Congo imekuwa na vita muda mrefu sana hata kabla Kagame na Museveni hajawa watawala wa nchi zao...Kagame na Museveni ni WARLORDS wa vita inayoendelea Mashariki mwa Congo.
..Vita hiyo inawafaidisha wao na magenge yao yaliyoko ktk majeshi na serikali za nchi zao.
..Wananchi wa kawaida wa Rwanda na Uganda hawafaidiki na wala hawahusiki na vita hiyo.
Ww mzee kikwete alimjibu kiswahili zaidi uliza operation aliyo fanya kukimbiza wakimbizi mbona mpaka huyo fala pk alinyoka.Kama kweli yy ni mwanaume aingie bongo tutamzingua mamaae zake.Na Kagame siyo wa mchezo mchezo. Ni Putin wa Afrika huyu, akiamua kumung'oa mama jua halizami.
PK aliwahi kumwambia JK, I will hit you!. JK hakutia neno.
Congo imekuwa na vita muda mrefu sana hata kabla Kagame na Museveni hajawa watawala wa nchi zao.
Acha Uongo..Na Kagame siyo wa mchezo mchezo. Ni Putin wa Afrika huyu, akiamua kumung'oa mama jua halizami.
PK aliwahi kumwambia JK, I will hit you!. JK hakutia neno.
Je alim hit?ni mkwara tu hana lolote huyo kimbaumbauNa Kagame siyo wa mchezo mchezo. Ni Putin wa Afrika huyu, akiamua kumung'oa mama jua halizami.
PK aliwahi kumwambia JK, I will hit you!. JK hakutia neno.
Shida sio kufa au kutokufa; ila loss of lives iwe justified na intended end results
Fursa ya kufanya shughuli za kibiashara na DRC bila bughdha ya ukosefu wa amani katika eneo hilo.Ina impact gani kwa taifa??
Haina mashiko kwa mtu aliyevaa mawani ya mbao, na kusahau mikakati ya kupambana na China juu ya mali hizo hizo katika eneo hili. Tunaangalia maswala ya kidunia kirahisi rahisi kwa kutumia 'one dimensional view' na kusahau mikakati pana zinazotumiwa na hawa watu.Ndio uelewe sasa hata hiyo hoja ya mabeberu kusababisha vita ili kuiba madini ya DRC haina mashiko sana.
Ndiyo zipo. Lakini unakumbuka kilichompata huyo huyo aliyekaripia na wala asijibu chochote baada ya hapo?Clip zipo, zinanesha akimkaripia Kikwete kwenye media. Siyo story za vijiweni
Rwanda ya Kagame siyo Israel hata kwa mbali sana, pamoja na kuwa wanapenda sana kujifananisha hivyo. Israel wenyewe na umahiri wao, bila 'sponsor' wao wakuu Marekani na Ulaya Magharibi hali yao ingekuwa matatani sana katika eneo hilo.Udoho wa nchi siyo sababu, angalia umahiri wa jeshi lake. Kwani Irael kubwa?
Sijui kama wewe atakuelewa, maana nilishamweleza hataki kuelewa!Hauko sahihi. Hicho ni Kikosi maalumu (Force Intervention Brigade - FIB) ndani ya walinzi wa amani wa UN (MONUSCO) kikiwa na jukumu la kupambana na waasi kama M23 (Enforcement under chapter 7 of the UN Charter).
Huyu ni mama, tunayempamba kuwa mama wa taifa letu, kiongozi wa nchi ambaye hata siku moja hajawahi kuonyesha kitendo cha uzalendo juu ya nchi anayoiongoza! CCM kwa kweli wametufikisha mbali sana.
Congo imekuwa na vita muda mrefu sana hata kabla Kagame na Museveni hajawa watawala wa nchi zao.
Hopefully watafata ushauri sahihi zaidi hapa, umemaliza kila kitu mkuuShida sio kufa au kutokufa; ila loss of lives iwe justified na intended end results. Vinginevyo ivyo vifo vinakuwa unnecessary loss of lives.
Kilichowaondoa US Afghanistan ni kukubali matokeo, baada ya miaka mingi sana ya kutumia billion of US dollars kutoa military training, police training na kuwapa kila zana wenyeji ya kukabiliana na Taliban.
Kasheshe sasa ikawa wakiwapa jeshi la ulinzi na polisi wa Afghanistan eneo la kusimamia wenyewe ndani ya week Taliban inaondoa local forces. after many years of trying huku US ikipoteza askari wake ikabidi wakubali matokeo aiwezekani.
Ndio scenario yetu Tanzania kwenye mgogoro wa East Congo, unakwenda unawaondoa waasi mkitoka tu wanarudi pale palę; mmaenda tena mkitoka yale yale till when.
Ujinga ni kufanya kitu kiłę kiłę na kutegemea matokeo tofauti. Ifike wakati wa kuongea na serikali ya Congo either wa commit kuwa na control ya hilo eneo au tuache liwalo na liwe.
Mama yenu hajanyooka huyu, ana makando kando mengi. Bahati nzuri sasa washikaji zake wameanza kumuumbua mchana kweupe
I agree na wewe... wenye nchi hawako serious ndio maana wanatishwa na majirani kila siku.Hiyo vita sio ya kuisha leo wala kesho provided M23 wana support ya nchi jirani. Adui (makundi yote ya waasi) wakizidiwa wanauwezo wa kupotea haraka kama walivyo na uwezo ku-mobilise jeshi haraka hali ikitulia na kulianzisha tena.
Tanzania na wasaidizi wengine waipe Congo ultimatum msaada wa kijeshi uende sambamba na serikali ya Congo kuwekeza heavily kwenye jeshi lao kulinda mipaka yao na kuli-control hilo eneo. Awawezi kuli-control hilo eneo ifike wakati tuache fate ichukue mkondo wake kama ni annexation ya eneo let it be aitokuwa nchi ya kwanza kumegwa kwa sababu ya serikali kushindwa ku-control eneo.
Bila ya Congo kutoa road map ya adhma yao ya kuli-control hilo eneo miaka 20 baadae bado tutakuwa tunapeleka askari wakati wenyewe huko Kinshasa wako busy kuboresha mikorogo na kukata mauno.
Ifike hatua lazima Tanzania ione seriousness ya Congo kutaka kulinda himaya zake yenyewe kabla ya kuji-commit kuwasaidia miaka zaidi ya 20 ya kuwasaidia inatosha kama wenyewe hawana mpango wa kuweka strong military presence huko. Kwani sisi nani alitusaidia Amini alipoitaka Kagera si wenyewe tulilinda eneo letu.
Let them annex it kama wa-Congo wameshindwa kulilinda eneo lao inatosha, watasaidiwa mpaka lini.
Iła M23 lazima nae atiwe adabu kipindi hiki kwa kuuwa askari wa Tanzania, lazima ajue sumu aionjwi.
Songwe ni mkoa wa kawaida sana kibiashara unazidiwa hata na Iringa.