covid 19
JF-Expert Member
- May 9, 2014
- 6,967
- 17,452
aya kaichukue hiyo gas iuze ili tutajirike kama nchi.Kule mtwara sisi tuna nini? Bahamas ni marajiri kwa kutegemea fukwe zenye km 60 wakati sisi tuna zaidi ya km 500 za fukwe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
aya kaichukue hiyo gas iuze ili tutajirike kama nchi.Kule mtwara sisi tuna nini? Bahamas ni marajiri kwa kutegemea fukwe zenye km 60 wakati sisi tuna zaidi ya km 500 za fukwe.
Denmark alimtawala Mwingereza hivyo kulinganisha Tanzania iliyowahi kutawaliwa na Mwingereza kwa Denmark superior ni kosa la jinai.
Kumbe nchi yetu imezidiwa kiasi hiki na nchi yenye boko haram? Yaani kweli wao wanakaribia gdp ya bilioni 400 usd wakati sisi tupo kwenye bilioni 80s usd?
Mkuu, upo kumbeBongo maneno mengi
Na ina watu wengi zaidi, wasomi zaidi, mafuta zaidi, ma professional wa soccer, basketball zaidi, Nollywood, TV stations zaidi, musical stars zaidi...Kumbe nchi yetu imezidiwa kiasi hiki na nchi yenye boko haram? Yaani kweli wao wanakaribia gdp ya bilioni 400 usd wakati sisi tupo kwenye bilioni 80s usd?
Ujasikitika kuona Wanaija ni 200M+ na WATz ni 60M+Kumbe nchi yetu imezidiwa kiasi hiki na nchi yenye boko haram? Yaani kweli wao wanakaribia gdp ya bilioni 400 usd wakati sisi tupo kwenye bilioni 80s usd?
Uko sawa asilimia 100% na mpaka sasa Wamarekani asilimia kubwa yao ni Waingereza.Kwa kuendelea kwa Marekani kuliko Uingereza usishangae maana kule Marekani walienda Waingereza wenye akili kutafuta maisha na walipokuta Marekani haina watu wakajimilikisha kila kitu.Vipi USA aliyetawaliwa na Mwingereza na GPD ya Califonia tu ni kubwa kuliko Mwingereza?
Baba wa Taifa ameondoka duniani karibu miaka 20 imepita. Ni upuuzi kuendelea kumlaumu,,wanapaswa kulaumiwa walokuja baada yake kwa madudu wanayoendelea kufanya
Wewe na mtoa mada mna matatizo makubwa sana.
Uache kushangaa Kenya,Angola na Ethiopia kutuzidi uje kushangaa Nchi yenye Uchumi mkubwa Afrika kutuzidi?
On top of that Nigeria ndio inaongoza Afrika Kwa mafuta Sasa hapo kipi Cha kushangaza maana wanatuzidi Kwa Kila kitu kuanzia Utajiri wa rasilimali Hadi idadi ya watu na Ukubwa wa Nchi.
Nchi inayoongoza kwa rasilimali ni DRC Congo, ikifuatiwa na Tanzania. Jikite kwenye kijielimisha.
Hii ni moja ya thread ya vilaza nimewahi kusoma.hivyo vitu visikutie wasi Nigeria ina-export crude oil pia ila haina SGR na airline kama yetu!
Uko sawa asilimia 100% na mpaka sasa Wamarekani asilimia kubwa yao ni Waingereza.Kwa kuendelea kwa Marekani kuliko Uingereza usishangae maana kule Marekani walienda Waingereza wenye akili kutafuta maisha na walipokuta Marekani haina watu wakajimilikisha kila kitu.
Hii ni moja ya thread ya vilaza nimewahi kusoma.
Sikujua humu JF kuna idadi kubwa hivi ya vijana wasio na akili kabisa na shule duni, sad wanajadili uchumi[emoji23][emoji23] naona ChoiceVariable yupo na wenzie humu.
We jamaa daahRwanda hata hawatuzidi chochote kuanzia miji,vijiji,ng'ombe,mbuzi,kondoo,kuku,mayai,maziwa,misitu,mbuga,bahari,maziwa,mito,vijito,milima,vilima,watu,elimu,uchumi,siasa,utamaduni,utalii,mapato,fedha,michezo,raha,utawala bora,maendeleo,barabara,magari,meli,ndege,akili na ustaarabu.
ccm ni changamoto kuliko Boko HaramKumbe nchi yetu imezidiwa kiasi hiki na nchi yenye boko haram? Yaani kweli wao wanakaribia gdp ya bilioni 400 usd wakati sisi tupo kwenye bilioni 80s usd?
Acha ushamba viwanda vingi vilivyouzwa na kubadilishwa kuwa stoo na Wahuni alivijenga Mwalimu Nyerere.Sasa nyinyi mnaotusomea makaratasi yenu na PhD zenu za kubumba hizo mmefanya kipi?[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kinachokusikitisha ni nini? 60% ya Uchumi wao unategemea Mafuta na hao ndio Wanaongoza Kwa mafuta Afrika unategemea nini?
Unadhani wangekuwa wanategemea mahindi na migomba na Madini ya kubahatisha bahatisha Kwa idadi Ile ya watu wangekuaje?
Mwisho mlaumuni Baba yenu wa Taifa Kwa ujamaa wake wa miaka 25 ambao hakuna Cha maana ulisaidia as far as economy is concerned.
Ndiyo mkuu.We jamaa daah
Hadi kuku 😁😁😁
Huyo mwehu hana analojua.Ukitembea hii nchi viwanda vingi vilivyokufa alijenga Mwalimu Nyerere Tena akiwa na Watanzania ambao siyo wasomi kama sasa.Sasa saizi hakuna lolote ni uwizi na utapeli tu!Kila siku 'alaumiwe Nyerere kwa kuharibu uchumi na sera mbovu ya Ujamaa'. Haya nyinyi aliowaachia nchi mmefanya lipi la maana hadi sasa?
Ndo maana hata nchi zilizoendelea ninatunanga tuache kulia lia eti Ukoloni umetusababishia umasikini. Sasa mko huru na bado hamuendelei.
Wewe jamaa ni 'mweupe kichwani'. Hapa sasa umechangia nini zaidi ya kujidhalilisha? Una tofauti gani na hao unaosema hawana akili?Hii ni moja ya thread ya vilaza nimewahi kusoma.
Sikujua humu JF kuna idadi kubwa hivi ya vijana wasio na akili kabisa na shule duni, sad wanajadili uchumi😂😂 naona ChoiceVariable yupo na wenzie humu.
Kinachokusikitisha ni nini? 60% ya Uchumi wao unategemea Mafuta na hao ndio Wanaongoza Kwa mafuta Afrika unategemea nini?
Unadhani wangekuwa wanategemea mahindi na migomba na Madini ya kubahatisha bahatisha Kwa idadi Ile ya watu wangekuaje?
Mwisho mlaumuni Baba yenu wa Taifa Kwa ujamaa wake wa miaka 25 ambao hakuna Cha maana ulisaidia as far as economy is concerned.
Yaani naogeleaje kwenye dimbwi la maji machafu!!?? 😂 😂 unafikiri kuwa na kichocho ni sifa?😂Wewe jamaa ni 'mweupe kichwani'. Hapa sasa umechangia nini zaidi ya kujidhalilisha? Una tofauti gani na hao unaosema hawana akili?