Nimeshangaa kumuona Profesa mmoja maarufu wa pale UDSM akisali sala ya Bikira Maria

Hata wewe mwenyewe nawe washangaza sana. Inawezekana vipi Yesu kristo awe Mungu halafu mwanadamu kwa wakati mmoja.
 
Mkuu shida ni elimu elimu elimu! Ukute tunabishana na jitu la darasa la 7 B! Linajidai kuchakata hoja zinazolizidi Kimo!
 
Imani waachie wenye nayo wajua Pana watu wanaomba Mbuzi/Mawe na wanafanikiwa?!!!

Shikilia ulichonacho au unachoamini, na kama waona wengine wanakosea, ni jukumu lako kuwaombea warudi au waende kwenye njia sahihi!!


Heri ya Mwaka Mpya!!!!
 
Kwani Maria ni Bikira?
 
Haa Unatuchokoza Wagalatia Yaani January Mosi Kabisa



Utajuta
 
Endelea kutabiri mechi za EPL maana kombe la dunia limeisha...hizi imani tuachie wenyewe kwa sbb hatuji mlangoni kwako kuombea hapo..
 

Niaze kwa kuomba radhi kwa waumini wa RC.Hapa ndipo huwaga nadhani waliotengeneza dhehebu la RC Kuna codes hazikusomana vizuri.
Mama Maria aliyemzaa Yesu alibaki kuwa mke wa Yusuf afterward na alifariki kama mwanadamu wa kawaida.So hapa ni kupoteza muda kumwambia marehemu akuombee.Ni kweli hatujui kuomba itupasavyo lakini,kazI ya kutuombea ni ya ROHO MTAKATIFU (Rumi 8:26).Mahusiano ya Mama maria na Yesu kristo ni mahusiano ya Mtu na Mungu wake.Unaweza usitake kuamini,ila ukweli ni kwamba Yesu kristo alishakuwako kabla sana hata ya kuzaliwa kwa Bikira Maria(Ndiyo maana ya utatu mtakatifu). Alichokizaa Maria ni mwili tu wa kibinadamu wa Yesu.

Hapa usipokuwa makini tunaweza tukamfanya mama Maria ni nafsi ya nne. Yaani kuna Mungu baba, Mungu Mwana,Mungu Roho Mtakatifu na Bikira Maria.
Luka 8.21(Mama yangu na ndugu zangu ni hao wanao lisikiliza neno la Bwana).

Sahamani lakini.kama kuna neno katika biblia linalothibitisha hili mnaweza kutusaidia.Ila kama ni logic tu za kibinadamu kwamba kwa kupitia kwa mama,mwana anaweza kukusikiliza maombi yako kirahisi ni upotoshaji.Ni bora ukaenda kwa mtumishi wa Mungu ukamuomba akuombee.
 
hebukueni namsimamo mmoja.yesu nimungu siomungu?😎😎😎
 
Shida huanzia pale watu wanapochanga maneno mawili ya "KUSUJUDU"na "KUABUDU".
 
Inabidi waikristo mchapwe VIBOKO
ndio mana siku zote manabii wanawafanya kama mosukule yao
Ona hapo alivyofundishwa yaan hapo JUU alichoandika hata yeye mwenyewe SIDHANI kama anaelewa alichoandika
hawa jielewi😎
 
Endelea kutabiri mechi za EPL maana kombe la dunia limeisha...hizi imani tuachie wenyewe kwa sbb hatuji mlangoni kwako kuombea hapo..
Madam pole naona nimekugusa pabaya. Mimi mtu akisema hiyo ni imani yake huwa namuheshimu sana maana imani ni suala binafsi na la kikatiba.

Uko tayari nikupe challenge? Mosi, mimi suala la kuomba maria awaombee watu silichukulii kama suala la imani bali ni jambo la ufahamu. Ni simple, je hilo ni agizo la biblia? Kama sio agizo wala fundisho la kibiblia basi mimi naliweka kando.

Lakini pili, kuna jambo la hatari sana mnalifanya pale mnapoomba Maria awaombee kwasababu mnamfanya yeye kuwa omnipresent. Kwamba yupo kila mahali dunia nzima akisikiliza maombi yenu na kuyapeleka kwa Yesu. Hii ni sifa ya Mungu peke yake. No wonder mnapenda kumuita mama wa Mungu wakati mnajua fika maria hakumzaa Mungu bali alitumika tu kutengeneza mwili.
 
Hii nayo kali,kwamba Mungu naye ana mama kama sisi wanadamu?
Tunakosea sana kumuomba Maria.
 
Kuna jambo la hatari sana mnalifanya pale mnapoomba Maria awaombee kwasababu mnamfanya yeye kuwa omnipresent. Kwamba yupo kila mahali dunia nzima akisikiliza maombi yenu na kuyapeleka kwa Yesu. Hii ni sifa ya Mungu peke yake. No wonder mnapenda kumuita mama wa Mungu wakati mnajua fika maria hakumzaa Mungu bali alitumika tu kutengeneza mwili.
 
Mimi sipendi kubishana kuhusu imani ndugu yangu...ndo maana nasema utuache tuu...umeshasema alitumika kuutengeneza mwili kama bado hauoni umuhimu wake tuache sisi tunaoona umuhimu wake tumwombe atusaidie kutufikishia maombi yetu...

Am out..
 
Kuna mapadre wamesoma kuzidi hata profesor...

Sent from my Infinix X655 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…