Nimeshuhudia kwa macho yangu Denzel Washinton akizeeka

Yeah i see…

Kitu kingine najifunza kadri ninavyokua ni kuishi na ego za kiume, Mwanaume akinimbia kitu na tafsiri kuwa si yeye pengine ni ego yake.
 
Chanajabu ni nini? Everyboy eventual get old. Ni kumshukuru Mungu umeshuhudia kazi zake katika prime age yake.
 
Hapa ndo nakumb hapa ndo nakumbuka wimbo wa one direction uitwao night changes "we only get older baby now I've been thinking about it lately"
 
Inawezekana kabisa,wenzetu hawashindwi kitu,ila kumbuka mama yake Kanye west alikufa sababu ya hizo kitu
 
Mimi nina mvi nyingi sana ila nikiinyoa panki langu na kupaka superblack utasema nina 30s kumbe nilisoma na maulid kitenge darasa moja,nakula hadi vibinti vya 2000
Ulisoma nae Al-haramain islamic secondary ya Kariakioo au primary?
 
Wanawake siku zote hawazeeki na kuchoka kama sisi sababu kazi zao nyingi ni nyepesi au ni wakuletewa, fuatilia familia nyingi utamuona Babu kachoka zaid ya bibi, hata barabarani utamkuta bibi kamshika mkono mbabu na kumuongoza katika ombaomba.
 
Why nikushukuru wakati jina limejaa tele google na sikwenda kugoogle. Empty set
Kati yangu na wewe nani ni empty set? wewe kuandika Schwarzenegger hadi ku google.. Mimi sija google.. empty set mwenyewe.
 
Sasa unalilia nini shwaziniga basi nenda kaombee mkopo bank. Empty set
Kati yangu na wewe nani ni empty set? wewe kuandika Schwarzenegger hadi ku google.. Mimi sija google.. empty set mwenyewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…