Nimetelekezwa na ujauzito, natafuta kazi

Elewa comment acha kuquote kwa mihemuko sio vizuri mkuu
Yani we ndio hueleweki. Si ulisema tunaobeba mimba za makapuku na wanywa gongo wasio na pesa sisi ni wapumbavu. Sasa umebadilika tena kiongozi?? Dah JF kuna wanaume kiboko kweli kweli
 
Pole sana dada yangu, sio ajabu baada ya kujifungua Shem akarudi tena, asee wanaume wenzangu acheni kichaa, unatelekeza damu yako? Nyoka pamoja na ubaya wake wote hajawahi kutelekeza mtoto😒
 
Faraja zipogo kwa wafiwa na watoto mkuu.

Watu wazima hamnaga hilo jambo tena huyu amekaa kama mmama hivi...
Usinizeeshe bila sababu banaa aaa. We kama una koneksheni ya kazi naomba unikonekti hilo ndio lengo la uzi huu bwana Daktati... ni utani tu kkkkkkkkk
 
Pole sana dada yangu, sio ajabu baada ya kujifungua Shem akarudi tena, asee wanaume wenzangu acheni kichaa, unatelekeza damu yako? Nyoka pamoja na ubaya wake wote hajawahi kutelekeza mtoto😒
Usiamini amini kila kitu mkuu, utaja pigwa za uso hii thread haijakamilika....

Loop holes za kutosha zimo humo
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Kuna mtu anaenda kuliwa hapa daaah
Umeonaa mafisii kama.haoo[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] Yani mtu anajielezwa katelekezwaa hapaaa wanataka wamkulee tenaa..
 
πŸ™πŸ™
 
Pole sana.nadhani unekuwa funzo kwa wanawake wenzako wanao tegemeaga kwamba ukipata ujauzito basi umepata pa kumkamatia mwanaume.

Kwa usilolijua, mwanaume kama hakupanga kupata mtoto,ukimwambia una mimba unakuwa umemchefua tu ze maximum.ustaarabu wake wote huondoka na atakakushangaza

Ni vizuri wanawake msiwe na haraka ya maisha.jitahidi muqe mbafunga ndoa takatifu.
 
Hatakama ni ukweli huu uzi umekaa (kitoto+kiuongo+ki unafki) sana
Sasa mtu anaomba connection ya kaz sasa uongo ni upi tenaaa.
Mpe kaz kama unayo au unaweza msaidi kwa washkaji zako.
huyu hajaomba kuliwazwa au hajaomba ugali zaid ya kaz ambayo itampatia kipato cha kujikimu maisha yake na mtoto mtarajiwa.
Kwenye changamoto wakat mwingne tuwe na iman flan ndogo inaweza saidia wengi
 
Inamana anadanganya?
Kwani bado hujamgundua mtuhumiwa Mr why. Watuhumiwa huwa wana tabia ya kujishuku shuku. Kama una koneksheni ya kazi naomba unikonekti wangu achana na huyo Penseli ana mihemko hata simuelewi. Amekomaa na hii thread yangu utazani yeye ndiye mtelekezaj..... hahahaaa am just joking
 
Asante sana
 
Wewe kichwani umebeba peremende,
NA WOTE WALIO KUPA LIKES
Wana vichwa kama samaki aina ya Perege,

Mtoa mada na wewe Ulikurupua, sisi tunachangamsha genge kumbe mnatongozana humu..
Kubeba ujauzito nje ya Ndoa ni uzembe na zinaa, Hakuna namna unaweza halalisha hilo..

Mimi ninachokuombea ni upate tuu mishe kwa ajili Ya mtoto basiii.
Huu uzi hamna mwenye afadhari.
Rubish kabisa
 
Amina asante
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…