Nimeshazichoka vurugu za watoto, bora shule zifunguliwe

Ngoja Mungu atakapoamua kukupunguzia hizi Kero kiaina ndiyo utajua ulikuwa unalalamikia upumbavu!
 
Hii likizo nimekuwa mlinzi watoto hawasikii wamekata miche yangu wazazi wao wanawaangalia Tu hawagombezwi na likizo ilivyo ndefu mpaka mwezi wa pili Kazi ipo
 
Mi wameenda kwa bibi
Huyu wa kiume alivunja vase ya maua ile ya mbao
Mpaka sasa najiuliza alitumia dhana gani
Alibeba tindo au alipiga chini
Na kwa nini sasa?
Aiseeee madogo ni noma
 
Huwa nawashangaa sana wanao-wish kuwa na mapacha humu ndani, ni wasumbufu sana yaani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…