Nimetafuta mwanamke wa kuoa nimekosa, imebidi niishi single maisha yangu yote yaliyobaki hapa duniani

Nimetafuta mwanamke wa kuoa nimekosa, imebidi niishi single maisha yangu yote yaliyobaki hapa duniani

Mimi ni mwanaume nina miaka ya mwanzoni mwa 30's personality yangu niko straight nina element za wale wazee ambayo ni wakoloni

Wanawake ambao nimewatongoza na kuonesha nia ya kuwaoa na kuanzisha nao familia wote wamenikataa, weakness kubwa niliyokuwa nayo mim sio muongo na niko straight may be ndo kitu kinachonifelisha ila kamwe kujibadilisha nimeshindwa

Kuna mda najiulizaga watu wanavyosemaga wanawake wa ki-leo wanalilia ndoa sidhan kama hii kauli ina ukweli, ni uongo sina tatizo na wanawake walionikataa sababu ni haki yao na sina chuki nao.

Na kamwe sitakaa niipinge ndoa yes nimeshindwa kupata mwanamke wa ndoa, lakin wengine wamefanikiwa kupata wenza na wanaishi vizuri kwa hiyo sipo kwenye ile kampen ya kataaa ndoa

Wanawake niliowaaproach ni wakawaida sio wa hadhi ya juu

Baada ya kukataliwa na kila mwanamke ambaye niliyetaka kumuoa na kuanzisha familia imeshindikana imebid nitulie kwanza nijipange kiakili kuishi bila mke ni ngumu ila inawezekana.

Let us be realistic ndoa is not for everyone wengine tumepigania ila imeshindikana kinachonipa aman at least nimejaribu sababu the only fear is not trying

Chamgamoto ninayokumbana nayo na nitakayokumbana nayo for the rest of my life ni upweke na ndo kitu ambacgo natakiwa kupambana nacho for the rest of my life
Njoo kijijini kwetu ujipatie mke, unaweza usiwe na pesa lakini ukamiliki mwanamke mzuri wa sura Hadi tabia
 
Tofauti ya umri ni jambo muhimu sana kuzingatia ,inashauriwa mwanaume amzidi mke umri utakaowezesha mwanamme awe Kiongozi mzuri kwa mwenzi wake kwa muktadha ya maturity ,mkilingana maturity mwanaume hutakuwa na uwezo wa kumsoma mkeo na kujua jinsi ya kwenda nae ,mwanamke hujisikia salama atakapoona kuona wewe mchumba/ mme wake uko mature enough kuweza kumsaidia kimawazo. Mkilingana umri mtalingana uelewa ,tofauti ya 1-3 ni kama age mate ,tofauti ya 4 yrs angalau lakini si kiihivyo hatari ya utofauti wa 4-5 yrs ni kwamba mwanamke anazeeka haraka kuliko mwanaume sababu ya kuzaa zaidi.ukiweka mwanaume wa miaka 40 na mwanamke wa miaka 40 pamoja akija mtu asiye wafahamu mtu anaweza ona hapo kuna dada mtu aidha na mdogo wake wa kiume .pia kadri umri unavyoongezeka ule ukigoli wa mwanamke unashuka ukweli tofauti nzuri iwe 6-10 chukulia mme ana 60 yrs mke 50yrs mme 80 mke 70 .Sasa fikiria mme 55yrs mke 52yrs au mme 74yrs mke 70 yrs huoni Ni yofauti na mume 70yrs mke 55 yrs au mme 54 yrs mke 44yrs huoni inakaa vizuri au mme 70 yrs mke 55yrs huoni kama hao wanaendana vizuri
Kweli mkuu mwanamke akiwa na umri mdogo yaani ukimzidi at least 9 years ni rahisi sana kumuongoza na ni rahisi yeye kufuata unachotaka.Lakini ukioa ambaye wote mmelingana umri mtakuwa mnajidanganya atakuvimbishia kichwa maana experience na knowledge ya maisha mnalingana.Ukiachana na hivyo siku zote mkubwa aheshimiwe .Mwanamke mwenye umri mdogo kuliko mume wake anamheshimu Sana mume wake kuliko yule aliyelingana naye umri.

