Singapore,Israel, Switzerland, Taiwan, Luxembourg, Korea Kusini na Japan wametuzidi.Kinachokusikitisha ni nini? 60% ya Uchumi wao unategemea Mafuta na hao ndio Wanaongoza Kwa mafuta Afrika unategemea nini?
Unadhani wangekuwa wanategemea mahindi na migomba na Madini ya kubahatisha bahatisha Kwa idadi Ile ya watu wangekuaje?
Mwisho mlaumuni Baba yenu wa Taifa Kwa ujamaa wake wa miaka 25 ambao hakuna Cha maana ulisaidia as far as economy is concerned.
Canada wako milioni 40, Korea Kusini million 50, Finland milioni 5 na yote haya ni mataifa bora sanaWapo milioni 220 Nigeria, kumbuka kuwa wingi wa watu ni mtaji tosha.
Haijawa automatically kubwa kwa DRC na Ethiopia.Unabisha nini Sasa Mzee? Kulisha population kubwa kama hiyo unadhani wanahitaji uzalishaji kiasi gani? Automatically tuu GDP itakuwa kubwa.
Pili idadi hiyo ya watu inakuhakikiahia soko ambalo ndio kitu Cha muhimu kabisa
Hamia NigeriaWe jifariji tu.
Kwahiyo tofauti ya GDP ya Nigeria na Tanzania haileflect tofauti ya maisha ya raia wa nchi hizo? Unayajua maisha wanayoishi Nigerians?
South Korea, Ujerumani, Finland, Netherlands, Norway, Denmark na Canada zina uchumi mkubwa hadi kuwa donor countries zikiwa na population ndogo.Swala hapa sio ku reflect uhalisia wa Maisha Bali size ya uchumi ambayo inapimwa Kwa GDP.
Singapore, Canada na Korea Kusini waliotuzidi kwa mbali sana walimuibia nani??Huelewi kuwa UK uchumi wao wote umetokana na mali walizoiba dunia nzima, Tanzania ikiwemo?
Unafikiri walikuwa wanakaa bure kwa miaka 40 hapa?
Canada unauliza tena? Huelewi kuwa Canada mpaka leo hii ni nchi ya wahamiaji? Kama ilivyo USA na Australia. Hata Singapore ni nchi ya wahamiaji.Singapore, Canada na Korea Kusini waliotuzidi kwa mbali sana walimuibia nani??
Hao Wametuzidi eneo la Teknolojia na ujuzi na maarifa Kwa rasilimali watu.Singapore,Israel, Switzerland, Taiwan, Luxembourg, Korea Kusini na Japan wametuzidi.
Ukubwa wa DRC na population yake ni very sparsely populatedHaijawa automatically kubwa kwa DRC na Ethiopia.
Acha kukurupuka.South Korea, Ujerumani, Finland, Netherlands, Norway, Denmark na Canada zina uchumi mkubwa hadi kuwa donor countries zikiwa na population ndogo.
Urusi wako milioni 144 na ndio nchi kubwa zaidi duniani, Canada wako milioni 40 na nchi kubwa karibia mara 5 ya DRC.Ukubwa wa DRC na population yake ni very sparsely populated
Ethiopia imetuzidi GDP na push Yao kubwa na population
Russia imeweka Nguvu kwenye Jeshi,ingetaka kujenga uchumi ingekuwa kama Marekani maana Wana Mali na Kila kituUrusi wako milioni 144 na ndio nchi kubwa zaidi duniani, Canada wako milioni 40 na nchi kubwa karibia mara 5 ya DRC.
Hata Haiti, Jamaica, Honduras, Bolivia , El Salvador na Nicaragua ni nchi za wahamiaji.Canada unauliza tena? Huelewi kuwa Canada mpaka leo hii ni nchi ya wahamiaji? Kama ilivyo USA na Australia. Hata Singapore ni nchi ya wahamiaji.
Korea Kusini ni vibaraka wa USA, makampuni makubwa yote huko yanamilikiwa kwa asilimia kubwa na USA.
Kwa hiyo?Hata Haiti, Jamaica, Honduras, Bolivia , El Salvador na Nicaragua ni nchi za wahamiaji.
Umenena vzr mkuuShida yetu ni zaidi ya uongozi, tuache kulaumu uongozi tu.
Nakubaliana nawe. Naelewa "Noblesse Oblige". Waliopewa talanta nyingi zaidi watadaiwa marejesho mengi zaidi, hata mwanafalsafa Yesu alituambia hili katika mfano wake.
Uongozi una lawama kubwa kabisa na za awali kabisa. Hilo halina ubishi. Lakini, uongozi haujiweki wenyewe. Watu wanaoongozwa pia wana sehemu ya lawama kwa kujiruhusu kuwa na uongozi huu. People get the leadership they deserve. Else they remove that leadership and put one that they deserve.
Kwa kila rais mmoja anayeiba kura, kuna maelfu na maelfu ya wasimamizi wa uchaguzi mpaka majaji walio katika tume ya uchaguzi wanaoshiriki wizi huu.
Kuna wananchi mamilioni wanaoona wanaibiwa kura lakini wanakubali kikondoo na kusema hewala heeala tu.
Kuhusu wingi wa watu;
Wingi wa watu kama hujajipanga kuwatumia hao watu kuzalisha ni tatizo.
Kwa maana utakuwa na watu wengi wa kuwalisha nankuwahudumia wakati hawazalishi.
Bongo watu wanamaliza chuo na kukaa miaka mitano mpaka kumi wanatafuta kazi. Yani hapo hata mtu akipata kazi, usomi ushapotea anabaki kuwa Mmachinga tu.
Sasa hapo wingi wa watu utasaidia nini?
Pia, kusema Tanzania tunawazidi Kenya kwa wingi wa watu , obviously Tanzania ni nchi kubwa, so kuongelea wingi wa watu tu unarudi kule kule kwenye kuongelea GDP.
What is the population density? What about arable land? How many people are employed? How many are in disguised unemployment? How many are productive (population minus children, the eledery, the infirm)
Unaweza kuwa na nchi ina watu wachache, lakini ina wazalishaji wengi na watoto/wazee/wagonjwa wachache, na unaweza kuwa na nchi ina watu wengi, lakini wqzalishaji wachache, wengi ni watoto/wazee/ wagonjwa.
So, wingi wa watu tu hautuoneshi kitu specifically hata kama unaweza kuwa indicator in similar countries under ceteris paribus.
Tatizo kwetu mpaka mwizi wa mabilioni amuombe tajiri mmoja awekeze kwenye fukwe au ajenge mahoteli ya kifahari nae akiwa mfadhili wa kujificha maana ni mwiziUtajiri wa kweli sio rasilimali bali ni akili. Uingereza haina rasilimali yoyote lakini ilitawala dunia. Leo hii pale Israel kuna rasilimali gani?
Kule Bahamas wanategemea fukwe ambazo ni kilomita chache sana ukifananisha na tulizo nazo na wanaingiza mapato mara tano zaidi yetu.