Mfano; unafuga bata, mfuatiliw maisha yake hadi kule anakokula chakula then mchinje umle 😷!.Unampuuza kama umebaini alichokiongea ni uongo.
Vinginevyo ni kufumba macho kwa lengo la kukwepa ngumi ya uso.
Acha akili za ajabu. Unaweza kufungua duka leo usiuze chochote na usiku likaungua moto. Kuanza upya si ujinga. mahali yako isikuingize pabaya tukakosa uzi wako wa kuomba ushauri hapa jf.Shida nikwamba nilishatoa mahari kila kitu mpaka kumvisha Pete bado ndoa tu ila ndio nakutana nahii ishu
Nimesoma uzi Kisha nikasoma comment za wadau... Ushauri wangu ni huu:Ndugu zangu mimi nipo DSM nimechumbia Arusha.. Na nilipanga ndoa iwe mwezi Wa kumi mwishoni.. Sasa leo wakati nimetulia nikapokea SMS kwenye namba ngeni ikaniambia kwamba mwanamke ninae taka kumuoa ana wanaume wengi na hata nilivyo mvisha pete bado yupo nao na jana alikua lodge na mwanaume.
Nikabisha nikamwambia anipe ushahidi jamaa akaniomba namba za whatsapp nikampa nilicho kikuta sikuamini kumbe jamaa alimrekodi wakati anamla asee ni yeye Kabisa sio editing jamaa kaniambia kwamba kama nina oa nioe tu lakini nijue kwamba naoa mtu Wa namna gani. Hapa nilipo nahisi presha kabisa...
Naombeni ushauri wakuu
Basi una tatizo mahala...Eeh ndiyo!.
Nipo kwenye ndoa mwaka wa 4 Sasa hivi mkuu toka kipindi cha Uviko 20😁😁mwanamke niliyemuoa ni Bikra pure nliotoa Mimi mwenyewe na Abdala kichwa wazi wanguWewe umeoa? Kama bado siku ukiwa unaoa na wewe watakuonea huruma hivyo hivyo.
KATAA NDOA kuna ingizo jipya huku wahini kbl wapinzani hawajamdaka!Ndugu zangu mimi nipo DSM nimechumbia Arusha.. Na nilipanga ndoa iwe mwezi Wa kumi mwishoni.. Sasa leo wakati nimetulia nikapokea SMS kwenye namba ngeni ikaniambia kwamba mwanamke ninae taka kumuoa ana wanaume wengi na hata nilivyo mvisha pete bado yupo nao na jana alikua lodge na mwanaume.
Nikabisha nikamwambia anipe ushahidi jamaa akaniomba namba za whatsapp nikampa nilicho kikuta sikuamini kumbe jamaa alimrekodi wakati anamla asee ni yeye Kabisa sio editing jamaa kaniambia kwamba kama nina oa nioe tu lakini nijue kwamba naoa mtu Wa namna gani. Hapa nilipo nahisi presha kabisa...
Naombeni ushauri wakuu
Mkuu mbona kama hii code nimeifunguaMimi Kuna demu kavalishwa Pete Tarehe 10/8 huko Moshi hahaha nikimuangalia na Jamaa angeenda kumuoa mwezi wa 11 km sio wa 12 namuonea huruma maana demu ana circle sio poa maana washkaji zangu watatu washakula Mimi nishakula kimasihara ndgu yangu ashakula daah na nkikumbuka siku nikila alivyokua akipiga kelele😝😝Yan full kuugulia miguno kama yote alafu sa hv nasikia licha ya kuvalishwa Pete anamaduka mawili kafunguliwa na Moja kafunguliwa na ex wake mtoto wa kibopa mmoja hapo Jiji la Tanga na lingine la huyo husband to be wake hapo makao makuu ya Nchi😝😝😝 na wakati Mimi nlikua namkula kwa simu nlomuhonga kesho kutwa anaolewa mwamba mwenyewe humble mstaarabu sijui atakua huku JF😝😝😁nisije aribu Code nkawa mchawi wa mambo ya watu bure ila namuonea huruma tu sana jamaa angejua anachoenda kuingiza nyumbani kwake angekimbia avunjike miguu yote
Acha ujinga fazaaa. Dem umeona video analiwa ndio unataka amuoe?Makabila ya kanda ya ziwa yana majina ya watu wanaovuruga uchumba wa mtu, wanaitwa 'bhasobhezi', hiyo ni title kabisa yaani.
