Nimeyakanyaga kwa mtoto wa kishua, napasuka kibunda kujifanya ninazo

Nimeyakanyaga kwa mtoto wa kishua, napasuka kibunda kujifanya ninazo

Huyo so wakishua huyo ni muhun tu nae kakupata boya kama ww, we endelea kutoboka si ndio uanaumee. Komaa na huyo
Maskin mwenzio.
 
Wew laki mbili unalalamika? Alafu mabestee
Wanakuja unademaa acha ujinga wewee. Kula boga na majan yake na miti yake mpaka mizizi [emoji1787][emoji1787]
 
Hizo sina hamu nazo,niliwahi otea pisi ya kishua,daah nilikua nagalamika kujifanya ninazo,sema tu walikua wana hotel kwahyo nilikua naenda kugongea kwenye hotel yao wakat akienda kukagua hesabu,so hela ya hotel nilikua sitoi ila chakula na vinywaji sasa duuhh
 
Hizo sina hamu nazo,niliwahi otea pisi ya kishua,daah nilikua nagalamika kujifanya ninazo,sema tu walikua wana hotel kwahyo nilikua naenda kugongea kwenye hotel yao wakat akienda kukagua hesabu,so hela ya hotel nilikua sitoi ila chakula na vinywaji sasa duuhh
Huyo alikuwa kapuku mwenzio
 
Ulimpeleka Mjimwema Lodge au Kwa Mwaisango unasema hotelini kaka unatuchora
 
Hii ndio JF bwana mleta mada! Humu kila mtu analala hoteli nyota 5 kuanzia laki nne kwa siku na kuendelea.... so usilete mambo yako ya laki mbili kwa siku 10 humu hautaeleweka hata kidogo..! 😁😁😁

huyu binti ni siku ya 10 hii nimegharamika takribani laki 2 kumpeleka hotelini na kuna siku 1 alikuja na mabesti zake watatu.
 
Hii ndio JF bwana mleta mada! Humu kila mtu analala hoteli nyota 5 kuanzia laki nne kwa siku na kuendelea.... so usilete mambo yako ya laki mbili kwa siku 10 humu hautaeleweka hata kidogo..! 😁😁😁
nimekuwa mdogo kama piritoni, humu hf watu wanachezea pesa aisee, watu laki 2 wanaona ndogo ila kwenye jukwaa la ajira unawakuta wanatafta kazi, huenda huwa wanazihitaji za kupotezea mda na sio pesa
 
nimekuwa mdogo kama piritoni, humu hf watu wanachezea pesa aisee, watu laki 2 wanaona ndogo ila kwenye jukwaa la ajira unawakuta wanatafta kazi, huenda huwa wanazihitaji za kupotezea mda na sio pesa
Huku unatakiwa ukae kimachale mkuu 😁😁
 
Nipo Mbeya kikazi hapa naishi karibu na mbuga ya mabinti wa vyuo takribani vitano huku maeneo ya forest.

Ukitaka mwendo tia gia havijileti, kidume nimejikoki kwa pisi kali ya chuo lakini mziki naopitia siyo poa.

Nilitaka nipige na kusepa lakini wahenga walisema ukionja asali huwezi kutosheka kwa kuchovya mara moja, binti kaninogea acheni tu, ni first year wale wa mwaka wa kwanza kutoka form 6.

huyu binti ni siku ya 10 hii nimegharamika takribani laki 2 kumpeleka hotelini na kuna siku 1 alikuja na mabesti zake watatu.

Uzuri tu ni kwamba kifedha naona yupo vizuri na hana mkopo anatumiwa pesa na mzee wake, sijawahi kumnunulia bando Wala kumpa hela ya usafiri wala nywele

nagharamika hotelini tu, hanywi pombe na kula yake ni ya kistaarabu sio ya kufakamia, hata ulaji wake tu unaonekana haya mambo ya hotel kwake kawaida

Penzi na enjoy lakini chamoto nakiona, hizi gharama kwangu zinanipiga ngumi ndoike maana hazikwepeki
Hakuna issue ya kishamba kama kuwashobokea hivi viumbe
 
Nipo Mbeya kikazi hapa naishi karibu na mbuga ya mabinti wa vyuo takribani vitano huku maeneo ya forest.

Ukitaka mwendo tia gia havijileti, kidume nimejikoki kwa pisi kali ya chuo lakini mziki naopitia siyo poa.

Nilitaka nipige na kusepa lakini wahenga walisema ukionja asali huwezi kutosheka kwa kuchovya mara moja, binti kaninogea acheni tu, ni first year wale wa mwaka wa kwanza kutoka form 6.

huyu binti ni siku ya 10 hii nimegharamika takribani laki 2 kumpeleka hotelini na kuna siku 1 alikuja na mabesti zake watatu.

Uzuri tu ni kwamba kifedha naona yupo vizuri na hana mkopo anatumiwa pesa na mzee wake, sijawahi kumnunulia bando Wala kumpa hela ya usafiri wala nywele

nagharamika hotelini tu, hanywi pombe na kula yake ni ya kistaarabu sio ya kufakamia, hata ulaji wake tu unaonekana haya mambo ya hotel kwake kawaida

Penzi na enjoy lakini chamoto nakiona, hizi gharama kwangu zinanipiga ngumi ndoike maana hazikwepeki
🤣🤣..apo kwenye ndoike
 
nimekuwa mdogo kama piritoni, humu hf watu wanachezea pesa aisee, watu laki 2 wanaona ndogo ila kwenye jukwaa la ajira unawakuta wanatafta kazi, huenda huwa wanazihitaji za kupotezea mda na sio pesa
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom