Nimezaa na mke wa mtu watoto wawili na ana mimba ya tatu

Status
Not open for further replies.
Dah, pole sana Mzee.. hii imenifanya nikumbuke ile speech ya Prof Kabudi with a say kuwa 'Fathers are always happy kwenye Familia hata kama wanajua those children are biologically NOT theirs. Hii ni kwa upande wa pili

Sema I would advise u- focus na maisha yako maana ulifanya mistake kwenda kulima shamba la jirani japo umepata matakeo lakini forget about it and move the hell on vinginevyo ukifunguka utazua mambo mengine

The good thing upo mbali na huyo mwanamke with her Family achana nae na focus na maisha yako that's all
 
Hamna tatizo umewasaidia kufanya sperm donation.

Kuliko wangekosa watoto kabisa.

Kukubwa mie azidi kumheshimu mumewe na kumsitiri.


Jamaa atakuwa Baba mlezi na heshima yake ibaki palepale kama ya Baba mzazi.
 
Sema sasa unapofanya sperm donation hutakiwi kuwa na husuda tena hao watoto .

Nazi ikidondokea ndani wa ukuta wa jirani ni ya huyo jirani usiende kuiulizia maana kwanza unaweza uziwa kesi kuwa huenda ilimdokea mtu kichwani na yuko mahututi utafanyaje si bora upotezee ?!
 
Katika mazingira hayo werevu watakuelewa lakini sasa usijiweke karibu sana na kutaka ijulikane wewe ndie baba mzazi .

Dunia iko na mambo mengi sana.

Na yalikuwepo tangu enzi za mababu.
 
Sasa chakushangaza Mwanaume wa ndoa wa huyo jamaa utasikia amezaa nje na mchepuko,

Hapo mke ndio atakuwa confused kwa vipi ? Wakati jamaa hajiwezi kushughulika ipasavyo?!

Ndio unakuta kama ni mtu wa neema ya vijisenti mchepuko anamchomekea kuwa nina mimba yako kumbe anataka kuzidi kumwibia vihela vyake [emoji108]

Wajinga ndio waliwao!
 
Umefanya vema umemsitiri kwa kum-support muhimu usijiweke Karibu nao baki kuwa rafiki tu wa huyo mwanamke pasipo hila yoyote.
 
Kwanza ongea na mkeo. Ongea kwa mafumbo. Atakubali kupokea na kulea watoto hao? Akikataa, utawapeleka wapi? Pata majibu ya maswali haya kwanza. Mimi nathamini damu yangu kwa kweli.
 
Hata kwenye surrogate procedure makubaliano mtoto akishazaliwa haonwi na mama alibeba mimba,

Mtoto anakabidhiwa Kwa baba alotoa mbegu na mama alitoa yai.

Na baada ya hapo ndio ntoleee imeisha hiyo !
 
Kuonesha kwanza ulifanya hisani ya sperm donation usijiingize kwenye gharama ya kutunza hao watoto,

Wacha wawajibike wenyewe.

Ukikosea ukajichanganya utafuta ile dhamiri yako njema ya awali kisha utakuwa kama mhuni tu na mharibifu wa nyumba za watu.

Usimpe hela huyo mwanamke.
 
Mkuu ukiwa na kifua bas nyamaza...hate sisi wenzako tuna hali Kama yako lkn tumenyamaza..nakusihi wewe nyamaza..tulia...kula maisha..
Hamuwatendei haki watoto. Ipo siku dada na kaka wataoana. Watoto wana haki ya kujua biological parents wao.
 
Kwanza wanaume wengine wanawaruhusu kabisa wake zao wakabebe mimba nje ilimradi wawatunzie Siri wasimwambie mtu!

Dunia ina mengi sana bado hatujayasikia wala kuyaona!
 
Kwani kwenye kadi za clinic majina wa watoto ubini uko wa Baba yupi mzazi au mlezi ?

Kama mlezi hainashida awalee kiroho Safi Kama damu yake.

Mtoto anazingatia anachoona na kukua Nacho , huyo ndio watamtambua kama baba mzazi na mlezi wao.
 
yaani namjua unaemfanyia hivo ni afisa elim
 
Muoe mbona brother unasubiria Nini kikao Cha juzi tulikubaliana mke was pili ni lazima
 
Juzi tu wanawake ndo tulikuwa mashetani kwa usaliti leo nae mwanaume mkubwa wa mashetani, anajua anachofanya sio fair ila bado anafanya.

Siku hizi wanaume wanadanga kuliko hata wanawake. Ona anavyo jimwambafai ati mwanamke ana hela dah .

Mungu hawa viumbe wote wapige matukio wakome umalaya.
 
Kuni zako zitakazotumika kukuchoma kule mbinguni zitakuwa za gas[emoji16]
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…