Ukatendewe kwa kadri nafsi yako inavyohitaji mkuu.Nitakaa nao ila nimeambiwa kuna wataalamu wanaotayarisha hizi tenda na wanapatikana humo humo kwenye tenda , yaani kwa kweli nimepania kweli kweli
Naingia na huko piaIngia kwenye industry ya tailoring services. Unapiga uniform za hospitality, security, safety kits
Ameen sana mkuu,Ukatendewe kwa kadri nafsi yako inavyohitaji mkuu.
Mtu huwezi kufanya kila kitu,lazima uchague eneo Moja maalumu.General company
Yaani inahusu kila kitu ambacho kitafaa kufanya kwa tenda, ni wewe tu unipe mchongo
Ulitakiwa ujue jibu la swali hili kabla hauja anzisha kampuni yako.Kwa anaejua, ili nianze kupata tender za serikali natakiwa nianzie wapi?
Tafadhali sana
Karibuni
Kampuni kama kampuni ina mambo mengi, na nimeanzisha kwa ajili ya biashara zangu, sasa kwa kuwa kampuni tayari hili la tenda nalo limeibuka baada ya kusikia minon'gonoUlitakiwa ujue jibu la swali hili kabla hauja anzisha kampuni yako.
Amandla...
Nikishaliwa si na mimi nitakula? Au ndio niliwe mie tu?Ingia TANEPS sijui Nest waanze kula 30k zako, hahaha
Kadi sina, ila naweza kuweka bendera haina shidaUna kadi?
Weka bendera ofisini
Kuprint nguo za kijaniπTenda kama zipi yaani? Tolea mfano mmoja ili nielewe
We jipendekeze tu kama huna wadau...vi hela vya kitimoto na bia usikose mfukoni.Kwa anaejua, ili nianze kupata tender za serikali natakiwa nianzie wapi?
Tafadhali sana
Karibuni
Ndio mkuu we lete tu usiogope[emoji23] eti so lete tender tu..mamaeh,kirahis tu umekalisha mapumbu eti lete tender tu..
Nakupm mkuu, baada ya mda flani hiviKama UKo Serious PM
Nataka tender tu mkuu, hayo ya kupanuka hapana aiseeMkuu hongera kwa kufungua kampuni yako ni hatua nzuri, Sasa nakukaribisha katika taasisi ya illuminati kwa lengo la kupanuka zaidi
Uwe na miaka 25 - 45
Mwanamke shupavu / mwanaume rijali
Uwe tayari kutoa sadaka ya mbuzi 5 wakubwa kwa ajili ya kiapo.
Baada ya kujiunga utapewa mtaji wako shilingi bilioni 10 kwa wewe mfanya biashara. Karibu ndugu tuungane pamoja kuleta maendeleo.
View attachment 3065478
Inawezekana mkuu, upande ule unajenga barabara na upande huu unashona uniform na kwengine unasupply silaha so mambo yanakua mengi mda mchacheMtu huwezi kufanya kila kitu,lazima uchague eneo Moja maalumu.
Tenda kama zipi yaani? Tolea mfano mmoja ili nielewe
Yaani mkuu ninavyochukia wale jamaa wanavyotawanya vumbi yaani we acha tu, ule ni usumbufu mkubwa sana kwa jamiiHawa ndio wanakusanya wale vibikizee wanawaweka barabarani wawe wanafagia.
Wanachokifanya wale wazee ni kuhakikisha wanasababisha maximum chaos.
Wanaziba magari yasipite kama vile wanajua wanachofanya.
Kumbe wanasogeza mchanga pembeni ili kesho warudi kufagia tena
Hakunag pesa bila jasho ππππππ€£π€£π€£π€£