Walimu hata uwe na GPA ndogo zamani walikuwa wanapangiwa vituo vya kazi, so hyo ikawafanya Wana maliza degree hawajui hata kuandika barua ya application, na ukisema uwafanyie interview hupati mwalimuduh
Hivi walimu hawana interview ?? basi wanateleza sana huku Engineering huwa tunachukia interview sana
GPA ndogo ni ngapi hadi ngapi?Walimu hata uwe na GPA ndogo zamani walikuwa wanapangiwa vituo vya kazi, so hyo ikawafanya Wana maliza degree hawajui hata kuandika barua ya application, na ukisema uwafanyie interview hupati mwalimu
1.8GPA ndogo ni ngapi hadi ngapi?
Madame punguza matusi na majibu mabaya...kwa Tabia yako hii mmeo ana kazi sna
Vijana tunapenda kusikia tunachotaka kusikia, lakini si kila tunachotaka kusikia tunatakiwa kusikia. Na kuna muda ambao tunatakiwa tukubali kusikia tusichotaka kusikia.Walimu hata uwe na GPA ndogo zamani walikuwa wanapangiwa vituo vya kazi, so hyo ikawafanya Wana maliza degree hawajui hata kuandika barua ya application, na ukisema uwafanyie interview hupati mwalimu
Kinacho tokea miaka hii ni matunda ya muda mrefu yaliyo pandwa kwenye mfumo wetu wa elimu. Unaruhusuje watu wenye div 4 waende kuwa walimu? Hawa ilifaa waende kwenye fani zingine huko.Walimu hata uwe na GPA ndogo zamani walikuwa wanapangiwa vituo vya kazi, so hyo ikawafanya Wana maliza degree hawajui hata kuandika barua ya application, na ukisema uwafanyie interview hupati mwalimu
Ni kweli walimu wengi uelewa wao mdogo na Ni failure kisa waliajiriwa kuziba gap la upungufu wa waalimu matokeo yake na wao wanafundisha wanafunzi vitu wasivo competent navyo.Kinacho tokea miaka hii ni matunda ya muda mrefu yaliyo pandwa kwenye mfumo wetu wa elimu. Unaruhusuje watu wenye div 4 waende kuwa walimu? Hawa ilifaa waende kwenye fani zingine huko.
Mwalimu aliyefeli in the first place atamfundisha mwanafunzi wake namna ya kufeli, kwa hiyo kwa miongo kadhaa tumekuwa tukizalisha wanafunzi 'waliofaulu kufeli'.
Sasa Hilo ni tusi, Mimi Sina shida, tatizo Ni uelewa wako wa Mambo, na huyo mume tabu atajipa mwenyewe Kama hajielewiMadame punguza matusi na majibu mabaya...kwa Tabia yako hii mmeo ana kazi sna
Aisee nikuache tu, kila Uzi unaleta utopolo ngoja nikuweke reseveKichwani umejaza makamasi.
Unaonekana una mdomo sana mkuu...hapo mtaan kwako wapo salaama kweli?Sasa Hilo ni tusi, Mimi Sina shida, tatizo Ni uelewa wako wa Mambo, na huyo mume tabu atajipa mwenyewe Kama hajielewi
Ndio na mdomo mrefu Kama wa mambaUnaonekana una mdomo sana mkuu...hapo mtaan kwako wapo salaama kweli?
Anaweza kuwa mwalimu huyu?Mtoa mada anaomba msaada, haya yote yanatoka wapi?
Nitafute nikusaidieNaombeni msaada wadau,
Nimetuma kimakosa application za ualimu, nilienda internet cafe kufanya application bahati mbaya aliyenihudumia akawa amechanganya taarifa zangu na mtu mwingi kwenye vyeti sasa tatizo linakuja nashindwa kuviondoa vyeti vya mtu mwingine kwenye account yangu.
Hahaaa akili kubwaa eee!?!?Aisee nikuache tu, kila Uzi unaleta utopolo ngoja nikuweke reseve
Hawa ni moja kati ya maelfu ya wachangiaji tulionao kwa sasa hapa jf.Mtoa mada anaomba msaada, haya yote yanatoka wapi?
Mbona na wewe umekosoa, hafu hyo typing error, Mimi nimekosoa wewe umgekuja kivingind basiHahaaa akili kubwaa eee!?!?
Reseve[emoji735]
Reserve[emoji818][emoji818]
Jifunze kusaidia sio kukosoa kila mtu hukosea, haikupunguzii kitu kumuelimisha mtu
Mtoa mada anaomba msaada, haya yote yanatoka wapi?