Zabron Hamis
JF-Expert Member
- Dec 19, 2016
- 7,093
- 11,377
Unasema "hebu tushauriane" kama vile hiyo mimba ni yetu sote. Muhimu omba ushauri japo hata sijui huo ushauri unaotaka ni wa nini wakati mimba mmepeana wawiliWakuu asalaam Aleikum, Tumsifu Yesu Kristo, Bwana Yesu Asifiwe, nawasalamu kwa jina la Jamhuri ya Muungano.
Nije kwenye mada mimi ni mwanaume ambaye kidogo nimeshavuta vuta umri kiasi (niko around 40+) nina mke na watoto
Mimba haiwezi peana na wawili anapewa mmoja tu.Unasema "hebu tushauriane" kama vile hiyo mimba ni yetu sote. Muhimu omba ushauri japo hata sijui huo ushauri unaotaka ni wa nini wakati mimba mmepeana wawili
Haaaa mkuu kumbe wanaliwa supu, alafu ni wanangu wa mchongo au wanae wa mchongoKumbukumbu mbaya ya wizi na dhurma.
Uongo na Maigizo havidumu.
Subiri kuona jamaa akiwala supu wanao wa mchongo
Umeona eenhh??!!,Kuna watu duniani hapa ni pasua kichwa Kweli KweliNyie wasenge mmekuwa wengi hapa Tz natamani nije nikupige kisu
Hahaaa chai tuongeze maji, majani au sukari?Kumbukumbu mbaya ya wizi na dhurma.
Uongo na Maigizo havidumu.
Subiri kuona jamaa akiwala supu wanao wa mchongo
Kubali tu uende lkn nenda na KY utakuja kushukuru [emoji23][emoji23][emoji23]msamaha unakubalika kwa kumuomba uliyemkosea, natamani kufanya hivo lkn namfikiaje kusiwe na madhara, ukiona mtu anaweka jambo public tambua limeshamsumbua kwa saana.
HakikaDuh huyo anayebebeshwa watoto wasio damu yake Mungu amrehemu.
Unadhani ni sifa eti??!.Napenda kupata more reaction and comments from many members
Achana nao hawa watakatifu wa jf...tena wana makubwaa zaidi yako[emoji848]what do you mean
Sina wasi wasi wa kuvurugana na familia yangu, kwa sababu ninaouwezo wa kula kunywa kulala mpaka kufa. Ninahofia upande wa pili tu. Two wrong cant make it right. Nimeshakosea na hilo liko wazi hivo nachukuwa mawazo ya kufanyia kazi.
wanangu wanajua am a man wangenishangaa ikiwa wangesikia babao kabaka. Kwa hili hawana say yoyote. Issue ni kwamba nimelima kwenye shamba la mtu bila idhini na shamba likiwa limezungushiwa fence.
Mimi ni mmoja tu kati ya wale waliohamua kusema lkn tupo mamilioni
Nimekuelewa na ni vipi ninalaumiwa tu mimi ili hali nimeeleza kuwa huyu mtu alikuwa single mother wakati nakutana naye. Alivoolewa tukakubaliana kukata mawasiliano na akabadilisha namba ya simu, lakini baadae akanitafuta tena. Offcourse sitathubutu ila kama binadamu naumia kwa niliyofanya na matokeo ya yale yaliofanyika.Usitegemee kupata good reply hapa maana wengi wana feel kuvaa viatu vya mume mwenzio na kuona kama kwenye familia zao umeingia na kuwazalisha wake zao wote.
Hii kitu siyo nzuri kifamilia pia.
Wewe ni mtu mzima sasa, je ingekuwa wewe umefanyiwa hayo ungejisikiaje.
La kufanya na wanavyofanya wenzio hakikisha hao watoto wanasoma vizuri.
Ikitokea mwenzio ametangulia ndipo mama atawaambia watoto hali halisi.
Kwa sasa ukiongeza nguvu tu ya kuwadai wote wewe mke watoto mtaingia kaburini, miaka hii watu wamevurungwa.
Katika chochote unachofanya usimlaum mtu ulikua na uwezo wa kukataa toka mwanzo, acha roho ikusute mwenyew bila lawamaKatika hili sitaki hongera wa likes. Hili jambo ghafla limeanza kunitesa sana na nahitaji sana kuungama hii dhambi. Ila wanawake ni shida. Angeikubali hali aliyoikuta kwa mmewe haya yasingetokea. Najua aliolewa baada ya kumwambia siwezi kumuoa. Hivo alifanya kama kunikomoa. All najua humu wanacomment mpaka wanawake but most of you mnarudi kwa Ma Ex
Tofauti ni kwamba mimi si shoga, alafu mbona una mawazo ya kishoga shoga? umefumuliwa alafu ukaachwa pole. Bahati mbaya nyuma hupaoni nami sina msaadaWewe una tofauti gani na anaejitangaza mimi shoga.
Acha upumbavu wewe, hakuna aliyeshinda vita ya Mke, mbona tupo wengi tu nikiwepo mimi ambaye alinitafuta zaidi ya mara 5, mara ya sita aliingia usiku saa 7 ndani kwangu akiwa na kanga 1 tu na sidiria?nimeacha mkuu, nimejikuta nafsi inanisuta japo si kosa langu ni la huyo mama kunitafuta tena ili hali alishabadilisha namba ya simu ambapo nisingeweza kuonana naye tena. Naweza kulaumiwa lkn kumbuka hakuna mwanaume aliyeshinda vita ya mke. Tukianza na Adam, Samson nk nk
Povu la nini unachofanya unajua ni cha kishetani na unatangaza hadharani kuona ni fahari,Tofauti ni kwamba mimi si shoga, alafu mbona una mawazo ya kishoga shoga? umefumuliwa alafu ukaachwa pole. Bahati mbaya nyuma hupaoni nami sina msaada
Fiction poems 😂😂hahaaa chai tuongeze maji, majani au sukari?