Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
- Thread starter
-
- #41
Nimetoa tu sadaka mkuu, ingawa roho inaumaKama kuna nyingine imebakia unaweza kunitumia mimi tadhari yaani iwe kama sadaka as you know this is Sunday [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
πππAhahahahaa ... Mafalme wa kike..
By the way, kula kwake fea kumesitisha mtu kuzaliwa Jan 2023
Leo anajichana vyuku tu.Ahahahahaa ... Mafalme wa kike..
By the way, kula kwake fea kumesitisha mtu kuzaliwa Jan 2023
Potezea tu ila May be badae atakutafuta!Asante, inauma sana, nimeathirika kisaikolojia
Anasema yupo ndani ya gari,lakini najua ni usanii tuPotezea tu ila May be badae atakutafuta!
ππalafu yuko bize jf kupost dAahUmekwisha[emoji23][emoji23][emoji23].
Wanakaaga mahali wanakuzoom kwanza, kisha wanazima simu wanaondoka. Tena usiombe kama alikuja na mshikaji wake amtambulishe kwa shemeji.
Niombeeni aweze kufika mkuuππalafu yuko bize jf kupost dAah
Mara ya kwanza mkuuTo do ze mistake iz not ze mistake, but to repeat ze mistake iz ze mistake.
Ni mara ya kwanza au limejirudia tujue kukuhukumu[emoji23]
Sent from my COR-AL10 using JamiiForums mobile app
Tena huyo dada bora asije tu.[emoji1][emoji1]alafu yuko bize jf kupost dAah
Huo utakuwa ni utoto, yasirini yanatakiwa yabaki siriniTena huyo dada bora asije tu.
Uliona thread ya yule mtu alifungua mada ya hivi kisha yule mwanamke akafika?
Yaani alimpiga picha kila tukio akatuwekea[emoji23][emoji23][emoji23]
πππhizi sim za macho matatu nzuri kwa kulia nauli za watu na pia ni janga pale utakapoonekana live ni tofauti.,Tena huyo dada bora asije tu.
Uliona thread ya yule mtu alifungua mada ya hivi kisha yule mwanamke akafika?
Yaani alimpiga picha kila tukio akatuwekea[emoji23][emoji23][emoji23]
πwakati mnagaiana hela ulituomba tukuombee ππNiombeeni aweze kufika mkuu
ha ha ha unitakii mema mkuuπwakati mnagaiana hela ulituomba tukuombee ππ
endelea kutesekea pande hizo baada ya kumtumia nauli mwanaume mwenzioπππππππππππ
πππ akati anajiona bonge la mtu keshatoa series,Huo utakuwa ni utoto, yasirini yanatakiwa yabaki sirini
Kweli mkuu, hakuna kukata tamaamim mbon nimewatafun sana hao wa mitandaoni ,Riski lazima lakin sikomi mimi dunia sio yangu.
Haina maana, kwa sababu hakuna cha ajabu paleπππ akati anajiona bonge la mtu keshatoa series,
kitendo cha kumfotoa na kupost sio poa ani.
Ss si ndio hao hao mkuu unatuma nauli hawatokeiFake photos ukitaka watoto wa kula wamejaa tele tinder