Kuna Uzi jamaa aliandika ameoa mke hataki kufua hapiki hamuandalii maji ya kuoga anaishi kama bachela wakati ameoa.Naamini kabisa alimwoa mtu waliyelingana umri.
 
Inawezekana ni aina ya wanawake unaowataka wanafanania wa bongo movie. Nina dada yangu ana mtoto mmoja na ni kibonge mwepesi🙃
Kama kaka yake ningependa apate mchumba unasemaje hapo. Kaka lazima apate shemeji.
😋
 
Mkuu badilisha gia ya kutongoza mkuu na usiwe direct utateseka sana, mwanamke ukimfata direct anachomoa hawapendi kuonekana cheap


##Tumia hii mbinu

1: Meet----2: Date----3: seduce

Nauwe mjanja mjanja hapo kwenye hiyo mbinu . Ulokole weka pembeni kabisa unapo kua na mwanamke.. utumie ulokole ukiwa ndani unaomba mke mwema tuu na maisha mazuri huku ukichapa kazi kwa bidii..

Ukishindwa hiyo mbinu hapo kama mwanaume, nenda karatu wale wakule ni wakushika tuu mkono ndugu yangu kwanini uwe mpweke ila tutakuchapia sana

Nb: neno "date" lina utata ila natumaini mmeelewa
 
despicable-me-despicable-me-2-gru-despicable-me-wallpaper-preview.jpg
 
Kweli mkuu mwanamke akiwa na umri mdogo yaani ukimzidi at least 9 years ni rahisi sana kumuongoza na ni rahisi yeye kufuata unachotaka.Lakini ukioa ambaye wote mmelingana umri mtakuwa mnajidanganya atakuvimbishia kichwa maana experience na knowledge ya maisha mnalingana.Ukiachana na hivyo siku zote mkubwa aheshimiwe .Mwanamke mwenye umri mdogo kuliko mume wake anamheshimu Sana mume wake kuliko yule aliyelingana naye umri.

Kuna Uzi jamaa aliandika ameoa mke hataki kufua hapiki hamuandalii maji ya kuoga anaishi kama bachela wakati ameoa.Naamini kabisa alimwoa mtu waliyelingana umri.
Kweli kabisa Mkuu
 
Mimi ni mwanaume nina miaka ya mwanzoni mwa 30's personality yangu niko straight nina element za wale wazee ambayo ni wakoloni

Wanawake ambao nimewatongoza na kuonesha nia ya kuwaoa na kuanzisha nao familia wote wamenikataa, weakness kubwa niliyokuwa nayo mim sio muongo na niko straight may be ndo kitu kinachonifelisha ila kamwe kujibadilisha nimeshindwa

Kuna mda najiulizaga watu wanavyosemaga wanawake wa ki-leo wanalilia ndoa sidhan kama hii kauli ina ukweli, ni uongo sina tatizo na wanawake walionikataa sababu ni haki yao na sina chuki nao.

Na kamwe sitakaa niipinge ndoa yes nimeshindwa kupata mwanamke wa ndoa, lakin wengine wamefanikiwa kupata wenza na wanaishi vizuri kwa hiyo sipo kwenye ile kampen ya kataaa ndoa

Wanawake niliowaaproach ni wakawaida sio wa hadhi ya juu

Baada ya kukataliwa na kila mwanamke ambaye niliyetaka kumuoa na kuanzisha familia imeshindikana imebid nitulie kwanza nijipange kiakili kuishi bila mke ni ngumu ila inawezekana.

Let us be realistic ndoa is not for everyone wengine tumepigania ila imeshindikana kinachonipa aman at least nimejaribu sababu the only fear is not trying

Chamgamoto ninayokumbana nayo na nitakayokumbana nayo for the rest of my life ni upweke na ndo kitu ambacgo natakiwa kupambana nacho for the rest of my life
Utakuja mpata mnaoendana, muda bado upo.
 
Back
Top Bottom