mountain climber
JF-Expert Member
- Aug 31, 2024
- 311
- 461
Kwan we ulilazimishwa kuzaa mkuu?Lakini ni Kazi Kama kazi nyingine na wameamua wenyewe kwa mapenzi yao kwa kuona ndicho wanamudu kufanya, ama?
Vinginevyo Kama wameingia kutafuta hayo Maslahi, hapo kazi wanayo haswa!
Wewe unavyomlea wamlea bure?Kwani unatupiwa bure?!
Ana umri gan huyo msumbufu mkuu.Mimi ninao wawili pasua kichwa uyo mmoja kidog sio msumbufu huyu mwingine acha kabisa ukiamka naye kaamka kaenda kwenye ps game ukizubaa katoroka kumpata iyo usiku ata umpigaje kesho anafanya ivyo ivyo
🤣🤣🤣 Kwa kweliImagine ye kachoka mmoja wakati sie tunakaa na mamia na wala hawatuchoshi.
Kwahiyo wazazi wawe wanatupoza poza na zile jero jero wasitoe povu 😹
🤣🤣🤣 True say🥴Watoto wamevurugwa kama wazazi wao basi tafrani🤣🤣🤣
Muheshimiwa rais ikikupendeza shule zifunguliwe March kabisa.
Hadi kidaka tonge [emoji23][emoji1787] Jana tu nimetoka kusema hili, kuna watoto wa jirani hapa wanakusanya watoto wenzao niambie huo mkutano ni kelele tupu!. mara wapigane mara wacheze kombolela mwengine anaacha kulilia huko anasogea ulipo analia mpk unaona kidaka tonge!.
Nimecheka sana🤣🤣Kitu kingine cha ajabu hawa watoto wa siku hizi hawachoki, kuanzia asubuhi hadi usiku wapo active tu.
Inahusiana nini?Kwa
Kwan we ulilazimishwa kuzaa mkuu?
Ana umri gan mkuu.Aisee wa kwangu mpaka najiuliza umri huu mtundu namna hii na yupo active 24 hours akikua zaidi itakuwaje? Balaa sana
Kwa jasho, machozi na damu, niliamua mwenyewe kuzaa.Wewe unavyomlea wamlea bure?
Kama unavyoamua kuwapelekea walimu basi na hekima kwa unaowapelekea iwepoKwa jasho, machozi na damu, niliamua mwenyewe kuzaa.
Ngoja Mungu atakapoamua kukupunguzia hizi Kero kiaina ndiyo utajua ulikuwa unalalamikia upumbavu!Kuna vitu watoto wanahatibu hadi unajiuliza huyu dogo amewezaje kuharibu hiki kitu, na nini alikua anatafuta huku? Ila uwezi pata jibu kamwe.
Kitu kingine cha ajabu hawa watoto wa siku hizi hawachoki, kuanzia asubuhi hadi usiku wapo active tu.
Bora warudi shule.
Hatukishiwa Bunduki ni sawa na ninyi ambavyo amkushikiwa magobole eti mmeenda wenyewe kutafuta maslahi.Wacha we!! Kwani nyie kuzaa mlishikiwa bunduki!! Mbona mwatamani shule zifunguliwe!!!
Kwamba wazazi wanaopeleka watoto shule hawana hekima kwa walimu?Kama unavyoamua kuwapelekea walimu basi na hekima kwa unaowapelekea iwepo
Mi wameenda kwa bibiKuna vitu watoto wanahatibu hadi unajiuliza huyu dogo amewezaje kuharibu hiki kitu, na nini alikua anatafuta huku? Ila uwezi pata jibu kamwe.
Kitu kingine cha ajabu hawa watoto wa siku hizi hawachoki, kuanzia asubuhi hadi usiku wapo active tu.
Bora warudi shule.
Mzazi ni mzazi,na wote tumepitia,ila siyo siri utoto noma. Hapa yapo mapacha yana vituko,hadi unajiuliza hawa watakuwa waache? Jiko likiwashwa,anamwagia maji,anakimbia. Laptop,kamwagia maji. Wakianza kujipaka mafuta ya kula utatamani wahame kabisa. Ila hata hivo walau mtu anavuka hasira anacheka tu. Na kwa hilo,kama mama home anajielewa na ndo anabaki nao, ni wa kumheshimu. Kama wanabaki na msaidizi wa kazi,ndo ujiulize mshahara wake ni sawa na kazi anayoyifanya?