Ongezaa sauti Evee, hii hali ipoo kweli.Inatokeaga.....ukiwa single unahitaji kuzama penzini hawapo, ukiwa kwenye penzi zito na mtoto wa mtu yani watu wanakuja kama wameletwa na upepo, hata ukitembea mmeshikana utashangaa mtu anakukonyeza....
Anyway mzabzab come zis wey
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Inawezekana una sura private na shape ya kipekee, uliyeletwa kama sample ili kupata views za wanadamu au muumba alikua ana re-introduce mtu wa kale
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan wee. KhaaahTumia chumvi ya mawe kuogea
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ukiona kimya kinazidi weka bango "aje mwanaume yeyeto ili mradi awe anapumua".
Obvious ni Me, vijana wa daslam wanatafuta maisha.Si ajabu kukuta mleta uzi ni Me.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wanawake sahv wanateseka kweli,wanaume tumeanza kuogopa vizinga vyenu ndo maana sahv ukiwa hauna maajabu sana wanaume wanabaki wanakuangalia tu maana wanajua wakijisogeza tu vizinga vinaanza
Kuna mdada kaingia kibanda umiza siku ya liver na arseno,muda wote alikuwa anachat hadi nikawaza kuwa huyu kaja kucheki game kweli au ndo kaja kutafuta!?
Acha kuamini vitu vya hovyo. NYOTA ndio mdudu gani?. Kuwa na mvuto kunatengenezwa Kwa njia za kisaikolojia zaidi. Kunaitwa kujiboresha kiroho,kiakili, kimwili,kihisia na kijamii pia.Sawa mkuu shukrani kwa kuniongezea kufahamu hayo
Wasichana wadogo na bikra hawana wa kuwauliza kutokana na upungufu wa wanaume na wengi wao kuwa mashoga.Sasa wewe unajulikana umeachana na boyfriend na wala sio kuachwa na mume utapata shida sana.Wazima jamani
Baada na kuachana na boyfriend wangu, sasa ni miez 5 sipo kwenye mahusiano, niko mpweke Sana sijui yule kaniachia gundu mwezenu ata sitongozwi yani kila nikijipitisha walipo wanaume hakuna ata anayenisimamisha au ata wakuniomba namba,nikijiangalia kwenye kioo najiona bado navutia, nimetumia madawa ya mvuto lakini wapi.
Hapa ndipo ulipojiharibia, kahungame kwanzanimetumia madawa ya mvuto lakini wapi.
Naomba link somo la chumvi tafadhaliTumia chumvi ya mawe kuogea
[emoji23]Kazi kwelikweliUkiona kimya kinazidi weka bango "aje mwanaume yeyeto ili mradi awe anapumua".