Nimetapeliwa zaidi ya Tsh. 45,000,000 kwa kuuziwa kiwanja feki

Wanasheria mmejitahidi kutoa elimu nzuri. Watanzania inatakiwa tuelimishwe sana na tusome sana sheria ili tujue haki zetu. Watu wanatoa 10% na hela za udalali alafu ukitokea msala mahakamani hana hata msaada na wewe
Kweli kabisa, hata namimi nimependa jinsi walivyo elezea baadhi ya mambo hapo.

Haya ni mambo ya msingi sana watu kuyafahamu, maana watu wapigwa kila uchao.
 
Naomba nikuulize kwa upande mwingine.

Ikiwa mmiliki/mmoja wa wamiliki amedhulumiwa kiwanja anafuta hatua zipi ili kukirudisha?

Mfano kiwanja kinamilikiwa na mke na mume, au familia sasa ikitokea baadhi ya wanafamilia wameuza kiwanja pasi kuwashirikisha wengine, hawa ambao hawajashirikishwa wanafuata hatua zipi za kisheria kukirudisha ikiwa hawajaridhia mauziano? au ndio inakuwa imetoka hiyo?
 
True jini anakupa utajiri nawe unampa jini kafara ya damu.
Damu ni chakula cha majini.
Waganga na wachawi ni matajiri Sana wa pesa lakini masharti yao hayawaruhusu kumiliki mali.Pesa zao wanazitumia kununua vifaa vyao vya Kazi
Upo sahihi, muonekano wa mganga na mazingira yake ni ya hovyo sana watu wakiona vile wanazani mganga Ni maskini hawezi kuvaa vizuri, pale yupo kazini miiko ya kazi inamtaka kuwa vile yale manguo anayovaa na matunguri na zana zingine ndo yanamuwezesha kuingia ulimwengu wa giza kuwasiliana na majini na baada ya kazi anayavua maana Ni mazito balaa!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pana sasa ni mchungaji zamani alikuwa mganga mwaka 95 alikuwa na bilioni moja cash T shilling,pesa wanakaa nazo ndani huwezi ziona.
Mchawi ni lzm awe na pesa sababu wakati mwingine anaweza akasoma ramani vibaya akapiga radar na kuona njia ipo safi akapita akanaswa kwenye anga za wengine then upigwa faini ya pesa ndipo aachiwe, Ili asiumbuke.
 
Kaka kosa nililofanya ni kutokupitia kwa wenyeviti wa seriklai za mitaa nikamtumia direct mwanasheria lakini wenzangu walionitangulia kununua walipitia huko kwa wenyeviti lakini mambo ndo yamekuwa hivo

So unamaanisha kuwa kupitia kwa Mwanasheria ndo kumesababisha utapeliwe au kuuziwa kiwanja feki..??? Toa maelezo ya namna tukio lako limefanyika and may be I could help you..! Ardhi ni Sehemu ambayo me naifanyia kazi kwa muda mrefu sanaaa
Maelezo yako tu yakishajikanyaga basi ujue haki yako itapotea kirahisi sanaa maana people around take notes of everything katika yale unayoongea na kutafuta weekness point katika matamshi yako.
Kama kweli umetapeliwa 45m kama unavyosema then zipo mamlaka ambazo unaweza pata msaada only if kama ulikua na mashahid wa both sides katika mauziano yako.
Nb: Ardhi ipo na vishoka wengi sana so you better be careful. Na sio ajabu mwenye haki ndo huwa anashidwaga sana kwenye maswala ya Ardhi
 
Serikali za mitaa wana umuhimu wao.kwanza wanakuwa wanajua historia ya eneo.
Pili ni mashahidi wa karibu kabisa ambao wanaweza kusaidia,tofauti na wakili ambaye wakati mwingine anafanya kazi yake akiwa ofisini.

Kutumia wakili kusikufanye ,usiwashirikishe serikali za mitaa kupata taarifa zaidi kuhusu Hilo eneo.
 

Umenifungua sana mkuu asante
 
  • Wana umuhimu wao kwa ardhi ambazo hazijapimwa,
  • Na hao serikali ya Mtaa ndio wameleta mabalaa ya kuuza Ardhi Mara mbili
  • Unasema Wakili amekaa ofisini hivi unajua maana ya neno 'official search'?
 
Haya mambo yasikie tu.

Nina siku ya nne leo tangu nigundue kwamba nimepigwa, hata kula vizuri siwezi, nawaonea wivu wenzangu walionunua maeneo madogo kwa bei za 15m kushuka chini. Naona hasara yao ni ndogo kuliko yangu.
Ilikuaje Mkuu?
 
Mfano viwanja vilivyopo uko vikindj ndani ndani je wizara ya ardhi inavijua ama inakuwaje apa?
 
Kama hauja ikopa piga moyo konde ili maisha mengine yaendelee
Unafikiri ni rahisi kihivyo Mkuu
Mbaya zaidi ukute ni mwenzangu na mie hela zenyew za mawazo unaweza kufa kwa pressure
Afadhali kama ni mtu mwenye hela zake nyingi nyingi
 
Ukisema hivi unatugusa wengi halafu unatupa na pressure juu.
Mungu atuongoze kwakweli.
 
Unafikiri ni rahisi kihivyo Mkuu
Mbaya zaidi ukute ni mwenzangu na mie hela zenyew za mawazo unaweza kufa kwa pressure
Afadhali kama ni mtu mwenye hela zake nyingi nyingi
mali zinatafutwa tuu, asipo piga moyo konde na ku move on, atahatarisha afya yake mwisho wa siku atapata magonjwa yasiyotibika….
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…