Mkijenga kama kila mtu katoa fungu sawa ni yenu wote ila kama mwenzako hajachangia kitu hio sio yenu wote.Hizo ni sheria kandamizi na zilizopotwa na wakati,mwanamke ana kwao na pia ana kwake,haya ndo masuala ya kumuoza mtoto wa kike huku ukimwambia asirudi labda awe mfu kitu kinachopelekea kuvumilia ndoa za mateso. Siku hizi ni 50/50,nyumba mkijenga wanandoa inakua na majina mawili mume na mke
Mkuu wahindi mwanamke ndo anatoa mahari,anyway usiseme dunia nzima sema baadhi ya nchi za africa maana huko kwa wazungu kuna wanawake wanaoana wao kwa wao
Mkijenga kama kila mtu katoa fungu sawa ni yenu wote ila kama mwenzako hajachangia kitu hio sio yenu wote.
Haya mambo ya mwanamke kutoa mchango kwa kunpashia mme wake maji sijui kunpikia ataambulia 1/8 ya mali na ipo fair tu
Mkijenga kama kila mtu katoa fungu sawa ni yenu wote ila kama mwenzako hajachangia kitu hio sio yenu wote.
Haya mambo ya mwanamke kutoa mchango kwa kunpashia mme wake maji sijui kunpikia ataambulia 1/8 ya mali na ipo fair tu
Acha kusikiliza maneno ya vigengeniNingekuja kwa kweli ilaa kwenye kufuga majini tu hapo ndugu hapo na mtakuta mabikra sijui 70 hapana
Nyie w.ke yni mnataka kujiweka sawa na m.me pumbafu kweli wwHizo ni sheria kandamizi na zilizopotwa na wakati,mwanamke ana kwao na pia ana kwake,haya ndo masuala ya kumuoza mtoto wa kike huku ukimwambia asirudi labda awe mfu kitu kinachopelekea kuvumilia ndoa za mateso. Siku hizi ni 50/50,nyumba mkijenga wanandoa inakua na majina mawili mume na mke
Mkuu wahindi mwanamke ndo anatoa mahari,anyway usiseme dunia nzima sema baadhi ya nchi za africa maana huko kwa wazungu kuna wanawake wanaoana wao kwa wao
Nyie w.ke yni mnataka kujiweka sawa na m.me pumbafu kweli ww
Ww kweli unayaweza wanayoyafanya w.me kwnye utafutaji?
Waweza kubeba gunia la viazi la 100kg ww au unasema tu 50/50?
Yni m.me ahangaike ukooo ww uje kusema tu 50/50 yni utaambulia machozi tu
Nyie w.ke yni mnataka kujiweka sawa na m.me pumbafu kweli ww
Ww kweli unayaweza wanayoyafanya w.me kwnye utafutaji?
Waweza kubeba gunia la viazi la 100kg ww au unasema tu 50/50?
Yni m.me ahangaike ukooo ww uje kusema tu 50/50 yni utaambulia machozi tu
Sasa kama unalijua Hilo kwanini uliandila yale uliyo yaandika ?!Uislamu haujamkataza mke kumiliki Mali Wala kufanya kazi. Na bado mume anatakiwa ahudumie kila kitu, hadi nauli ya kazini.
Sio mke kauza nyumba yao ya urithi mume unazitolea macho pesa zake🤣
Kuoa ni jambo la hiari na ni Sunnah iliyo kokotezwa ndiyo maana Kuna nguzo zake na masharti. Ndiyo maana Kuna waja wema walikufa pasi na kuoa.kuoa ni amri kwa mwanaume mwenye vigezo via kumiliki mke
Onyesha ulazima kuoa kwa mujibu wa Sheria, usihukumu mambo kwa Falsafa (utoto wa kufikiri). Ndiyo maana Mtume alihimiza watu wafunge na wajizuie na suala la kuoa Lina nguzo zake, sababu Ile ni ibada. Ibada katika Uislamu zinazungukwa na uwezo.Mkuu sasa hapo unacho bisha ni kitu gani?
Kitendo cha mwenyezi mungu kuharamisha zinaa maana yake ni razima kuoa au kuolewa.
Kwa kuongezea hapo urithi wa mali hadi yalipwe madeni kama yapo kinachobaki ndio kinapigwa mgao kwa utaratibuKwa mujibu wa Sheria ya Kiislam mgawanyo wa urithi uko kama ifuatavyo:
Wajane
hurithi 1/8, Wengi huendelea kutunzwa na watoto wao na nimeona kwa huu mgao unalinda wasiwe na tamaa za kutaka mwanaume afe ilinwapate mali, k
Wazazi
- Wazazi hupewa 1/6 ya salio baada ya kuondoa fungu la mjane/wajane.
Watoto
Mali iliyosalia hugawanywa katika mafungu matatu. Watoto wa kiume hupata mafungu mawili na watoto wa kike hupata fungu moja. Watoto wa kiume hupewa mara mbili ya watoto wa kike. (Tukiachana na sheria za sasa za binadamu ukweli haufutiki kwamba Mungu alimuumba Mwanamke kuwa msaidizi kwa mwanaume, hana kwake ana kwao, hata mila zetu nyingi mwanamke akishaolewa tu huyo ni wa ukoo wa huko alikoolewa, watoto ataozaa watakuwa ni uoande wa mme wake, Pia mwanamke akiachika anarudi kwa kaka zake) ama hakuna watoto wa kiume atatafutwa mjukuu wake wa kiume, baba yake, babu yake, n.k.
