Nimetafuta mwanamke wa kuoa nimekosa, imebidi niishi single maisha yangu yote yaliyobaki hapa duniani

Nimetafuta mwanamke wa kuoa nimekosa, imebidi niishi single maisha yangu yote yaliyobaki hapa duniani

usinitishe wewe,,suala la kuosa mke sasa ni suala la kushangaa,huyu leo aseme suu tumuozeshe chaap,tenna fungate inaanzia hapa JF
Muunganishie demu sasa kama unawajua kuna wahanga wa kuolewa mkuuu
 
Mimi ni mwanaume nina miaka ya mwanzoni mwa 30's personality yangu niko straight nina element za wale wazee ambayo ni wakoloni

Wanawake ambao nimewatongoza na kuonesha nia ya kuwaoa na kuanzisha nao familia wote wamenikataa, weakness kubwa niliyokuwa nayo mim sio muongo na niko straight may be ndo kitu kinachonifelisha ila kamwe kujibadilisha nimeshindwa

Kuna mda najiulizaga watu wanavyosemaga wanawake wa ki-leo wanalilia ndoa sidhan kama hii kauli ina ukweli, ni uongo sina tatizo na wanawake walionikataa sababu ni haki yao na sina chuki nao.

Na kamwe sitakaa niipinge ndoa yes nimeshindwa kupata mwanamke wa ndoa, lakin wengine wamefanikiwa kupata wenza na wanaishi vizuri kwa hiyo sipo kwenye ile kampen ya kataaa ndoa

Wanawake niliowaaproach ni wakawaida sio wa hadhi ya juu

Baada ya kukataliwa na kila mwanamke ambaye niliyetaka kumuoa na kuanzisha familia imeshindikana imebid nitulie kwanza nijipange kiakili kuishi bila mke ni ngumu ila inawezekana.

Let us be realistic ndoa is not for everyone wengine tumepigania ila imeshindikana kinachonipa aman at least nimejaribu sababu the only fear is not trying

Chamgamoto ninayokumbana nayo na nitakayokumbana nayo for the rest of my life ni upweke na ndo kitu ambacgo natakiwa kupambana nacho for the rest of my life
Tafuta pesa automatically utajua kutongoza.
 
Mimi ni mwanaume nina miaka ya mwanzoni mwa 30's personality yangu niko straight nina element za wale wazee ambayo ni wakoloni

Wanawake ambao nimewatongoza na kuonesha nia ya kuwaoa na kuanzisha nao familia wote wamenikataa, weakness kubwa niliyokuwa nayo mim sio muongo na niko straight may be ndo kitu kinachonifelisha ila kamwe kujibadilisha nimeshindwa

Kuna mda najiulizaga watu wanavyosemaga wanawake wa ki-leo wanalilia ndoa sidhan kama hii kauli ina ukweli, ni uongo sina tatizo na wanawake walionikataa sababu ni haki yao na sina chuki nao.

Na kamwe sitakaa niipinge ndoa yes nimeshindwa kupata mwanamke wa ndoa, lakin wengine wamefanikiwa kupata wenza na wanaishi vizuri kwa hiyo sipo kwenye ile kampen ya kataaa ndoa

Wanawake niliowaaproach ni wakawaida sio wa hadhi ya juu

Baada ya kukataliwa na kila mwanamke ambaye niliyetaka kumuoa na kuanzisha familia imeshindikana imebid nitulie kwanza nijipange kiakili kuishi bila mke ni ngumu ila inawezekana.

Let us be realistic ndoa is not for everyone wengine tumepigania ila imeshindikana kinachonipa aman at least nimejaribu sababu the only fear is not trying

Chamgamoto ninayokumbana nayo na nitakayokumbana nayo for the rest of my life ni upweke na ndo kitu ambacgo natakiwa kupambana nacho for the rest of my life

Japo wanawake wanataka ndoa lakin wana standard zao. Si kila mtu anae jitokeza kwa lengo hilo atakubalika no.

Pili you are stoic in nature, angalia ni vitu gani unakosa ambavyo vinawafanya waku sideline. Lazima utapata tu, you are bot perfect 100%
 
Huo ukoloni wako ni chanzo,sio kwamba wanawake hawataki bali unaonesha tabia mbazo yawezekana mwanamke anakuona kama unamfanya mwenye dhiki,mwanamke kwanza anasifa yakutaka kuona anamilikiwa,na haitaji purkushani,hata ungekuwa mnyofu vipi lakini ukawa mtu mwenye ukoloni flani usitegemee kama utapata mwanamke wa kuishi labda awe na dhiki,badili mfumo wa maisha yko,mika 30+ mbona bado sana
 
Njoo inbox nikupe connection hata ya single mother mmoja mkalee familia.

Mwenzako napata magepu kibao nakula kona..
Screenshot_20230413-173744.png
Screenshot_20230413-173710.png
 
Back
Top Bottom