Nimevamiwa nyumbani kwangu na mwanamke niliyempa mimba. Nifanyeje?

Acha kuharibia watt wa watu maisha halafu mnakuja humu Tena mnasema. Usioe single Maza ishi na mtt wa watu usimuharibie maisha yake na kwa nn usitumie ndomu wakati unajua huna malengo nae
 
Nimekuelewa kiukweli. Nimependa maono yako mkuu. Nitayafanyia kazi
 
Amin bro
 
Lakini mimba ni yako? 😅 kwani ulikua humpendi
Nilimtongoza kwa sababu nilikuwa na maumivu ya kuachana na mke wangu. Niliamini mbususu na urembo wake ungenisaidia kumsahau yule nilompenda. Ila ndo hivo amejipa umwamba
 
Aliniletea pigo hizo niliita difenda akawekwa ndani,alipoachiwa hakurudi
 
Sisi hatukushika Miguu wakati unaichapa..Uliichakata mwenyewe Starehe ya dakika 5 Matokeo ya Maisha..Hapo ndio wahenga wakasema "UTAVUNA ULICHOKIPANDA" Umepanda mbegu za uzinzi kula Chuma iko
 
Sisi hatukushika Miguu wakati unaichapa..Uliichakata mwenyewe Starehe ya dakika 5 Matokeo ya Maisha..Hapo ndio wahenga wakasema "UTAVUNA ULICHOKIPANDA" Umepanda mbegu za uzinzi kula Chuma iko
Sawa kenge
 
Kumbe waharibifu wa watoto wetu wengi mko JF ?!
 
Kwanza umeshasema umevamiwa na mke sidhani kama mke anavamia. Anakuja kama alivyokuja.

Vipi wewe kwa upande wako, unaweza ruhusu binti yako aliyejazwa mimba alelewe kwako? Siku hizi ndoa zinatafutwa kwa kila mbinu ameshakuwa mke huna namna
 
Utakuja kujuta kuweka huyo mwanamke ndani ya Nyumba yako,

Ila ulikosea sana hapa:

“Baada ya muda aliomba tuende clinic ya kwanza kama yalivyo maelekezo ya wadau wa afya kuwa mahudhurio ya kwanza ni lazima waende wahusika wa ujauzito kwa ajili ya vipimo. Hapo nilichenga kulingana na nature ya kazi yangu..... niko busy sana mda mwingi. Siku zilisonga na alipewa barua ya kumruhusu kusajiliwa na kuanza clinic bila ya uwepo wangu.“

Mwanamke ukimpa mimba na huna mpanfo wa kukaa naye au kufanya maamuzi ya kuishi naye kwa haraka, ni muhimu sana kucheza na saikolojia yake na kuwajibika!
 
Halafu kesho na kesho kutwa mnaanza kuwananga Single mothers!!!!
 
Hiv inakuwaje mnakaa kabisa na mtu ambae hauna mpango nae. Hebu fikiria angekuwa mwanao ungefurahia aaribikiwe maisha kabisa. Unaenda kumfanya mtoto wa mtu mzinzi mazima kwa tamaa zako.
Bota mtu tu anakua ni mtu mzima, hii ya kutia mimba halafu "nitalea" ni mbaya sana.

Mtoto hapati malezi ya baba wala babu, hawa singo maza sio wazuri sana kwenye malezi, mijini watoto wanaharibikiwa sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…