Mjane Mwanaume
- Mgane (Mjane mwanaume) hupewa 1/4 ya mali ya marehemu mke wake kama kuna watoto au 1/2 kama hakuna watoto.
Watoto nje ya ndoa
Watoto nje ya ndoa hawawarithi chochote kama hawakuhalalishwa wakati marehemu akiwa hai au kuwepo wosia unaowapa urithi. (nadhani Mungu aliona mbali siku hizi mbegu zinaweza kuchomolewa bila kujijua zikaenda kupandikizwa kwa mwanamke)
Mali za kurithisha kwa wosia
si zaidi ya 1/3 isipokuwa kama kuna makubaliano ya warithi wote baada ya kifo cha mweka wosia
Kudadeki akikujibu nitagDini yako inasemaje kuhusu mgawanyo wa mali za ulisi.
[emoji28][emoji28] Naona unapata tabu kujitutumuaHizo ni sheria kandamizi na zilizopotwa na wakati,mwanamke ana kwao na pia ana kwake,haya ndo masuala ya kumuoza mtoto wa kike huku ukimwambia asirudi labda awe mfu kitu kinachopelekea kuvumilia ndoa za mateso. Siku hizi ni 50/50,nyumba mkijenga wanandoa inakua na majina mawili mume na mke
Mkuu wahindi mwanamke ndo anatoa mahari,anyway usiseme dunia nzima sema baadhi ya nchi za africa maana huko kwa wazungu kuna wanawake wanaoana wao kwa wao
Nimeandika yapi?Sasa kama unalijua Hilo kwanini uliandila yale uliyo yaandika ?!
Rejea mwanzo nilipo ku quote Mimi kile ulichokiandika.Nimeandika yapi?
Nieleweshe, sijakuelewa.Rejea mwanzo nilipo ku quote Mimi kile ulichokiandika.
🙏🙏Labda pia nichangie japo kiduchu japokuwa somo la mirath hili ni pana sana ni maktaba nzima kabisa sio la kumsomesha mtu kwa siku moja wala wiki moja.....
Kama alivyoongea bwana Accumen Mo sheria zetu ni nzuri sana ila sometimes zile ambazo is out of our favor huwa hatuzifati na ukitaka kuamini kwamba ninaloliongea ni kweli jiulize tu katika mtaa wako, ukoo wako au campaign yako ambayo ni waislam, lini umetokea msiba then wakam consult sheikh/ulamaa wa mambo ya mirath ili awasaidie kugawanyia kulingana na sheria ya kiislam????
Why nasema kum consult sheikh??? Kwasababu no elimu nadraa kumkuta mtu sio sheikh au hana elimu kubwa kumkuta ana elimu ya mirath Bali wapo hata masheihk wakubwa ila hawayajui kwa sehemu kubwa masiala ya mirath maana ni mapana sana nje na tunavyoyazania...si rahisi kwa hizi madrasa kusomesha haya mambo labda kwenye ma markza na mavyuo makubwa
Nimemskia duktur mbarak Awes wa Kenya akisema kwenye mirath maulamaa wameafikiana kuna masiala tariban 30k kulingana na scenarios tofauti tofauti you can imagine how bigger it is!
Kuna conditions pia kama tatu baina ya muarith na waarith(analisiwa na mwenye kurith)
i. Daraja ya ukaribu
Iwe itakavyokuwa mwenye nasaba ya karibu na marehemu atapata parefu
ii. Umri
Wewe mtoto wa marehemu mwenye miaka 30 sheria inakutazama ina uhitaji zaidi Na Mali kuliko mzazi wa marehemu mwenye miaka 80
iii. Majukumu
Hapa pia ni miongoni mwa sababu pia kwanini mwanamme apate Mara mbili ya mwanamke kwa sababu kwenye uislam jukumu la kutunza familia na kuhudumia ni la mwanamme vinginevyo kuna dharula mume hana maisha haha
Pia kuna condition zikijitokeza mtoto wa kike anarithi sawa na mwanamme na kuna condition zikijitokeza mwanamke ana rithi zaidi ya mwanamme! Ndio maana nikaanza kusema wansema maulamaa kuna masiala(dalili)(conditions) nyingi sana karibia maelfu haswa! Hivyo haya mambo ni ya wanachuoni ni ngumu upo madrasa na miaka yako 13 usomeshewe elimu kama hii and that's why kuna mailamaa haswa kabisa wabobezi wa mambo haya
Wanawake wa kiislam hawana akili za kukaa bila kuolewa ili wazini Hadi uzeeni,kwenye uislam mwanaume ni msimamizi wa wanawake,kula,kulala,kuvaa,afya ya mwanamke na watoto ni jukumu la mwanaume,uislam unashauri mwanamke asitoketoke ndani kwenda kuzurura mitaani kusaka riziki Bali awe nyumbani na kulea watoto kwa ajili ya jamii Bora..Mbona hujaongelea kwa wake waliozidi wanne? Vp Kama marehemu Hana watoto wakiume? BTW logic ya kuwapunja watoto wa kike urithi wao kisa wataolewa, Haina mashimo, maana sio wote watapenda kuolewa/ kuishi na waume zao mpaka mwisho.
Hebu lete takwimu za hao wanawake wa kiislam walioua waume zaoWanawake wa kiislamu wanaungulia kimyakimya moyoni ndio maana wao hufikia kuuwa waume zao na kuwasambaratisha kabisa watoto ili mwisho wao mali zote ziwe mikononi mwao