Nimeshangaa kumuona Profesa mmoja maarufu wa pale UDSM akisali sala ya Bikira Maria

Waacheni imani zipo kibao na huwezi badili mtu anaeamini kitu fulani kwa kuangalia elimu au wadhifa wake
 
Hawawezi kukuelewa kamwe. Wamedanganywa sana na wamelewa udanganyifu kiasi kwamba KWELI hawaioni tena.
 
Iliwekwa na nani na kwa mamlaka ya nani?
 
APEDOMIA
 
Hoja nzuri sana hii, Eliya na Henoko hawakufa kabisa ila hatuwezi kuwataka watuombee, kwanini wa kutuombea wawe wafu ?

Wakutuombea kwa Mungu tunaposhindwa kuomba ni mmoja tu..

Warumi 8:26 "kadhalika Roho naye hutusaidia udhaifu wetu, kwa maana hatujui kuomba jinsi itupasavyo, Lakini Roho mwenyewe hutuombea kwa kuugua kusikoweza kutamkwa"

MTAZAMO zitto junior
 
Unakwepa kusema ngawira ni Mali zinazopatikana baada ya kushinda Vita siyo ili neno lako 'ujambazi' liwepo!!?..we ni mcenge,itakua wamekuphila Sana mkesha wa xmass na mwaka mpya Kama walivyomphila fundi seremala wa galilaya mkesha wa kusulubiwa
Wewe tukana ila ni Mali ya uizi

Na gang member wa muhammad walikuwa mpaka wanamwambia wakikusanya anaziiba

Kumbuka ile verse alishusha akasema hajaiba ila hakumtaja mwizi ni nani

Kilichoibiwa walivyo kusanya ni chupi nyekundu
 
Wewe tukana ila ni Mali ya uizi

Na gang member wa muhammad walikuwa mpaka wanamwambia wakikusanya anaziiba

Kumbuka ile verse alishusha akasema hajaiba ila hakumtaja mwizi ni nani

Kilichoibiwa walivyo kusanya ni chupi nyekundu
Chupi alivuliwa fundi seremala wa galilaya,akavikwa nepi akatundikwa Kama kware
 
Asante kwa kumpa taarifa
 
With references, ebu taja mitume waliowahi kutumia Biblia iliyokamilika.
 
hii vita utaweza kuhimili brother..!!!?
Vita gani bro..!!? ,uzi umeanzishwa na mchungaji mimi nimesindikizia picha tu maana Wana Jf wana nongwa uzi ukikosa picha.
 
Yaani kuna vituko sana humu JamiiForums!
 
Allah ndie aliwaaminisha watu masanamu yanakaa kwenye nyumba za ibada, akabadili masanamu mpaka sasa amebakiwa na li moja lipo Maka

Koran 34:13. Hao majini wakifanya atakacho Suleiman, kama misikiti kwa ajili ya ibada, na masanamu,....
Siwezi kukujibu kwa vile huu sio uzi wake ,anzisha uzi wako kuhusiana na hilo maana mimi sitaki nitoke nje ya mstari wa uzi .

#AhsanteKwaKushiriki..
 
Chupi alivuliwa fundi seremala wa galilaya,akavikwa nepi akatundikwa Kama kware
Chupi ni wazi na verse ipo , Allah anatakiwa kuwa mungu ila kashindwa kumtaja alieiba chupi nyekundu

Koran 3:161. Haisihi kuwa Nabii yeyote kukhuni katika ngawira kama walivyo eneza kwa uzushi wanaafiki waongo.... Tafsir al-Jalalayn 3:161 When some red velvet cloth went missing on the Day of Badr and some people began to say ‘Perhaps the Prophet took...
 
With references, ebu taja mitume waliowahi kutumia Biblia iliyokamilika.
Biblia imekamilika kuandikwa around AD 90 ila haikuwa imekusanywa pamoja. Kwahiyo kimsingi kila lililopo kwenye biblia leo lilikuwa limeshaandikwa wakati mtume Yohana anakufa. Akina Jerome walikuja kukusanya zile nyaraka na injili kisha wakaziunganisha na agano la kale.
 
Siwezi kukujibu kwa vile huu sio uzi wake ,anzisha uzi wako kuhusiana na hilo maana mimi sitaki nitoke nje ya mstari wa uzi .

#AhsanteKwaKushiriki..
Unatokaje nje wakati wewe ndie umeweka sanamu , nenda kafute kama haviendani na Uzi

Koran 34:13. Hao majini wakifanya atakacho Suleiman, kama misikiti kwa ajili ya ibada, na masanamu,....
 
We jamaa kiazi sana,unashangaa wakatoliki kuomba bikira Maria awaombee hushangai wanaoenda kawe kwa Mwamposa akawaombee? Si ufanye unavyoona wewe ni sawa?
 
Nimetunga na ninaimba wimbo wa MAMA MARIA MAMA WA YESU UTUOMBEE.

Huku duniani tupo tu ila hatuyajui mapenzi ya Mingu yako kwenye nini
Mbona Biblia iko wazi kuhusu mapenzi ya Mungu

Na hakuna atakaye uona ufalme wa Mungu ila yule tu afanyaye mapenzi ya Mungu.
 
Chupi alivuliwa fundi seremala wa galilaya,akavikwa nepi akatundikwa Kama kware
Ila alieandika Koran 😂😂😂 Allah anawachamba watu balaa 😂😂😂

Chupi imepotea wafuasi wa muhammad wanasema Muhammad kaiba , badala Allah amtaje Alie iba ana wachamba tu

Koran 3:161. Haisihi kuwa Nabii yeyote kukhuni katika ngawira kama walivyo eneza kwa uzushi wanaafiki waongo.... Tafsir al-Jalalayn 3:161 When some red velvet cloth went missing on the Day of Badr and some people began to say ‘Perhaps the Prophet took...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…