Farolito
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 12,001
- 27,175
Wanafanyaje hapa?Yapo mambo mengi sana ukitumia logic za kibinadamu lazima uone ajabu lakini katika kuamini unafanya..View attachment 2466496
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanafanyaje hapa?Yapo mambo mengi sana ukitumia logic za kibinadamu lazima uone ajabu lakini katika kuamini unafanya..View attachment 2466496
Qur'an 8:41Pole Sana 😂😂😂😂 ndio hivyo fikiria watu wa karibu na Muhammad wanasema kaiba chupi kutoka kwenye ngawira,
Allah badala aseme nani kaiba yeye anasema Muhammad hajaiba ma kuwachamba waliosema
Kwanj Hujui kwamba Yesu ni Mungu? Maria Yule kapata kibali Cha Mungu anamkono wa Mungu juu yake Hakuwa kosa Yule . Usahihi wa kusali hauna Maana Kama bado unamaisha ya kihunihuniMoja kati ya mambo ambayo yapo wazi kabisa katika biblia ni maelekezo ya namna maombi yanatakiwa kufanywa. Agizo la maombi lipo very open.
Yesu Kristo alisema mara nyingi sana kwenye injili ya Yohana kwamba tuombe kwa jina lake. Mtume Paulo ameandika tufanye yote katika jina la Yesu Kristo.
Sasa profesa ambaye ameandika paper kibao na amefanya literature review za kutosha ameshindwa kusoma biblia kufahamu tunapaswa kuomba kwa jina gani?
Hakuna sehemu hata moja mitume waliomba kwa jina la Maria. Yule Maria mama wa Yesu alikaa pamoja na mitume na walijazwa Roho Mtakatifu pamoja na wakanena kwa lugha.
Maria alimzaa Yesu lakini hakumzaa Mungu. Kuna tofauti kati ya Yesu na Kristo. Maria sio mama wa Mungu bali ni mama yake Yesu. Yesu ni mwanadamu na Kristo ni Mwana wa Mungu.
Hivyo Yesu Kristo ni Mungu na mwanadamu kwa wakati mmoja. Asomaye na afahamu.
Unajua Allah aliweka wazi codes zake za kufufua msome na kuanzia Leo usile nyama ya ng'ombe 😂😂kiufupi mme changanyikiwa.hamueleweki🤣🤣🤣 Kuna jinga linaitwa mokiti ndio mfano wawatu wote mlivyo.
Ndiyo nini!!!??..umevurugwa akili,unajua unachoandika!??..Kuna mawasiliano baina ya mikono na ubongo wako!?Kama mtu alikufa na Allah akatoa codes zake za kufufua kwa kupiga na pande la nyama ya ng'ombe 😂😂😂
Alishindwa Nini kumtaja Alie iba chupi kama so Muhammad?
Kwa Musa alipiga na nyama mbichi ya ng'ombe kama wa Hindu
Koran 2:73. Tukasema: Mpigeni kwa kipande chake (huyo ng'ombe). Ndivyo hivi Allah huwahuisha wafu;
Mambo yamekua mambo siyo,lete hoja nyingineAcha kutumia Koran fake
Embu weka
Asbab al-Nuzul ya verse husika
Wewe ndio akili haifanyi kaziNdiyo nini!!!??..umevurugwa akili,unajua unachoandika!??..Kuna mawasiliano baina ya mikono na ubongo wako!?
Moja kati ya mambo ambayo yapo wazi kabisa katika biblia ni maelekezo ya namna maombi yanatakiwa kufanywa. Agizo la maombi lipo very open.
Yesu Kristo alisema mara nyingi sana kwenye injili ya Yohana kwamba tuombe kwa jina lake. Mtume Paulo ameandika tufanye yote katika jina la Yesu Kristo.
Sasa profesa ambaye ameandika paper kibao na amefanya literature review za kutosha ameshindwa kusoma biblia kufahamu tunapaswa kuomba kwa jina gani?
Hakuna sehemu hata moja mitume waliomba kwa jina la Maria. Yule Maria mama wa Yesu alikaa pamoja na mitume na walijazwa Roho Mtakatifu pamoja na wakanena kwa lugha.
Maria alimzaa Yesu lakini hakumzaa Mungu. Kuna tofauti kati ya Yesu na Kristo. Maria sio mama wa Mungu bali ni mama yake Yesu. Yesu ni mwanadamu na Kristo ni Mwana wa Mungu.
Hivyo Yesu Kristo ni Mungu na mwanadamu kwa wakati mmoja. Asomaye na afahamu.
kuropoka nikawaidatu yenu.yani unaropoka halafu unachekaUnajua Allah aliweka wazi codes zake za kufufua msome na kuanzia Leo usile nyama ya ng'ombe 😂😂
Koran 2:73. Tukasema: Mpigeni kwa kipande chake (huyo ng'ombe). Ndivyo hivi Allah huwahuisha wafu;
Unasema Koran verse ni uropokaji , embu kuwa makinikuropoka nikawaidatu yenu.yani unaropoka halafu unacheka
Maria hakuwahi wala hatawahi kuwa mama wa Mungu , maria alizaa human flesh ambayo ilitumiwa na mungu mwana YesuUmeshangaa nini? "Salamu Maria.." Hayo ni maandiko toka kwenye biblia kama yalivyo maandiko mengine tunayosoma na kusimama nayo
LUKA 1: 26 -38
Mwezi wa sita, malaika Gabrieli alitumwa na Mungu kwenda mpaka mji wa Galilaya, jina lake Nazareti, kwa mwanamwali bikira aliyekuwa ameposwa na mtu, jina lake Yusufu, wa mbari ya Daudi; na jina lake bikira huyo ni Mariamu.
