Nimeshangazwa na kauli ya Rais kudharau msimamo wa Waziri wa Kilimo juu ya kuzuia uagizaji wa sukari nje

Nimeshangazwa na kauli ya Rais kudharau msimamo wa Waziri wa Kilimo juu ya kuzuia uagizaji wa sukari nje

Maccm yanajidai yameumia utadhani huyo mama yenu ni rais wa TLP! Mvune mlichopanda naye ni sehemu ya matokeo ya upuuzi wenu wa October mwaka jana
 
Kwa hiyo hapa tatizo ni Mkenda kuambiwa Hana SENCE? Ukweli Kati ya mawaziri si Mkenda peke yake ambaye Hana SENCE, wako wengi tu akiwemo wa Fedha, wa Biashara, wa Maliasili, wa Madini na kubwa Lao Afya.
SENCE ni kitu gani? Kwa kosa hili mara mbili kwenye sentensi mbili, nahisi wewe huna SENSE!
 
Nimeshangazwa na kauli hii ya Mh Rais, kuita msimamo wa mteule wake Waziri wa Kilimo juu ya kuzuia uagizaji wa sukari nje, kuwa NONSENSE, tena hadharani.

Nimesikitishwa na kauli hiyo kwa sababu mbili.

Moja, public reprimand kwa kiongozi mwandamizi, sidhani kama ni utawala bora.

Na hii naanza kuhisi ile power is getting to the head, and power corrupts.

Pili, nimesikiliza arguments za Mkenda, though pompous, kuna relevance pale.

Argument ni kuagiza sukari kama kuna shortage, si kwa matakwa ya wafanyabiashara.

Sasa wale wawekezaji wanaovipanua viwanda ili ku boost uzalishaji wa sukari, wale ni nonsense?

All in all, Mkenda anapaswa kujiuzulu ku-save face.
Raisi kipusa huyo
 
Hivi bado kuna uhaba wa sukari mpaka leo? Sijasikia zile kelele muda mrefu.

Rais wetu naona kama amekubali kutumiwa na Museveni nae akatumika, kama Museveni ana sukari nyingi kwake haina soko ameona aje kulitafuta huku na sisi badala ya kujiuliza kama tunaihitaji naona tumekimbilia kukubali ombi tu ili kukuza urafiki na majirani.

Suala la kuita msimamo wa waziri wake Nonsense tena public nalo nalipinga, kama alikerwa na huo msimamo ana kila nafasi ya kuonana na waziri wake na kumweleza aliyonayo, sio kumsubiri Museveni aje ndio anamnanga mbele za watu, hizi ni tabia typical za kike - umbea.
Wasukuma bwana kwa hiyo tununue sukari bei juu kisa kulinda viwanda vya makaburu wa ILOVO
 
Nimeshangazwa na kauli hii ya Mh Rais, kuita msimamo wa mteule wake Waziri wa Kilimo juu ya kuzuia uagizaji wa sukari nje, kuwa NONSENSE, tena hadharani.

Nimesikitishwa na kauli hiyo kwa sababu mbili.

Moja, public reprimand kwa kiongozi mwandamizi, sidhani kama ni utawala bora.

Na hii naanza kuhisi ile power is getting to the head, and power corrupts.

Pili, nimesikiliza arguments za Mkenda, though pompous, kuna relevance pale.

Argument ni kuagiza sukari kama kuna shortage, si kwa matakwa ya wafanyabiashara.

Sasa wale wawekezaji wanaovipanua viwanda ili ku boost uzalishaji wa sukari, wale ni nonsense?

All in all, Mkenda anapaswa kujiuzulu ku-save face.
Tena ameongea kwa mkogo kweli hilo neno - nonsense!! Nimesononeshwa sana na kauli hii
 
Waziri amesema anazuia uagizaji kama hakuna upungufu ili kulinda viwanda vyetu na soko la mazao (km kilimo, mifugo na uvuvi). Lakini Rais kamdharilisha kinyume na Ilani ya CCM, 2020 iliyokiingiza madarakani.

Katika miaka mitano ijayo, CCM itazisimamia Serikali zake ili ziendeleze juhudi za kuleta mageuzi ya kiuchumi kwa kuendelea kujenga Tanzania ya viwanda na uchumi fungamanishi, jumuishi na shindani unaotumia sayansi na teknolojia za kisasa na ambao unahimili utandawazi na unaoweza kutumia kikamilifu fursa zake kwa kuuza zaidi bidhaa za viwandani na bidhaa nyingine nje ya nchi. CCM inatambua fika kwamba ili kutimiza azma ya kujenga uchumi shindani wa viwanda na huduma, ni lazima kila Mtanzania afanye kazi kwa bidii, kujituma, na kutumia maarifa, hekima na ubunifu (Ilani ya Uchaguzi CCM, 2020, Sura ya Pili)

CCM haina uwezo wa kumsimamia au kumwelekeza mwenyekiti wa chama hicho ambaye ndiye Rais wa JMT na mamlaka kuu ya serikali kwa mambo asiyokuwa tayari kufanya. She has absolute power. - as desired by CCM.
 
Kabisa, kuna mengine wangemalizana ofisi, na siyo kuyaleta public!
Hivi Ni ulevi was madaraka au vipi , nchi hi Bado tunachagua viongozi nusu miungu,wanaakili Sana kushinda watu wote!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! Nonsense kabisa hadharani!!!!!!!!!!!!
 
Nimeshangazwa na kauli hii ya Mh Rais, kuita msimamo wa mteule wake Waziri wa Kilimo juu ya kuzuia uagizaji wa sukari nje, kuwa NONSENSE, tena hadharani.

