangalia watu wa dini walivyo ,upo sahihi sana mkuu👏Ni kubaki akili mbichi za watoto kwa kuwa register kwenye mifumo ambayo itapunja GB zao kichwani mwao.
subiri watoto wako wafundishwe na shetani wawe mashoga, wasagaji, wauwaji na vibaka ndio utastuka.Baada ya kuona ujinga mambo ya makanisani nimeona nipige marufuku watoto wangu kuwa brain washed na mambo ya kanisa na aina zote za imani badala yake nawafùndisha life manners mwenyewe.Kama wataamua kwenda kwenye imani yoyote wafanye baada ya kutoka kwenye himaya yangu.
Mke wangu kwa vile tulikutana ukubwani mi nimeachana nae aendelee kuwa nyumbu wa huu ujinga wa kuwa na matumaini ya kwenda mbinguni.
SERA YANGU:Mbingu yangu ni hii good life niliyo nayo kwa sasa nikifikwa na majanga basi itakuwa jahannam yangu.
KAMA UNAUNGANA NA MIMI GONGA LIKE TUJUANE
Hataki kupokea miujiza wala kutoa sadaka ya kuji-finish.😂Una hoja. Usikilizwe kidogo
Unaenda Church kama backup ili ukifa uzikwe vizuri?Ukifa tukufukie kama mzoga au utazikwa na City?
Brazil , saudia, Argentina, Italy , Philippines hizi ni nchi zina dini mno ila hayo yote yanapatikana kwa wingi .subiri watoto wako wafundishwe na shetani wawe mashoga, wasagaji, wauwaji na vibaka ndio utastuka.
Yanafananaje haya maswali na topic yangu?Mfano wewe una uhakika kuwa mama yako mzazi ndie huyo kuwa labda walikuokota jalalani baada ya kutelekezwa na mama yako halisi
Au una uhakika gani kama huyo baba yako ndie mwenyewe ?
Wale maparoko wanaolawiti vivulana na walimu wa madrasat wanaorawiti ni wa dini ya shetani?subiri watoto wako wafundishwe na shetani wawe mashoga, wasagaji, wauwaji na vibaka ndio utastuka.
Kwani kanisa likimzika kuna kitu linamuongezea?Ukifa tukufukie kama mzoga au utazikwa na City?
watu hamuelewi mtaji wa kijamii vizuriNaungana na mtoa mada, Samaki mkunje angali mbichi.....
kwa nchi zilizoendelea mtoto kusema hana Dini ni kitu cha kawaida sana ila kwa hizi nchi za kishenzi za Dunia ya Tatu ndo watu wanashangaa, acha mabadiliko yaanze huu upuuzi hata mimi kwa mwanangu ni marufuku.
Kwa kweli tunaenda kuwajaza watoto mataka taka yasio na ulazima vichwani mwao bila sababu ya msingi.Mkuu Billie binafsi nimekuelewa mno, kila la heri katika yote.
Pengine hii comment yako ingepata fursa ya kusomwa na wazee wakale waliouawa wakati wakoloni wakiwalazimisha kufuata dini yao, wangeidharau sana elimu yako.Hakuna anaekupinga lakini watoto wako wana bahati mbaya ya kuwa na baba mjinga kama wewe
Wapi nimesema linamuongezea kitu? Watu wenye akili tunafahamu dini ni utapeli tu, lakini lazima ukae kwenye mfumo wa dunia inavyotaka siyo unavyotaka, usidhani hizi serikali ni wajinga kukumbatia dini.Kwani kanisa likimzika kuna kitu linamuongezea?
unadanganywa kuwa maombi ya viongozi wa dini yana mantiki yoyote kwenye mazishi