Akaingia nyumbani kwake akasema, Salamu, uliyepewa neema, Bwana yu pamoja nawe.
Naye akafadhaika sana kwa ajili ya maneno yake, akawaza moyoni, Salamu hii ni ya namna gani?
Malaika akamwambia, Usiogope, Mariamu, kwa maana umepata neema kwa Mungu.
Tazama, utachukua mimba na kuzaa mtoto mwanamume; na jina lake utamwita Yesu.
kwahio hapo ulitafsiri kua tusile ngombe?jibu wee pumbi.🤣Unasema Koran verse ni uropokaji , embu kuwa makini
Koran 2:73. Tukasema: Mpigeni kwa kipande chake (huyo ng'ombe). Ndivyo hivi Allah huwahuisha wafu;
Sasa unakulaje nyenzo ya Allah ya kufufulia 😂😂😂kwahio hapo ulitafsiri kua tusile ngombe?jibu wee pumbi.🤣
Basi ungeendelea tu na imani yako ya kuombewa na mchungajiMimi nilichofanya ni kushangaa tu kwasababu nimeona ni jambo la ajabu na halipo kwenye maandiko.
nime kuuliza hio aya ulioweka ndio imetafsiri tusile ngombe? wee kijukuu cha papa?Sasa unakulaje nyenzo ya Allah ya kufufulia 😂😂😂
Wewe unauthubutu gani wa kula nyenzo ya muhimu anayotumia Allah kukufulia ?nime kuuliza hio aya ulioweka ndio imetafsiri tusile ngombe? wee kijukuu cha papa?
Kwahiyo na nyie mnamsalimia maria? Maria yupo dunia nzima kwa wakati mmoja akiwasikiliza?Umeshangaa nini? "Salamu Maria.." Hayo ni maandiko toka kwenye biblia kama yalivyo maandiko mengine tunayosoma na kusimama nayo
LUKA 1: 26 -38
Mwezi wa sita, malaika Gabrieli alitumwa na Mungu kwenda mpaka mji wa Galilaya, jina lake Nazareti, kwa mwanamwali bikira aliyekuwa ameposwa na mtu, jina lake Yusufu, wa mbari ya Daudi; na jina lake bikira huyo ni Mariamu.
Akaingia nyumbani kwake akasema, Salamu, uliyepewa neema, Bwana yu pamoja nawe.
Naye akafadhaika sana kwa ajili ya maneno yake, akawaza moyoni, Salamu hii ni ya namna gani?
Malaika akamwambia, Usiogope, Mariamu, kwa maana umepata neema kwa Mungu.
Tazama, utachukua mimba na kuzaa mtoto mwanamume; na jina lake utamwita Yesu.
Imani! Haina mgumbalu wala propesaMoja kati ya mambo ambayo yapo wazi kabisa katika biblia ni maelekezo ya namna maombi yanatakiwa kufanywa. Agizo la maombi lipo very open.
Yesu Kristo alisema mara nyingi sana kwenye injili ya Yohana kwamba tuombe kwa jina lake. Mtume Paulo ameandika tufanye yote katika jina la Yesu Kristo.
Sasa profesa ambaye ameandika paper kibao na amefanya literature review za kutosha ameshindwa kusoma biblia kufahamu tunapaswa kuomba kwa jina gani?
Hakuna sehemu hata moja mitume waliomba kwa jina la Maria. Yule Maria mama wa Yesu alikaa pamoja na mitume na walijazwa Roho Mtakatifu pamoja na wakanena kwa lugha.
Maria alimzaa Yesu lakini hakumzaa Mungu. Kuna tofauti kati ya Yesu na Kristo. Maria sio mama wa Mungu bali ni mama yake Yesu. Yesu ni mwanadamu na Kristo ni Mwana wa Mungu.
Hivyo Yesu Kristo ni Mungu na mwanadamu kwa wakati mmoja. Asomaye na afahamu.
Bora hao wanaoombewa na walio hai huku duniani. Abraham alimwambia yule tajiri kwamba Lazaro hatatumwa duniani bali wawasikilize waliopo duniani.Basi ungeendelea tu na imani yako ya kuombewa na mchungajikutoka Mbeya
kuwa najibu Basi lililo nyooka.mbona unaruka ruka?hio aya ndio tafsiri yake hio?kwamba tusile nyama yang'ombe?Wewe unauthubutu gani wa kula nyenzo ya muhimu anayotumia Allah kukufulia ?