Nina 5,000,000 tu. Naweza kununua gari ipi ikiwa na hali nzuri?

Nina 5,000,000 tu. Naweza kununua gari ipi ikiwa na hali nzuri?

Kwa 5m akinunua Brevis au GX100 anapata ambayo iko vizuri sana na atadunda nayo hadi aichoke. Ila kwenye hivi vigari vya cc900-1200 atapata tabu sana
Nyie sio watu wema ushauri mbaya, wengine mnajifanya kuchukia magari ya cc ndogo wakati kutwa mpo kwa miguu, magari yamewashinda matumizi ya mafuta... Wengine wansjidsi ni madone wakati hata mchana hawajui wale nini, ifike mahali tuwe serious tunapotoa ushauri

sent from HUAWEI
 
Nyie sio watu wema ushauri mbaya ,wengine mnajifanya kuchukia magari ya cc ndogo waksti kutwa mpo kwa miguu ,magari yamewashinda matumizi ya mafuta ...wengine wansjidsi ni madone wakati hata mchana hawajui wale nn ,ifike mahali tuwe s erious tunapotoa ushauri

sent from HUAWEI
Kwahio unajiona uko peke yako unaeweza ku-afford gari ya cc kubwa? Ni kweli mkuu mimi najifanya kuchukia gari za cc ndogo huku kutwa natembea kwa miguu.
 
Nyie sio watu wema ushauri mbaya ,wengine mnajifanya kuchukia magari ya cc ndogo waksti kutwa mpo kwa miguu ,magari yamewashinda matumizi ya mafuta ...wengine wansjidsi ni madone wakati hata mchana hawajui wale nn ,ifike mahali tuwe s erious tunapotoa ushauri

sent from HUAWEI
Hahahahahah zingatia neno “vition”
Jamaa kapaniki
 
Tatizo ni kuwa mnakurupukaga yani! Huna uzoefu wa gari tafta mtu anayezijua gari ndio uende nae kununua gari! Gari ya kitonga hakikisha ni ya Toyota na anayeiuza hio gari anashida ya hela tu sio wale ambao hana hela gari imemshinda ndio anauza huwa gari zao zinakuwaga vimeo sana!

Nina best yangu juzi kanunua Mini Cooper ya mkononi ile gari kauziwa 4.5M ila iko na vipengele vya kutosha[emoji28] yani kabla hata ya diagnosis kufanyika. Hakuomba ushauri wala nini na yeye sio mzoefu wa magari kabisa ila kwa kuwa mini cooper imekaa kibishoo yeye kaona freshi tu na vile namba ni DK.

Aliniomba nimsaidie kuiendesha toka gereji mpaka kwake maana hata leseni hana. Kilichotokea kwanza steering ni ngumu kuliko fiat mbaula [emoji28] yani kufika mtaani ilibidi niagize ugali mkubwa. Pia gari inasita sita ikiwa kwenye gear ya kwanza ila ikichanganya inatulia. Side mirror ya kushoto mbovu. Mguu wa nyuma unagonga yani gari iko na stiff suspension utafikiri haina shock absobers yani kama gari iliofungwa matairi kwenye chassis! Taa baadhi haziwaki yani na dashboard lights ya tire pressure sensor iko on, ya alama ya radi ipo on yani kwa navyojua BMW zilivyo pale ikipigwa diagnosis mkeka wake hautapungua 3M kuiweka gari sawa.
4.5+3=7.5M

Kwahiyo amenunua mini cooper kwa 7.5M.
 
Tatizo ni kuwa mnakurupukaga yani! Huna uzoefu wa gari tafta mtu anayezijua gari ndio uende nae kununua gari! Gari ya kitonga hakikisha ni ya Toyota na anayeiuza hio gari anashida ya hela tu sio wale ambao hana hela gari imemshinda ndio anauza huwa gari zao zinakuwaga vimeo sana!

Nina best yangu juzi kanunua Mini Cooper ya mkononi ile gari kauziwa 4.5M ila iko na vipengele vya kutosha😅 yani kabla hata ya diagnosis kufanyika. Hakuomba ushauri wala nini na yeye sio mzoefu wa magari kabisa ila kwa kuwa mini cooper imekaa kibishoo yeye kaona freshi tu na vile namba ni DK.

