Nimepokea taarifa ya baadhi ya raia wa Afrika Kusini kuwataka wageni kuondoka nchini mwao

Nawaunga mkono wa South Africa nyie mnavamia nchi za watu kibaya zaidi mnajazana zaidi huko bila vibali mnafanya maovu kama kuuza madawa ya kulenya ,mauaji, wizi ,ubakaji ,ujambazi NK .
Mnachukua ajira za wazawa ,wao Wana Haki ya kupigania maslahi Yao pia , nyie mnashindwa kurudi na kusetle kwenye nchi zenu na kuziwajibisha serikali zenu kutengeneza mifumo Bora ya uendeshaji WA hizo nchi ili ziwe Bora ,
Shameful .
 
Jina lingine wanajulikana kama Machafuchafu na wengi wao ni watoto wa mtaani.
Ambao zamani kwenye miaka 1989 mpaka 1991 kipindi cha baridi walikuwa wanafanya mauaji mbele ya polisi ili aende jela kujificha Baridi.
Wabaya ni Wazulu sio wakosa kwani Wazulu ni wavivu wa kufanyakazi na kufikiti.
Binadamu gani anajisifia kuwa na namba kubwa ya mauaji ndio mjanja.
Yaani kuua ni ujanja au ujinga
 
Group yetu wengi walitawanyikia UK wengine Switzerland hasa wazee wanyeupe, pale Golden Acre mall underground ndio tulikuwa foreigner wa kwanza kuthubutu kuchukuwa space to rent na kuweka Salon la kijanja.
 
Inasemekana wanawake wa kisouth ni wazuri balaa
South Africa kuna race 4, black, wazungu, makaladi na wahindi, hizo race zote kuna visu vya ukweli Ila makaladi the best ni kama vitoto vya kiarabu hivi lakini pisi za ukweli.
 
Umevuta nini?

Mbona hoja zako ni tofauti na za mtoa mada? Au lengo ni kutujuza kuwa ushaishi south africa,

Tambua kuwa kinachoongelewa sio kigeni, kilishawah kutokea zaidi ya mara mbili.
 
Umevuta nini?

Mbona hoja zako ni tofauti na za mtoa mada? Au lengo ni kutujuza kuwa ushaishi south africa,

Tambua kuwa kinachoongelewa sio kigeni, kilishawah kutokea zaidi ya mara mbili.
Nope sijaishi huko nipo ruvuma huku,ila nakataa uzuzu, wapi source ya taarifa hiyo kuwa March 2023,Waafrika wote wahamiaji wawe wameindoka SA?,ni hilo tu au unaona ni ombi kubwa sana?
 
Ginehe bhabhaa??
Sipati picha ingelikua moja ya nchi za kiarabu yatokee haya ya "kufukuza wageni, hususani hapa bongo" i think wangejumuishwa waarabu wote ni makatili, magaidi, yanaroho mbaya, mashetani, hapo wenye udini nao wangelipuka balaa wakina fulani bhabhaa 😁😁 lakini kwakua ni wenzetu wasauzi itaonekana ni kawaida tuu bila kujumuishwa "waafrika ni makatili" 😁😁 inachekesha sana. Hebu tuwapende hawa ndugu zetu waarabu kama wanavyotupenda,, Na haitatokea wao kufukuza wageni, ni wakarimu mno bhabhaa.

Mleta uzi, ubarikiwe. Namuomba Allah SWT awajaarie hawa watanzania wenzetu na mataifa mengine warudi kwao salama, karibuni sana wananzengo, nawapenda sana.
 
Nenda Zanzibar kaulize uzuri historia ya hao mashoga zako waarabu.

Halafu uliza jengo la Beit el Jaib limejengwaje?
 
Nenda Zanzibar kaulize uzuri historia ya hao mashoga zako waarabu.

Halafu uliza jengo la Beit el Jaib limejengwaje?

Matola acha kukariri babaa, halafu kwanini udhanie wao ni mashoga ilihali huna uhakika wa hicho!!

Mimi sio mzanzibari, na sio mwenyeji wa zanzibar. Anaeishi zanzibar atakuja na mrejesho.
 
Matola acha kukariri babaa, halafu kwanini udhanie wao ni mashoga ilihali huna uhakika wa hicho!!

Mimi sio mzanzibari, na sio mwenyeji wa zanzibar. Anaeishi zanzibar atakuja na mrejesho.
Ni mashoga zako na una mahaba nao, elewa kiswahili rahisi kabisa.
 
Wengi hawataki kusikia ukweli kuwa watz wengi walizamia bila vibali
 
duuh habari mbaya sana kuna jamaa yangu yupo safarini anaelekea huko kutafuta maisha anapaspoti na fedha kidogo za kujikimu na hamjui mtu yeyote huko
 
Wageni wote. Hata walioajiriwa kihalali wanapaswa kuondoka na kuachia nafasi kwa Wasauzi.
V/note iliyowekwa, huyo mwanamama mtangazaji hajasema wenye vibali ama hapana, yeye kasema biashara zote za "wakuja" zifungwe period
 
Kinachowatafuna South Africa na kitakachoendelea kuwatafuna zaidi ni kuwaruhusu wakaburu kumiliki Ardhi wakati sio Wazawa.

Asilimia kubwa ya Ardhi inamilikiwa na wakaburu wazawa hawana Uhuru wa nchi yao hivyo basi mkaburu anao uwezo wa kufanya chochote hata kuwalipa mishara midogo na kuajiri watu kutoka mataifa tofauti atakavyo yeye.

Kitakachokuja kutokea ni Waafrika kuumizana wenyewe kwa wenyewe imagine msouth ni muafrika akimpiga mkenya au mtanzania haitasaidia chochote zaidi ya kupoteza uhai wa mwafrika mwenzako tu.

Robert Mugabe alikua anaonekana mbaya lkn alikua sahihi kutetea Ardhi ya Taifa lake lkn kwa mtu mwenye maono ya mbali Wazungu tuishi nao tu kama wawekezaji au watalii lkn suala la kumiliki Ardhi libaki kwa wazawa bado kuna vizazi vijavyo hivi aridhi ikiuzwa kwa wageni unategemea wazawa wataishi wapi? Wanaotamani sana Africaka yetu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…