Nimesikitishwa na kauli hiyo kwa sababu mbili.

Moja, public reprimand kwa kiongozi mwandamizi, sidhani kama ni utawala bora.

Na hii naanza kuhisi ile power is getting to the head, and power corrupts.

Pili, nimesikiliza arguments za Mkenda, though pompous, kuna relevance pale.

Argument ni kuagiza sukari kama kuna shortage, si kwa matakwa ya wafanyabiashara.

Sasa wale wawekezaji wanaovipanua viwanda ili ku boost uzalishaji wa sukari, wale ni nonsense?

All in all, Mkenda anapaswa kujiuzulu ku-save face.
Alisema yeye na yule ni kitu kimoja. Usitegemee hivyo unavyovitarajia sijui utawala bora.
 
Waziri amesema anazuia uagizaji kama hakuna upungufu ili kulinda viwanda vyetu na soko la mazao (km kilimo, mifugo na uvuvi). Lakini Rais kamdharilisha kinyume na Ilani ya CCM, 2020 iliyokiingiza madarakani.
Si tu kamdhalilisha Prof Mkenda, kaudhalilisha hata urais wenyewe.
 
Hana ADABU WAZAZI WAKE HAWAKUMFUNDA VYEMA IMETODHA KUSEMA Serikari mbwa koko
 
Waziri hana mamlaka ya kuweka sera kama yake waziri anatekeleza yanayoamuliwa na baraza la mawaziri au sera ya serikali. sasa ajibu aliambiwa na nani hatununui sukari ya Uganda au ilikuwa uamuzi wake yeye
 

Attachments

  • VID-20211129-WA0030.mp4
    9 MB
CCM yote ni takataka hakuna mtu wa maana hata mmoja, bibi ushungi analinda maslahi mapana ya wafanyabiashara

Ehh mkuu Acha uchama chama. Mtanzania kwanza. Wewe huwez kukosa kuwa mkabila na mnafiki. Mana Haiwezekani binadamu kuwa takataka. Ndo mana tupo tulipo. Kuna mazuri na mabaya ya kila mwanadamu.

Hiyo CCM Ina wanachama baba na mama na kaka na dada nk. Unapotoa hoja na comments kuwa reasonable. Hapa unaoneka huna tofauti na mbwam, unatumia hisia kijinga.
 
Si ikitoka nje inapigwa na Ushuru ?, Kama bado pamoja na ushuru bei itakuwa ndogo basi tuendelee kuagiza na viwanda vyetu viende vikajifunze kwamba inawezekane pamoja na ushuru na shipment bado yao gharama iwe chini....

It is the maxim of every prudent master of a family, never to attempt to make at home what it will cost him more to make than to buy...
 
Nimeshangazwa na kauli hii ya Mh Rais, kuita msimamo wa mteule wake Waziri wa Kilimo juu ya kuzuia uagizaji wa sukari nje, kuwa NONSENSE, tena hadharani.

Nimesikitishwa na kauli hiyo kwa sababu mbili.

Moja, public reprimand kwa kiongozi mwandamizi, sidhani kama ni utawala bora.

Na hii naanza kuhisi ile power is getting to the head, and power corrupts.

Pili, nimesikiliza arguments za Mkenda, though pompous, kuna relevance pale.

Argument ni kuagiza sukari kama kuna shortage, si kwa matakwa ya wafanyabiashara.

Sasa wale wawekezaji wanaovipanua viwanda ili ku boost uzalishaji wa sukari, wale ni nonsense?

All in all, Mkenda anapaswa kujiuzulu ku-save face.
Sijui kama niliwahi/pata kusoma "an honest opinion" zaidi ya hii kutoka kwako.

Pengine huyu mama yale yanayofundishwa Mzumbe anaona kishavuka ngazi yake ? Sijui nyinyi wenyewe mnayajuwa hayo!

Kuna yule aliyesoma Chemistry hadi kiwango cha "Uvamizi", naye tuliona alipojihisi kwamba yeye ni zaidi ya hapo, alivyotupa mbali elimu hiyo na kuanza kufanya vyake hadi kupima mapapai na oil kama vina corona.

Hizi elimu zetu za hapa nyumbani nadhani ni za kutafutia shibe tu basi, wakati zinapohitajika, lakini katika kuzitumia katika maisha ya kila siku hilo hatuliwezi kabisa.
 
Bro ni vizuri pia ujue kuwa Uganda nao wamesucrifice sana kwa kuleta bomba Tanzania, hilo bomba kiuhalisia lilitakiwa lipite Kenya but wao wakalileta kwetu na pia kuna benefits kubwa tunazipata kwa waganda kutumia bandari za Tanzania badala ya za Kenya hivyo na sisi ni lazima tuoneshe mkono wa shukrani
Wawekezaji wa hayo mafuta, wale wanaotoa fedha za mradi ndio waliofanya maamuzi . Uganda anasubiri share yake kwenye mradi tu.
 
Si ikitoka nje inapigwa na Ushuru ?, Kama bado pamoja na ushuru bei itakuwa ndogo basi tuendelee kuagiza na viwanda vyetu viende vikajifunze kwamba inawezekane pamoja na ushuru na shipment bado yao gharama iwe chini....

It is the maxim of every prudent master of a family, never to attempt to make at home what it will cost him more to make than to buy...
Gharama zako za nchi kiuzalishaji mfano umeme, makodi mbalimbali nazo hazichangii kufanya gharama za uzalishaji za viwanda vyetu kuwa juu!?
 
Back
Top Bottom