Aliniomba nimsaidie kuiendesha toka gereji mpaka kwake maana hata leseni hana. Kilichotokea kwanza steering ni ngumu kuliko fiat mbaula 😅 yani kufika mtaani ilibidi niagize ugali mkubwa. Pia gari inasita sita ikiwa kwenye gear ya kwanza ila ikichanganya inatulia. Side mirror ya kushoto mbovu. Mguu wa nyuma unagonga yani gari iko na stiff suspension utafikiri haina shock absobers yani kama gari iliofungwa matairi kwenye chassis! Taa baadhi haziwaki yani na dashboard lights ya tire pressure sensor iko on, ya alama ya radi ipo on yani kwa navyojua BMW zilivyo pale ikipigwa diagnosis mkeka wake hautapungua 3M kuiweka gari sawa.
Nicheck inbox kaka
 
We unafikiri kumeki hela ifike walau 14m ni jambo la kitoto?
Kumeki hela ifike 14M siyo jambo la kitoto lakini kuendesha gari uliyonunua kutoka kwa rangi nyeusi siyo jambo la kitoto hata kidogo.Jasho litakuwa linakutoka masaa 24.

Unamkumbuka yule jamaa alienunua Honda CR-V mnadani hapa bongo halafu akakimbilia JF kuandika uzi kuwa honda ni gari mbaya sana?
 
Kumeki hela ifike 14M siyo jambo la kitoto lakini kuendesha gari uliyonunua kutoka kwa rangi nyeusi siyo jambo la kitoto hata kidogo.Jasho litakuwa linakutoka masaa 24.

Unamkumbuka yule jamaa alienunua Honda CR-V mnadani hapa bongo halafu akakimbilia JF kuandika uzi kuwa honda ni gari mbaya sana?
Honda ni gari mbovu hata hivyo sio tu ya mnada ila hata wewe ukiagiza leo hii! Sijawahi kuona Honda ambayo haina usumbufu labda ile hondaFit

Agiza honda namie niagize spacio af tuone nani atakuwa analia lia 😅😅😅 daily!
 
4.5+3=7.5M

Kwahiyo amenunua mini cooper kwa 7.5M.
Ni Bora ingekuwa used kutoka mamtoni,ila yeye kanunua kwa Bei hiyo kutoka kwa muharibifu wa kibongo 😁😁😁😁
 
Honda ni gari mbovu hata hivyo sio tu ya mnada ila hata wewe ukiagiza leo hii! Sijawahi kuona Honda ambayo haina usumbufu labda ile hondaFit

Agiza honda namie niagize spacio af tuone nani atakuwa analia lia 😅😅😅 daily!
Siyo kweli.Honda CR-V ni gari ya pili inayoongoza kwa kuuzwa kule marekani baada ya RAV-4 ambayo ni namba moja na ni gari ya nne inayoongoza kwa kuuzwa duniani.

Honda CR-V ni gari bora ya muda wote namba mbili kwa watu wa kawaida baada ya RAV-4.
109_20210705_091623.jpg
 
Siyo kweli.Honda CR-V ni gari ya pili inayoongoza kwa kuuzwa kule marekani baada ya RAV-4 na ni gari ya nne inayoongoza kwa kuuzwa duniani.

Honda CR-V ni gari bora ya muda wote namba mbili kwa watu wa kawaida baada ya RAV-4.
View attachment 1966598
Ni gari nzuri kwa Marekani ila kwa bongo ni gari ya hovyo sana😅 kama unabisha tafta takwimu za watu waliowahi kumiliki hio gari hapa nchini watakwambia.
 
Mzee gari inategemea na location! Gari kwa ajili ya US market ni tofauti na za JDM zile! Tusiandikie mate we nenda hata garage unayofanyia service gari lako uliza fundi unayemuamini akwambie
Mimi nazungumzia kuwa gari namba nne kwa mauzo duniani. Sizungumzii Marekani. Kwani huko duniani hakuna nchi zenye sifa kama ya Bongo?
 
Back
Top Bottom