Kwa hoja yako hiyo embu ichimbe kiundani zaidi ili uelewe mantiki ya wewe kupewa taarifa hiyo katika kipindi hiki ni nini hasa?
Je mtu asiyekufahamu wewe, anaweza kukupenda zaidi kukuhabarisha habari za faida?
Rudi kwenye nafsi yako, hivi kweli wewe ni msafi wa mfano kuweza kumnyooshea mwenzako kidole kwa haki juu ya mambo anayofanya ambayo hujawahi kuyafanya?
Rudi kwenye jamii, hivi tamaduni za kuoa mabinti mabikra bado zipogo, wangapi wanyooshe mikono juu kutudhihirishia kuwa wao walioa vigori na bikra zao og sealed, na siyo zile bikra feki?
Kijana, angalia mizani ya upendo wenu na huyo nwenzako upoje?
Huyo msichana mchumba wako yupo kwenye vita ngumu sana na wabaya wake pamoja na mahawara zake ili asiweze kufanikiiaha ndoto zake za kuolewa.
Badala yake anatakiwa abaki nao hao warusha picha wakimtumia kama mtumwa wao wa kingono bila ya uelekeo, embu okoa jahazi kiume.
Kihunzi cha kwanza cha asessment muhimu katika maisha ya ndoa umekiruka kirahisi tena kwa kurahisishiwa na vishoka, sasa umebakiza vichache virahisi ambavyo utakuja kuvimalizia mkianza kuishi pamoja na utamuwini vizuri sana huyo mwanamke ukiiahi naye.
Huwa ni mtihani mkubwa sana kudhani umeoa mwanamke 'wautulie' kumbe ni kipanga kisichokosa mawindo!
Umeshamwelewa baadhi ya background ya tabia zake ni rahisi sasa kuweza kuishi naye kama ni kweli aliyopigwa nayo picha akiyafanya, atajirekebisha na kuachana nayo, maana mambo haya ni hulka ya vijana wote wa rika lenu.
Na mkiona mmefanikiwa na kuannza kuishi pamoja na kwa malengo, tabia hizo hujiua zenyewe mwilini mwa mtu kama vile Ccm ya Kikwete na Mukama ilivyojivua gamba 2011😁😁😜
Itapendeza ukimuoa na kuzipangua figisu na fitina zote anazopigwa mwenzako.
Maana saazingine yawezekana naye huko kashatumiwa kashifa zako ili kuwavuruga lengo lenu lisiwezekane kama nilvyokwisha sema.
Nimekumiss 🤗Piga chini.....
Video umesahau kuweka bro!
Mimi nimecheka sana kwa comment yako baada ya kugundua najibishana na kijana wa rika gani.Acha ujinga fazaaa. Dem umeona video analiwa ndio unataka amuoe?
Wewe ndio Fala wa kwanza hapa Tz
Nalo hili likatazamwe.Je kama video ni ya zaman kabla hujamchumbia
Unauhakika gani kama hiyo video ni ya jana?
Aliyekutumia hiyo video lazima kuna jambo lunamuumiza labda kwa kumkosa huyo binti au whatever.. sidhani kama ana nia njema kwako..au unadhani anakupenda sana haki akupe taarifa?nikwel
Hii niya sasa ndugu asilimia 100Je kama video ni ya zaman kabla hujamchumbia
Ndio niya jumatatuSiku zote mtu anaekuletea umbea kukuharibia mambo yako ni wa kuwa nae makini. Umethibitisha hiyo video ni ya karibuni?