Muda mwingine unaona kabisa ccm wanawafanyia rafu wenzao wapinzani tena rafu za kishamba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulitaka niwe napost kukufurahisha?Wewe ndiye mpumbavu unatumia jina na picha ya Rais ilhali maudhui ya threads na post zako ni ya kimalaya malaya,au mwenyekiti mwenyewe anabariki huu udhalilishaji unaomfanyia? Nakushauri usitumue hiyo picha kwenye avatar yako na hiyo jina badili kwa kulinda heshima ya Mh. Rais. Moderators please take note.
Sijui ni video ya lin lkn huo ni ukosefu WA uvumilivu WA kisiasa
Kwanini mnataka kuhalalisha hicho kitendo kiovu alichafanyiwa huyo mzee?Eti mnapiga kura halafu majumuisho ya kura yanaenda kufanywa na wateule wa ccm aibu hii kwa nini majumuisho wasiwepo vyama vyote wawakilishi wao na wapate nakala zao
What ever the case two evils doesn't make it right, if all parties are bad basi hatuna chaguo lililosahihii..Hoja ni kwamba chadema washanyanyasika sana inafikia hatua wanaona liwalo na liwe maana kama haki hawapati, na hawana pakudai, huwezi mfunga mtu eti maisha wakati hana kosa kesho useme atavumilia akitoka haipo hiyo
Kwahiyo na ninyi mnaiga uovu?Siasa za kiungwana za CCM ni hizi.
Asante mkuu, na mimi nilitaka kumtumia mleta mada hii picha,
Namuona johnthebaptist amebeba jiwe hapo,
Sihitaji kufurahishwa na ajuza kama weweUlitaka niwe napost kukufurahisha?
Tunaenda na kanuni ya jino kwa jinoKwanini mnataka kuhalalisha hicho kitendo kiovu alichafanyiwa huyo mzee?
Ni ushamba wa kiwango cha mwisho kabisa ila ndo siasa za bongo zilivyo
mwambie babako uko aliko wapi alimpeleka Azory na Ben Saanane, wana familia na wana haki ya kuishi kama binadamu wengine !! hatujasahau.Chadema ni wapumbavu sana hawajielewi