Nina mahusiano na mwanamke fulani, lakini kauli hii aliyoitoa mzazi wangu inanipa wasiwasi kwenda kumtambulisha

Nina mahusiano na mwanamke fulani, lakini kauli hii aliyoitoa mzazi wangu inanipa wasiwasi kwenda kumtambulisha

Mi nimekuwa na balaa na masingo maza mara mwingine aniambie hata baba yake ananikubali( kwa lipi?).Mwingine nafana vidole na mtoto wake.Yataka moyo kweli.Kama umempenda jilipue.
 
Habari za usiku wana JF,
Niende kwenye mada moja kwa moja, nikuwa ninamwanamke ambaye nampnda sana, na bila shaka nataman nianze nae maisha kama mungu akijalia.

Huyu mwanamke amewai kuzaa miaka 5 iliyopita, anamtoto, alizaa akiwa na 17 yrs, japo hawasiliani na baba wa mtoto na waligombana tangu miaka hiyo.

katika stor 2 tatu na mzazi wangu siku moja aligusia akisema kuwa anahitaji mwanae aishi na mwanamke ambaye hana mtoto kabisa ni kama wote waanze upya pia hataki mwanae azae kwa kutanga tanga, yaani mara huyu mara yule.

kutokana na kauli hiyo napata kigugumizi kwenda kumtambulisha huyu wangu ambaye tayar ana mtoto ambaye sio wangu. Naombeni ushauri!

Ahsanteni.
........hapo inategemea moyo na utashi wako vinakwambia nini.......hakuna kitu kigumu kushauri kama mapenzi, washauri wengi waliumbuka badae.......mamaako, mke wako na wewe mwenyewe vyote ni muhimu na vina nafasi yao ktk maisha......Kwa mama umeshatoka, utaungana na mke, Sasa kama lengo la kuoa ni kujifurahisha wewe au kumfurahisha mamaako mi sijui.....lakini pia ni kweli mwanamke aliezaa technically by tangible evidence(mtoto) ni mke wa mtu provided that the man is alive and existing.......
 
Hivi wewe ungekuwa mzazi ungelikubali mwanao kuoa mwanamke ambaye tayari ana watoto wakati nwanao hana hata mmoja? Hebu jaribu kuvaa viatu vya mzazi wako kwanza!

Huwa mnajidanganya sana kuwa mapenzi hayaingiliwi lakini mnasahau kuwa kuna siku utampeleka huyo mtu wako kwa mzazi wako na yeye ndio atahamua hatima ya safari yako na huyo mwenzio
Na wao siku hizi wanatafuta single father yaan nilistaajabu single mother mmoja ananiambia mimi km wewe sio single father Mambo yasiwe mengi tusiendelee na huu mchakato, kwa hio wanajijua single mother tafuta single father kuishi pamoja kila mtu anakua na handicap tayari huyu 1-0 na huyu 3-0 mkiunganisha inasoma 3-1 saafi kabisa
 
Habari za usiku wana JF,
Niende kwenye mada moja kwa moja, nikuwa ninamwanamke ambaye nampnda sana, na bila shaka nataman nianze nae maisha kama mungu akijalia.

Huyu mwanamke amewai kuzaa miaka 5 iliyopita, anamtoto, alizaa akiwa na 17 yrs, japo hawasiliani na baba wa mtoto na waligombana tangu miaka hiyo.

katika stor 2 tatu na mzazi wangu siku moja aligusia akisema kuwa anahitaji mwanae aishi na mwanamke ambaye hana mtoto kabisa ni kama wote waanze upya pia hataki mwanae azae kwa kutanga tanga, yaani mara huyu mara yule.

kutokana na kauli hiyo napata kigugumizi kwenda kumtambulisha huyu wangu ambaye tayar ana mtoto ambaye sio wangu. Naombeni ushauri!

Ahsanteni.
Fuata moyo wako.
 
Mamayako hajamkataa huyo mwanamke bali kakataa Hali ya wewe kuoa mwanamke maenye mtoto...ITAKUWA UJAELEWA

Yaani mfano sisi job kwetu tunataka wafanyakazi tuwe wachache sikuzote tukiaikia Boss anaongeza mfanyakazi tunasema hatumtaki ila iyo Hali ya kumkataa huishia pale huyo mfanya kazi anapokuwa tiali kaja ofisini...Hapo huwezi kukataa kwasababu ukisema Boss hatumataki tiali una mu-attack mtu Kama huyo mfanyakazi anaitwa Jay hapo Jay atakuona mnoko na kilamtu ataona aah vipi unamnyima liziki Jay ila before jay hajaja ofisini alikiwa unknown so tulikiwa hatumkatai Jay bali mtu Unknown anayekuja

Mamako anakataa mwanamke mwenye mtoto ambaye unknown ila ukimpeleka huyo moenzi wako let say anaitwa Rey hapo mamako hawezi kumkataa maana inakuwa anaonesha unoko na kwa rey ata feel aibu sijui unaelewa mpeleke lazima amkubali tu kwasababu atakuwa sio kuhusu mwanamme mwenye mtoto tena bali kuhusu Rey.
 
Habari za usiku wana JF,
Niende kwenye mada moja kwa moja, nikuwa ninamwanamke ambaye nampnda sana, na bila shaka nataman nianze nae maisha kama mungu akijalia.

Huyu mwanamke amewai kuzaa miaka 5 iliyopita, anamtoto, alizaa akiwa na 17 yrs, japo hawasiliani na baba wa mtoto na waligombana tangu miaka hiyo.

katika stor 2 tatu na mzazi wangu siku moja aligusia akisema kuwa anahitaji mwanae aishi na mwanamke ambaye hana mtoto kabisa ni kama wote waanze upya pia hataki mwanae azae kwa kutanga tanga, yaani mara huyu mara yule.

kutokana na kauli hiyo napata kigugumizi kwenda kumtambulisha huyu wangu ambaye tayar ana mtoto ambaye sio wangu. Naombeni ushauri!

Ahsanteni.
Wee acha uphaler, mechi inatakiwa anza 0-0 not 1-0.
Mzazi yupo sahihi kabisa. Tafuta mwanamke mwengine wamejaa tele.
Huyo kama wampenda basi wee mpige mimba tena akuzalie mtoto ili uendelee kula tunda 😜
 
Chief

Kama unaamini kabisa na nafsi inakwambia huyo ndio chagua lako,nakushauri jitwishe huo mzigo chap.

Khs mtoto usiseme kwasasa hlf huko mbeleni unatengeneza story kwamba kumbe wife alikuwa na mtoto Ila aliogopa kuniambia kwa kuhofia nisinge funga nae ndoa,hapo ishu imeisha.

Kumbuka mwisho wa siku ni mke wako na wewe ndo utawajibika Kwa maamuzi yako.
Usimdaganye.
Kama bado yupo kwenye 20th years asikilize wazazi, otherwise akikaidi atapata na kuona kila rangi.

Wazazi wanajua wakifanyacho, na hawawezi kutoa maagizo yanayo mpeleka pabaya mtoto wao.
 
Na wao siku hizi wanatafuta single father yaan nilistaajabu single mother mmoja ananiambia mimi km wewe sio single father Mambo yasiwe mengi tusiendelee na huu mchakato, kwa hio wanajijua single mother tafuta single father kuishi pamoja kila mtu anakua na handicap tayari huyu 1-0 na huyu 3-0 mkiunganisha inasoma 3-1 saafi kabisa
"Handcap" mzee wa kubeti🤣🤣
 
Back
Top Bottom