Nina haja ya dhati Lamomy wa JF kwenye maisha na huduma yangu daima

Jambo la KHERI Uchumba wenu ukazaa ndoa mkaishi kwa AMANI na UPENDO kama mlivyoelekezwa kwenye Mafundisho ya Dini yenu.

Mvumiliane kwenye nyakati ngumu, mkumbuke kufanya ibada maana maombi hufungua mengi.

Inshallah nakutakia kheri
 
Kuwa makini mkuu usije ukawa unatongoza mke wa mtu, pia jaribu kusoma tabia zake huyo bidada usibabaishwe na uzuri wake iwapo tabia si njema. Muhimu hakikisha ni mtu mwenye tabia njema, mwenye kujistiri, awe anajua kujishusha mbele ya mumewe. Mbali na hapo utajitafutia matatizo bure .

Nakutakia kheri
 
Ila Wanawake Eeeeht nasikia uchungu kukujibu hivi?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wakati kajibu mtext mrefu hatari hivi unajua text za uchungu zilivyo. Km ulikuwa na Nia ya kumkataa ungeandika lines 2 tu kwisha hbr ss maneno kibao uwenda ilikuwa ushatengeneza matumaini ya Jibu zuri moyoni kwake.?
 
Watumishi wa Mungu hatujibu km nyie wa mataifa πŸ˜‚
 
Ni dume hilo πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…